1 Ku mwezi ya kumi na mbili, yenye kuwa mwezi ya Adar, siku ya tatu ya mwezi, siku yenyewe walipenda kutimiliza oda ya mufalme na wa adui ya wa Yuda wa litumainiya ile siku juu ya ku vamiya wa Yuda, kwa lakini, ikabadirika, ikakuwa wa yuda joo wakavamiy ma adui wao. 2 Wa Yuda waka jikusanya ndani ya miji yabo, ndani ya majimbo yote ya mufalme Aswero, kwa sababu ya kuchapa ma adui wao na kuwa uwa; hakukuwa, hata moja waku ba habaisha, kwa sababu woga ili wa shiba taifa muzima ya Sise. 3 Na wa kubwa wote wa majimbo, wa amuzi, wafalme, wa fanyakazi ya mufalme, waka jukaba, ngambo ya wa Yuda, kwa sababu ya woga ambaye Mardoshe ali watisha. 4 Sababu Mardosha likuwa Suja mwenye nguvu ndani ya nyumba ya mufalme na utukufu wake ulitawala ndani ya majimbo yote, kwa sababu nguvu yake ili kuwa ika panda muda kwa muda. 5 Wa Yuda waka chapa ma adui wao kwa mipanga na visu, waka wa uwa na kuwapoteza, waka watendea kishenzi, na kusau, mazuri yote ya zamani. 6 Ndani ya muji mkuu wa Sise, wa Yuda waka uwa watu miya tano. 7 Na waka kata vichwa vya Parsha, Ndata, Dalphon, Aspata. 8 Porata, Adalya, Aridata. 9 Parmasheta, Arizai, na Vajezata. 10 Watoto kumi wa Hamane, mutoto wa Hamedata, adui ya wa Yuda, lakini hawa kuiba vitu vyao. 11 Siku ile, bwingi ya watu wenye wali huwawa ndani ya Suse muji mukubwa ika mufitikiya mufalme. 12 Na mufalme aka sema mama Esta wa Yuda wana huwa na kuchinja watu miya tano ndani ya muji mkuu wa Suse na watoto kumi wa Hamane, kitu gani tena kinayo baki ndani ya majimbo ya mufalme? ombi yako tena ni gani? na uta pewa, unapenda tena nini? nita kugabiza. 13 Esta aka jibu: kama ita mufuraïsha mufalme, oda ipewekwa wa Yuda, benye kuwa ndani ya Suse, warudiliye tena kesho vita, sawa na oda ya leo, na watundike ku muti watoto kumi wa Hamane. 14 Na mufalme aka leta oda bafanye azoweya. Masemo ya mufalme ika tanaziwa ndani ya Suse, waka tundika watoto kumi wa Hamane. 15 Na wa Yuda, wa kahaji ya Suse waka jikusanya mara ya ingine, yani azoweya, ku siku ya kumi na ine ya mwezi wa Adar, na waka uwa ndani ya Suse watu miya tatu, lakini awa kubeba, wala kuiba hata kitu moja. 16 Wengine wa yuda wenye walikuwa ndani ya majimbo ya mufalme waka jikusanya tena juu ya kupo ponesha maisha yao, na wakajipatiya kimya na ku jitosha ndani ya mikono ya ma adui wao, na waka huwa watu elfu makumi saba na tano ya wa jambaji. Lakini awa kubeba wala kuiba chochote. 17 Mambo ile ili fanyika siku ya kumi na tatu ya mwezi wa adar. Wa Yuda waka pumuzika siku ya kumi na ine, na waka ifanya siku, ya feti na ya 18 furaha.Wale wenyewe wali keti mu Suse, waka jikusanya siku ya kumi na tatu na siku ya kumi, waka pumuzika siku ya kumi na tano, na waka ifanya siku ya feti na ya furaha. 19 Ni vile wa Yuda wa vijiji wale walikuwa na keti ndani ya miji bila makao nzuri, walikuwa na uzuri ya ile siku ya kumi na ine ya mwezi wa adar, siku ya furaha na ya feti, ne kutumiana sadaka kwa kila mutu. 20 Mardoshe akandika mambo aya na kutuma ma baruwa kwa wa Yuda wote, wenye walikuwa ndani ya majimbo yote ya mufalme Aswero, wakaribu piya wa mbali. 21 Aka wa andikiya ba anze kufanya feti kila mwaka ku siku ya kumi na ine, na siku ya kumi na tano ya mwezi ya adar. 22 Kama siku ambaye walio funguliwa na kupata kimya ndani ya muji wa ma adui wao, na ku fanya feti ile mwezi yenyewe ili kuwa ya mateso na ika geuka kuwa ya furaha, na kuliya kwabo ika geuka kuwa furaha, na ku ifanya siku ya kutowa sadaka, kwa kila mutu, na ku kabula zawadi kwa wa maskini. 23 Wa Yuda waka jipana kufanya kazi ambaye wali anzaka zamani na ile yote Mardoshe ali wandikiya. 24 Sababu, Hamane mutoto wa Hamedata, wa Agagwite adui wa Yuda yote, mwenye alitosha mawazo ya kuhuwa wa Yudea, na kupika kuna, kwa sababu ya kubahuwa na kuba haribu. 25 Lakini Esta aka simama mbele ya mufalme aka leta oda ya kuandika mabaruwa juu ya ku hangusha ku kichwa kya Hamane mafikara yake mubaya ye nyewe aliye panga juu ya wa Yuda, na kumu tindika kumuti, ye na watoto yake kumi wana ume. 26 Njo ya kwamba wata ita siku ile Purim, jina ya ubaya, kisha mabo yote haya, nyuma ya yota ambaye wenye we waliyo ona na macho na ile yote yenyewe iliyo batokaya. 27 Wa Yuda waka kamata kwabo na batoto yabo na mutu wote amabaye aliya ji kaba kwabo muhuri ku saini mukapo, wa milele ya kufanya feti kila mwaka ku ile siku mbili ku fatana na mahandishi na kwa muda ule ule uliyo sainiwa. 28 Ile siku itakuwa ukumbisho na kufanya karamu yani feti kwa kila kizazi kitapo kuja nyuma hadi mwisho wa duniya. 29 Bibi wa mufalme, binti wa Bishayi na Mardoshe waka andika kwa mara ingine juu ya ku hakikisha ile baruwa juu ya Purim. 30 Waka tuma ma baruwa kwa wa Yuda wote ndani ya majimbo miya moja na makumi mbili na saba ya mufalme Aswero, ili andikwa ndani habari ya kimia na ya wa jhaminifu. 31 Juu ya kuhandika ile siku Purim kwa wakati wake, kama vile mu Yuda Mardoshe na bibi wa mufalme Esta wali weka na vile wali penda pekeyabo juu ya batoto yabo, kwa sababu ya kuheshimu kufunga chakula na kuliya. 32 Kwa iyo oda ya Esta ika kubalisha sheriya ya Purim na ile ika andikwa ndani ya ya ma baruwa.