SURA 8

1 Kwa ile suku, Mufalme Asuero, aka mupa, bibi wa mfalme Esta nyumba ya Hamane, Aduyi ya Yudz,na Mardoshe aka sibama mbele ya mufalme, kwa sababu Esta alijulisha namma gani walizalika na Mardoch. 2 Mufalme aka ondowa pete aliwe chuguwa ku kidole ya Hamane, na ku mupa Mardoshe, na Esta naye aka muweka mardoshe ndani ya nyumba ya Hamane. 3 Kisha Esta akasema tena mbele ya mfalme, na kujitupa chini ya miguu yake, akaliya na kuomba kama, ulete oda ya kuvunja Amri ya uwaji wa Hamane, Agaguite na mafikana mabaya ya Hamane juu ya wa Yuda. 4 Mufalme aka inuwa gongo yake ya oro kwa Esta, aka sibama na akibaki bwima mbele ya mfalme. 5 Akasema kwa hiyo: kama mufalme ana penda kama napata nehema mbele ya mufalme, kama mambo ita hufikiya mujuri mfalme na kama ni na furaisha mfalme ku macho yake, ba handike ma baruwa ya oda ya Hamane, mqtoto wa JHamidata, Agagwite, ye njoo ali andikishaka, juu yaku kuwa ba Yuda bote benye kuwa ndani ya majimbo ya mfalme Asuero. 6 Kwa sababu gani nitaweza kuona mateso ya ivi ndani ya kizazi kyangu na namna gani nita weza kuona kuharibika kwa taifa yangu? 7 Mufalme Asuero akasema na Esta angaliya nina kupatishiya nyumba ya Hamane, na walimu tundika yulu ya muti juu yaku penda kuuwa wa Yuda. 8 Muandike basi mikanda juu ya bayuda, vile ina mipendeza, mujina ya mfalme, na ita sainiwa na peteya mfalme, kwa sababu barua yote yenye kwandikwa mujina ya mufalme na siku sainiwa na ,peteya mfalme, aiwezi kutupwa, inapashwa kuheshimiwa. 9 Wa handishiya ya mfalme wakaitiwa wote wakati ule, siku ya makumi mbili na tatu ya mwezi wa tatu ye nyewe iko mwezi a Siva, na waka handika, kufatana na oda Mardoshe,kwa falme, na kwa wa kubwa wanajimbo, miya moja makumi mbili na saba, yenye kuwa ngambo ya indya, ngambo ya Etyopiya, na kila jimbo na mahandiko yake na kila taifa kwa ruga yabo na kwa bayuda, ku fatana na mahandikiyo yabo, na kwa ruga yabo. 10 Waka andika mujina ya mfalme Asuero, na waka saini na pete ya mfalme, na wakatuma mikanda ndani ya viombo ika bebewa kumikongo ya wapunda. 11 Kwa iyo mikanda, mfalme aka wapa wa Yuda ndani ya majimbo ambaye walikuwa, wajikusanye pasimoja na kupigana kwasabu ya kuponesha maisha yao, ku haribu, na kuwa pamoja na watoto wao na wana wake wao, wote wakila taifa na kila jimbo yayote, itakayo chukuwa silaa kwa sababu ya kuwa wapiganisha tena na kuiba vitu vyenu. 12 Na iyo kwasiku moja ndani ya majimbo yote ya mfalme Asuero, siku ya kumina na tauya mwezi wa kumi na mbili yenye kuwamwezi wa Adari. 13 Ile mikanda yenye kufungwa nandaniya baruwa ili andikwa Oda ya ku tangaza ndani ya majimbo yote na kujulisha watu wote kama, wa Yuda wata sibama ile siku juu yakurudishaya, ma Aduyi wao mabaya waliyo watendeya. 14 Mikanda ile ika pandishwa yulu ya mapunda na ika enda mbiyo na kwa haraka nyuma ya tangaza ndani ya sise muji mkubwa. 15 Mardoshe akatoka kunyumba ya mfalme na mavazi ya rangi ya mawingu na ya mwenye na tajimkubwa ya oro, na kati ya beikali, jimbo ya sise wa kalamika kwa sauti kubwa na ku furayi sana. 16 Kwa wa Yuda kulikuwa utukufu furaha ya feti na ya makaramu na Nehema. 17 Ndani ya kila jimbo na kilamuji na fasiyote mahali kulifika oda ya mfalme na mahandishi yake kulikuwa hatiya wa Yuda furaha ju ya furaha, ya ma karamu na mafeti, na watu wengi ndani ya taifa ya jimbo ya sise, wa kajifanya kuwa wa Yuda, kwa sababu woga wa wayuda uli washika.