1 Mufalme na Hamane wakaenda ku feti ya bib wa mfalme. 2 Ile siku ya pili, mfalme akasema tena na Esta, wakati walikuwa na kunywa vinyu, ombi yako ni gani? Na utapewa, unapenda nini? Ata ikiwe kipande ya udongo ya ufalme wangu utapewa. 3 Bibi wa mfalme aka jibu: kama mfalme, ina kufuraisha mbele ya macho yako, ô mfalme na kama una penda, uni kubaliye uzima, ona ombi yangu na ponesha kizazi kyangu iyo ndiye furaha yangu. 4 Kwa sababu tuko wenye kuzishwa miye na kizazi kyangu, juu yaku haribwa, ku kuwiwa, kupoteya na kama tuli uzishwa kuwa wa tumwa, wala watumishi, ningeli funga kinywa, lakini adui ha kulinganisha ata mushiba wetu, mfalme. 5 Mfalme Aswero akajibu na kusema kwa Esta, nani ule? na iko wapi? Mwenye kuandaa mabaya ile? 6 Esta aka jibu, muhuwajima adui ni Hamane, muchawi ule! Hamane aka shikwa na oga mbele ya mfalme na bibi waye Esta. 7 Na mfalme kwa kasirani yote aka simama, na kutoka inje ya bustani, na Hamane akabaki juu ya kuomba nehema kwa bibi wa mfalme Esta, kwa sababu aliona kama kufa yake ina onekana ndani ya kasirani ya mfalme. 8 Wakati mfalme aka rudiya toka bustani naku ingiya ndani ya chuma ya feti, aka ona Hamane mwenye kwa nguka ku mikulu ya bibi wake Esta, na aka sema tena uyu mutu anataka kutenda maovu kwa bibi wa mfalme mu nyumba yake ya ufalme? Wakati masemo ile ikatoka ndani ya kinywa kya mfalme, waka mufunga Hamane sura. 9 Na Harbona moja kati ya watumishi, aka sema mbele ya mfalme: angaliya Hamane ni mwenye kuhandaa muti ku yumba yake yenye kuwa urefu wa metre makumi tano juu ya kutundika Mardoshe muyuda ule mwenye ali kuponeshaka. Mfalme akasema: mumushike na mumutundike yulu ya muti yake ambaye aliya andaa juu ya Mardoshe. 10 Na baka mutindika Hamane yulu ya muti ambaye aliye andaa juu ya Mardoshe na kasirani ya mfalme ikashuka.