1 Busiku ile mfalme hakupa usi , ngizi na aka chu kwa kitabuya mambo ya zamani, iliyopita, waka isoma mbele yake. 2 Na baka gunduwa mahali waliyo andika, mambo Mardosha ali semaka juu ya Bigta na Tereshe wa tumishi wa wili wamufalme walinzi wa mulango, benye balita kay, kumuhwa, Mufalme. 3 Mufalme, akasema, kitugani yalazima ambaya Mardoshe alipewaka? kwa sababu ya mambo haya? Wakajibu, watumishi wa mafalme hakupewa hata kitu moja. 4 Kisha mfalme akasema, Nani mwe nye ku sibaba ndani ya lupango? Hamane njo alikuya ndani ya lupango inje ya nyumba ya mfalme juu ya ku Omba mfalme Mardoshe atundikwe yulu ya muti uliye sibamishwa ndani ya lupango ya Hamane. 5 Watu mishi wa mufalme wa kajibu, Ni Hamene mwenye kusibama ndani ya lupango, na mfalme akasema: aingizane. 6 Hamane, aka ingiya, na mfalme akasema: Tu fanye nini na mutu uyu mufalme anapenda kupandisha madaraka? 7 Na hamane aka jibu, mufalme kwa mutu ule mfame anapenda ku pandisha madarakani. 8 Ina pashwa kubeba maraziya mufalme ya ki ufalme na punda wa mufalme na kumuvika taji ya ufalme ku kichwa chake . 9 Kubeba mavazi na punda humupa moja wa wakubwa ya wa tumishiwa mufalme, na kumuvika mutu ule, mufalme, ana taka kupandisha ku madaraka, na ku mutembeza yulu ya punda mugini muzima na ku lalamika mbele yake, njoo gisi inapashwa kufanyiwa kwa yule mutu ambaye mfalme anapenda kuhinuwa 10 Mufalme akasema na Hamane, chuguwa kwa haraka, mavazina punda, kama vile unatoka kusema fanya vile kwa Mardoshe, muyada mwenye, ku keti kumulango wa mfalme, usi zarau kitu hata moja ku yote ambaye uta toka kusema. 11 Na Hamane aka chukuwa mavazi na punda, na kumuvika Mardoshe, ku mutembeza muji muzima, na kulala mika mbele yake, njo ivi wana pandi sha madarakani mutu uyu mfalme ana chaguwa. 12 Mardoshe aka rudi, kulupango ya mfalme na Hamane akarudi mbeye kuchoka mwili na kutikisa kichwa . 13 Hamane aka sema na Zerkese, bibi yake na kwa barafikiyaka Wote, mambo yote iliye mufikiya, na batu yake ya mayele na Zerkese, bibi yake, wa ka mwambiya: kama ni Mardoshe mweyewe una anguka chini ya ulinzi wake, na niwa kiza zikya wayuda, hahuna tene utu kufu mbele yake, na una shikwa mateka. 14 Kama vile balikuwa na musemeya, Watu mishi wa mufalme wakafika na ku mupeleka kwa haraka fika na ku feti yani karamu ambaye mama Esta aliye andaa