Sura 10

1 Mufalme Awero, alituma watu wake, wafanye kaji ya bila malipo, ikuwe bale benye kuketi ku miji ao bale benye kuketi ku bisangala ya bahari. 2 Makazi yote ma kubwa na ya nguvu, yenye we mufalme aliye fanya, na gisi ali inuwa Mardoshe ku madaraka, bali handika ayo ku ma baruwe ya makazi ya mfalme wa Medi na wa Persi? 3 Sababu mu Yuda Mardoshe alikuwa mutu wa kwanza kisha mfalme Awero: ali kuwa na utukufu sana kati ya wa Yuda, na halipendwa sana na watu wengi wa kizazi kyake, alikwa na tafuta uzuri wa taifa lake na kusema ju yakubarikiwa kwa, kizazi kyake.