1 Mwaka ya kwanza ya mufalme Dario mwana wa Asueru, wa kabila ya ba Medi, mwenye alikwa mufalme wa Wakaliayo. 2 Mwaka ya kwango ya ulawala yake, mimi Danieli, niligundua mu bitabu kama nyuma ya muaka makumi saba Yerusalemu ita haribika, kulingana na hesabu ya miaka uenye Bwana aliambiaka nabi Yeremia. 3 Nika geuzia macho yangu kwa Bwana Mungu, kusudi nimuombe na kumu sihi kupitia mafunganiki vala mafunia na kuikala mu vumbi. 4 Niliomba Bwana Mungu wangu na nika tubu kwake hivi: Bwana Mungu mukubwa, mwenye kulisha, wenye una chungaka agano yako, na una urumiaka benye kuku penda na kuchunga odazako! 5 Tuli fanya zambi, tutu fanya macha fuko, tuko babaya na baasi, tuli acha oda na maagizo yako. 6 Haluku sikio batumishi yako ba ba nabii benye baliambia fafalme, biongozi bazazi yetu na batu yote inchi. 7 Bwana, haki ni yako lakini shie tuko na haya kumacho, kama hivi leo, kwa batu ya Yuda, bakaaji ya Yerusalemu, nakwa Yudea, bakaaji ya Yerusalemu, na kwa ba Israeli bote benye biko karibu na benye wakati ulibafukuza, balilawanyika mbali mu mainchi zote, bali kimbia kwenda fichama. 8 Bwana, sisi ba falme betu, bakubwa yetu, na ba baba yetu tuko na hayi kumacho ju tuli fanya zamb mbele yako. 9 Kwa Bwana, Mungu wetu, kuko rehema, na uruma sababu tuli musai. 10 Hatukusia sauti ya Bwana Mungu wetu kusudi tufuate sheria zake zenye alitiaka mbele yetu kupitia batu mishi bake ba nabii. 11 Israeli yote ili vunja sheria yako, na iligeuka basisikie sauti yako. Halafu laana na mabaya yote Musa mutumishi wa Mungu bilitumwangikia sababu tuli fanya zambi mbele ya Mungu. 12 Ali tiliga maneno yenye alisemaka ju yetu na biangozi benye batituongozaka, aliletea musiba mukubwa yenye ili fikiaka Yerusalemu. 13 Vile ina andikiwa mu sheria ya Musa ile musiba ili tu fikia; na hatu sihi Bwana Mungu wetu, hatukutoka mu mabaya yetu, hakukua wasikilivuwa kweli yako. 14 Bwana aka kua makini ju ya ile musiba na akalileta ju yetu sababu Bwana ni mwaminifu mu byote byenye ana fanya, lakini shie hatu sikilizo sauti yake. 15 Sasa Bwana, Mungu wetu, mwenye uli tashaka taifa yako mu inchi ya Misri kwa mukonoyako ya nguvu, uka tukuza jina yako gisi iko leo tuli fanya makosa na zambi. 16 Bwana, kupitia rehema yako mukubwa utoshe hasira na kasirani yako mu muji yako mutakatifu, sababu, ju ya mabaya yetu, na machafuko ya baba zetu Yerusalemu na babatu yako, tuna laumika na mataifa ye kuluzunguka. 17 Sasa Ee Bwana Mungu wetu sikiliza maombi na malalamiko ya mutu mishi wapo, na kwa ajili ya mapendo ya Bwana angoza buso yako ku hema yako yenye kuharibika. 18 Mungu wangu tega lisikia yako usikie! Fqungula macho uangalie maboko yetu angalia muji kwenye jina yako ina abudiura, sababa haiko ju tuko bazuri njo tuna kuletea malalamiko yetu niju ya uru mayako. 19 Bwana, sikiliza, hurumia, tenda bila kukawiya kwa upendo yako Ee Mungu wangu sababu jina yako ina abudiwa mu muji na mutaifa yako. 20 Nilikua ningali nasema, kuomba, naku unga mazambi yangu na ya taifa yango Israeli nanililikua na toa malalamiko yango kwa Bwana Mungu wangu ju ya mulima muta katifu yake; 21 Nilikua ningali na sema mu maombi yangu, njo Mutu Gabrieli mwenye nilionaka mbele mu maono aka ni sogeleo aki ruka haraka ma pande ya sekendo. 22 Akaniongelesha na kunipa elimu, akasema Danieli, mina kuya sasa kufungula akiliyako. 23 Wakati ulianza omba, neno ili tako na mina kuya kukuambiya ayo; sababu uko mpendwatega sikio kwa neno na uelewe maono! 24 Majuma makumi saba zili wekewa ju ya taifa yako na ju ya muji yako muta katifu, ju ya kunyamanzisha uasi na ku maliza zambi ju kusafisha maovu na kuleta haki milele, ju ya kitia muhuriku maono na unabii, na ku pakala mutakatifu wa ba takatifu mafuta. 25 Ujue sasa na uelewe! Tangia wakati neno ili sema kama Yerusalemu ita jingwatena mpaka ku mupakaliwa mukubwa, kiko majuma saba, na majuma makumi sita na mbili, biwanja na matundu bita rudishiwa lakini mu wakatingumu. 26 Kisha majuma makumi sita na mbili, mupakaliwa moja ata ondolewa na hata pata ugombozi, batu ya mukubwa moja yenye ita kuwa, ita haribisha muji na hema na mwisho yake itakuwa sawa mafuriko na uharibishi ita dumu mpaka mwisho wa vita. 27 Atajipatanisha na wenye mu juma moya na muda ya kepande ya juma, ata komesha zabihu na sadaka; muharibifuatafanya machukizo makubwa mpaka ma bomoko, na byenye bili amuliwa bi angukie muharibifu.