1 Mwaka ya tatu ya ufalme ya Belishaza, mimi Danieli nika pata maana tefauti na yenye nilipata mbele . 2 Wakati niliipata nilkua sawa niko suza, muji mukubwa wa jumbu ya Etamu katika maono yangu niliji kuta karibu na mutoni ya ulai . 3 Nilinyanya macho, nikaona dume ya kondoo ilikua na simama mbele ya mutomi ilikua na mapembe murefu lakini moya ilikua murefu lakini moya ilikua murefu zaidi kushinda ingine na njo ili simama ya mwishi. 4 Nikaona ile dume ya kondoo ikapiga mapembe ngambo ya mashiriki kasikazini na kusini, akuna nya ma yenye ingweza kumu pinga na hakuna myenye nge wezo kuokoa mateka yake alikua fanya byenye ana taka na akakua na uwezo. 5 Gisi niliangalia kwa makini beberuo moja aka tekea mangaribi ali zungu ka dunia muhewa bila kufika ku bulungo ili kua na lipende ya kabambi katikati ya macho. 6 Akafika dune ya kondo yenye ili kuo na mapembe yenye niliona ina simama mbele ya mutani beberu ika ikimbiza na hasira. 7 Nikaiona ina sogelea kondoo na kii fekea ngufu, akapiga kondoo dume na kuvunja mapembe yote mbili kondohaikupata nguvu chini na kuikanyaga na hakuna mwenye aliokoa kondoo. 8 Beberu akakua ngufu, lakini lipempe yake ika vunjika . Kaka inuka mampembe ine kubwa kwa kui gombo la mu pepo ine za mbingu. 9 Meza ikatosha lipembe kidogo, ikapanuka sana ngambo ya kusini mashariki na ngambo ya inchi nzuri sana. 10 Ikaimuka sana mpaka ku jeshi ya angani kipande ya ile jeshi ikana nyota bikaangu akabika njaga. 11 Ikapanda mpaka kwa mukubwa wa jeshi, aka mutosha zabihu ya kudumu na kupindua mahati ya hema yake. 12 Baka taa jeshi na zabiku ya kudumi sababu ya zambi ile pembe ikatupa ukweli chini , na ika faulume ma kazi zake . 13 Nika sikia mutatifu moja anasema ungine mutakatifu akamuambia mpaka wakati gani ile maono ju ya zabihu ya kudumu na juyazambi ya usharibifu ita timilika? wakatigani, hema na jeshi bita kanyagwa? 14 Akaniambia: magaribi na asubuhi elfu mbili na mia tatu hema lita takasiwa. 17 Mie danieli nilikua ningali mu ndoto na niko natafuta kuielewa mumoja mwenye alikua sa mutu alikua na simama mbele yangu . 15 Nikasikia sauti sawa ya mutu katikati ya Ulai ika sema: Gabrieli mufasirie maono. 16 Akasogea sasa kwenye nilikua nikaogopa na kuanguka kifudifudi. Aka niamba: Sikiliza mwana wa mutu sababu maona ina husu muda yenye ita kwisha. 18 Gisi iko na mi semesha nikabakia mwenye kulewa lewa buso ohini akanigusi na kunisimamisha kwenye nilikua. 19 Kisha akaniambia: nita kufundisha byenye bita fika mwisho wa hasira sababu kuko muda yenye ili weka ju ya mwisho. 20 Kondoo dume uliona ikona ma pembe ni bafalme ba medi na Peresi. 21 Beberu ni mufalme Yavani lipembe kubwa katika ya macho ni mufalme wa kwanza. 22 Mapembe ine zenye zili inuka kusudi zi gombole ili wanjika, ni mafalme ine ze zita kuya inuka mwa hii taifo lakini haita kua na nguvu zaidi. 23 Kisha utwala yobo, wakati batu ya zambi bata lunguziwa kuta inuka mufalme mukali na mwenye hila . 24 Mamulaka yake ita komala lakini sikwa nguvu zake, atafanya uhari bifu mukubwa, atafaulu ma kazi zake atah haribisha benye nguvu na batakatifu. 25 Unabi yake ya ujanja ita faulinjo roho yake ita panda kiburi ata angamiza batu mingi benye balikua naishi na amani na atainukia mukubwa wa biongozi lakini ata vunjwa na hakuna ingine mukono yenye ita musaidia. 26 Maono kuhusu magaribi na asubui ni ya kweli. Weye shika hii maono kwa siri sababu ina lingana na nyakati mbali mbali. 27 MImi Danieli mili teseka siku mingi na nikagonjwa, lakini nili kua na sima nakushugulikia mambo ya mufalme. Nilishangala namaono nahakuna myenye alijua.