Sura 7

1 Mwaka ya kwanza ya Belishaza, mufalme wa Babiloni, Danieli aka pata ndoto na maono mu roho yake wakati alikua na lala. Kisha akaiandika na ku eleza bitu ya musingi. 2 Danieli akaanza kusema: Mu maano yangu ya busiku miliona pepo zote ine za mbinguni zili vuma nguvu ju ya bahari kubwa. 3 Na wa nyama ine bakubwa, to fauti baka tokea mu bahari. 4 Wakwanza alikwa na fanana na simba, na alikua mabawa ya tai, nili tazama mpaka mabawa yake ika ongo lewa, aka simamishiwa ku bulongo na migulu yake sawa mutu, baka mu palia na roho ya mutu. 5 Nyama ya pili ilikua na fanana na dubu, na ilikua ina simamia ngambo moya, ilikua na mifupa tatu ya mavu mu kinywa kati kati ya meno, na balikua na mwambia: sima, kula minofu mingi. 6 Kisha ile niliangalia ingine ili kua na fanana na chui, na ili kua na mabawa ine sawa ya ndege ku mugongo, ile nyama ili kua na bichwa ine na baka ipalia utawala. 7 Nikaona tena mu maono ya busiku kulikua nyama ya ine yenye haiko ya kawaido, ya matata, tena ya nguvu na ya kutisha mano yake ilikua kabambi ya chuma, ilikua na tafuna, ku vunja na ku kanyaga kanyaga byenye bina bakia, ili kua tofuati na zingine ma nyama zote za kwanza pia ili kua na mapembe kumi. 8 Nili kua na fikiria mapembe, njo nika ona kengine kangaka kidogo ina tokea kati kati, na tatu mu za mbele zika ongolewa mbele ya kale, ile nyama il kua na macho sa ya mutu na kinywa ili kua na sema na ma zarau. 9 Nikaona sa biko na tia biti, na mzee wa zamani aka keti, nguo yake ilikua mweupe kama teluji na nywele za kichwa yake ili kua kama sufi: kit yake ili kua sawa ndimi za moto, na ma gurudumu sawa motomukali. 10 Mutoni ya moto il kua nashuka na kutokelea mbele yake, elfu ya maelfu wali mutumikia, milioni elfu kumi bali simama mbele yake. Muamuzi aka keti na bitabu bika funguliwa. 11 Halafu nikaono bakaua ile nyama ju ya maneno ya ma zarau yenye kale ka lipembe ka likua na sema, baka haribisha muili yake naku itoa iliingu ziwe. 12 Baka tosha uwezo ya zile zingine nyama, lakini baka ziongezea maisha mpaka wakati fulani. 13 Mu maona yangu ya busiku, niliona kama wingu ya mbingu kuka tokea mwenye kufanana na mwa wa mutu, alikua naenda mbele ya mze wa siku na baka mukaribisha kwake. 14 Baka mupatia uwezo, sifa na utawala; batu yote, taifa zote batu ya luga zote baka mu tumi kia, utawala yake ni ya milele yenye haitapita, na haiwezi ku haribika. 15 Miye Danieli, roho yangu ika bubaika ndani yangu, na maono ya kichwa yangu zika mi ogopesha. 16 Nika sogelea mumoya mu benye bali kua pale, nika muuliza nini yenye iko na pitikana kabisa? Aka niambia abyo na ku nipa ma fasirio: 17 Zile nyama ine kubwa, ni wafalme ine benye bata inuka mu dunia, 18 Lakini baakatifu ba zile wa juu sana, bata pata ufalme, na bata utawala milele na milele. 19 Kisha ni tamani kujua ukweli ju ya zile nyama ine za matata sana na to fauti na zingine zili kua na meno ya chuma, na makucho ya shaba, zili kua na tafuna, ku vunja na ku kanyaga bya ku bakia. 20 Na ju ya mapembe kumi yenye ile ali kua nayo, kwaile lipembe i yenye ili kua naone kana kushinda zingine, ili kwa macho, na kinywa yenye kusema na mazarau. 21 Nikaona ile lipembe ika piganisha batakatifu na ika bashinda, 22 Mpaka wakati Mzee wa ma siku alikuya patia ba ta katifu ba ule wa juu sana haki, na ika muda yenye batakatifu bali zibiti ufalme. 23 Akambia hivi: Nyama ya ine ni ufalme ya ine yenye ita kuaka ku dunia, tefauti na zingine na ita tafina dunia muzima, kuivunja na kuikanyanga. 24 Mapembe kumi, ni ba falme kumi benye bata inukaka mwa ile ufalme mwengeni ita inuka nyuma yabo, ata kua tofauti na ba mbele, ata vunja ba falme batatu. 25 Ata tamuka maneno ju ya ule wa juu sana ata sumbua bata katifu ba ule wa juu sana, kwa matumaini kama ata ba dikisha nyakati na sheria; bata kalifu bata tolewa mu mikono yake muda fulani, nyakati, na muda kitambo. 26 Halafu hukumu ita tokea, na bata mu tao utawala, bata iharibisha na kuimaliza lote. 27 Ufalme, utawala, na ukubwa ya ma falme zote yenye ziko chini ya mbingu zita patiliwa kwa batu ya bata kalifu ba ule wa juu sana. Ufalme wake ni wa milele, batawala bote bata batumikia na ku batii. 28 Maneno ikaishia hapa, mimi Danieli nika changanyikwa sana na mawazo yangu, rangi yangu ika badika na nika weka ile maneno mu roho yangu