SURA 10

1 Mwaka ya tatu ya Siruri mufalme wa ba persi, Danieli mwenye abitwa tena beli shaza. Ile neno yenye kwo kweli ina onya Ju ya misiba mukubwa. Akasikiliza ile neno na akapata ufalmu ya maono. 2 Mwa ile wakati mie Danieli nika omboleza muda ya Ju ma tatu. 3 Sikukua na chakula muzuri, mu kinywa, yangu, sikutia: Nzama wala pambe, na sikujupakala mafuta mpaka majuma tatu zika amia. 4 Musika makumi mbili na ina ya mwezi wa kwanza, milikua pembeni ya mutoni mukubwa Hiddekeli. 5 Nikainua macho, mikaona mutu mwenye ana valanguo mweupe, na mukaba ya zahabu yo ufazi . 6 Mwili yake ilikua kama zabarajadi, uso ya kuangara sawa umeme, macho yake ilikua sawa miali ya moto, mikono na migulu yake ilikua kama shaba nzuri, na sauti yake ilikua sawa ya batu mingi 7 Mimi peke Dnieli nikaona, lakini batu be nye tuli kua nabo habakuona, lakini ba patwa na bonga mingi balakimbia kwenda jifichika. 8 Nikabakia mipeke nikaona ile maono mukubwa, nguvu zika niisha, buso yangu badilika na kukunjamona, mikaregea . 9 Nikasikia sauti ya ma neno yake ; mikaanguka na kua kama mulevu, buso yangu chini. Mukano ikanigusa ikatingiza magotina mikono yangu. 10 Mukono ikanigusa ikatingiza magotina mikono yangu. 11 Kisha akaniambia: Dnieli; Mupendwa simama pale kwenye uko na usikizo maneno yenye nda kuambia, sababu minatumiwa sasa kwako. Naka simama na ku tetemeka. 12 Akaniambia Danieli usiogope kitu; sababu: tangu siku ya kwanza yenye uli kusudia kuelewa, na kujishusha mbele ya Mungu wako, maneno ko ili sikilika na njo mana mina kuya. 13 Kiongozi wa ufalme ya bapersi akani zuia nja muda wa siku makumimbeli na moya; lakim Mikaeli moya wa biongozi akakubwa akakuya kuni saidia. 14 Mina kuya sasa miku julishe byenye bi napashwa hikia taifo yako kiisha muda hilani, sababu maano inahusu ile muda. 15 Gisi angali na miambia ile maneno nikanyamaza, na kiikazia macho yangu chini. 16 Pale pale mumaya mwenye kufanana Mwana wa Mutu akagusa milomo yangu Bwana yangu, maono inani gopesha mina regea. 17 Miye mutumish wa Bwana nitasema namunagani? Sasa minakosa nguvu na sina tena pumuzi. 18 Halafu ule mwenye kufanana mutu akanigusa tena akanitia nguvu. 19 Akaniambia usiongofe mupendwa, amani ikue kwako ! Jikaze ! na kapata pata tena nguvu, nikasema: Bwana sema juume nitia nguvu. 20 Akaniambia: Una Jua kwa nini mili kuya kwako? sasa mina rudia kusudi nipigamishe biongozi ya bapersi; na wakati nita enda, mukubwa wa Java ata kuya. 21 La kini nita kujulisha byenye bina andikiwa mu kitabu ya ukweli Hakuna, ni Mikaeli kiongozi wenyutu