Sura 11

1 Mwaka ya kwaza ya Dariusi mu medi, nili kua karibu yake, ku muunga mukono naku musaidia. 2 Sasa, nitajulisha ukweli, kuta kua tena ba falme bapersi batatu. Wa ine ata kisanya uta Jiri zaidi kushinda bengine bote, na wakati atakua nguvu ju ya mali atainukia ufalme ya yava. 3 Lakini kutainuka mufalme shuja mwenye ata tawala na uwe, na ata fanya byenye amataka. 4 Na wakati ata inuka, ufalme yake itapasuka na kugawanyika ngombo ya pepo ine za mbingu, haita kua mali ya kizozi yake, na hata kua tena nguvu sawa mbele, sababu ita pasuliwa, na bengine ku mushinda bata ikamata 5 Mufalme wakusini atakua nguvu lakini mumoja wa bingozi yake ata kua nguvu kumushinda, atatawala, na nguvu. 6 Kisha miaka hilani bata junga pamoja na binti wa mufalme wa kusini ata kuja kwa mufalme wa kasikazini kusudi arudishe mapatano, lakini hata linda nguvu ya mukono wake, ata tolewa yeyi na benye beli muleta, na baba yake, na mwekati. 7 Mumoja ata Chiputa kushina yake alainuka fasi yake ata pitia ku majeshi, ata jipenye za mungombe ya mufalme wa kosi kazini ata ikamata gisi ana penda; na ata ji fanya kwa nguvu. 8 Atatosha sanamu, na miungu na kuzibeba huko misri pamoja na byombo byabo byote bya zahabu na fieza, na atabakia mbali na mufalme wa kasikazini. 9 Huyu ata shambulia mufalme wa kusini, na kurudia mu inchi yake. 10 Batoto yake bata pija kampi na batakusasanya maelfu ya Jeshe wengi, meja ata sompa mbele, ata panua sawa mutoni yenye ina vika mpaka, na kurudia, atandelesha mapambano mpaka nku ngome ya mufalme wa kusini. 11 Mufalme wa kusini ata sirika, ata toka na kushambulia mufalme wa kasikazini, atainua maelfu wengi, na majeshi ya mufalme wa kasikazini bataanguka mu mikono yake. 12 Bale maelfu bata hurahi na roho ya mufalme ita vimbo; ataangusha maelfu, lakini hata shinda. 13 Sababu mufalme wa kusikazini ata rudia na kukusanya maelfu wengi zaidi kushinda ya mbele; kisha muda fulani, na miaka fulani ata Ramata mwendo pa moja na Jeshi kubwa na mali mingi. 14 Mwaile wakati, wengi wata inukia mufalme wa kusini, banaume Shujaa ba taifa yako bata temboka ; na batakufa kusudi maono itimike 15 Mufalme wa kasikazini ata songa mbele, ata fanya ma ndaki na kamata miji ya nguvu majeshi na basomi ba mufalme miji wa kunini habata simama bata kosa nguvu. 16 Mwenye atasubutu kumu shambulia, atafanya ata simama mbele yake; ata simama mufasi zote za muziri mu maisishi, ata maliza ba mateka bate. 17 Ata panga kusika na bikosi yete ya ufalme yake na ku hanya mukatoba ya amani na mufalme wa kusini, ata muowesha binti wake, kusudi amu amuharibishe, lakini haita wizekana, na hata faulu. 18 Atageuka kuanglia ngambo ya bisanga, na ata bikamata kwa wingi , lakini kiongo zi meja ata maliza upandumizi yenye alitaka kumuletea, na ata mu rudishia nayo. Kisha atageukia ngome zainchi yake. 19 Lakini atakwala na kuanguka na hataonekana tena. 20 Mwenye ata mugumbola, ataleta mutenda maovi mufasi nzuri za ufalme, lakini ssiku chache, ata vunjiwa vita. 21 Mutu wa burebure ata kamata fasi yake, ata onekana sawa mwenye anakuya na amani, ata kamata ufalme kwa fitina . 22 Majeshi yenye kusamabarana sawa mutoni, ita zamishwa mbele yake, na kutegetezwa sawa kiongozi wa agano. 23 Bakisha kujiunga kurake atatumia ujanja, ata simama na, batu kidogo tu na kukoba vangozi. 24 Ataingia kwa amani, mu mafasi ze mbaleo mingi mua ile Jumbo; ata fanya byenye ba baba yake na batate, yake nabakufan yaka, ata atagabula bitu na mali yenye ba lichaji kwa adui; atapamga kubomola ngome, na yote ni kwa mudahulani. 25 Pamoja ma Jeshi kubwa yenye ata ongoza, ata waka na kutumikisha nguvu zake ju ya mufalme wa kusini, na mufalme wa kusini ataingia mu mapambano pamoja na Jeshi nyingi na ya nguvu sana; lakini hata simama sababu bata mu vamatia mpango mubaya. 26 Benye banakulaka naye njo ba mushindisha, majeshi yake ita tawanyika sawa maji, na batakufa kwa u wingi. 27 Bale bafalme mbili bata panga mabaya muroho zabo na sabatakwa kwa meza, masemi yabo ita sema bongo , lakini ile haito faulu mwisho iko na wakini yake. 28 Atarudia mu inchi yake na utajiri mukubwa, na muroho yake atachukia angonano takatifu, ataitendea mubaya, njo ana rudia mu inchi yake. 29 Kwa wakali yenye hili pangiwa, ata shambulia tena kusini lakini marahaba haita pita tena kama mbele. 30 Meli za kitimu zita sogea ju yake ata vingika moyo, na kurudia nyuma, atakasirikia agano tabatifu, mukirudia hatabakia kitako; ata sikiliza benye baliacha ile yano takatifu. 31 Kwa oda yake, majeshi ita jipango bata chafula patakatifu, ngome, bata komesha saita katifu, ngome na batainwa chukiza ya uharibifu. 32 kwa budangonyifu ata vuta banafi ba muagano, lakini mu taifa, benye kumujua Mungu wabo bata bakia ku musimama 33 Na katikati yabo, benye biko na hekima bata shauria maelfu, kutokua benye bata kufa kwa upanga bongini kwa moto , kwa mateka na kwa kupora . 34 Mwa ile mateso bata pata musoa da kidogo na bamafiki bengi bata juinga kuabo. 35 Batu ya hekima ya hekima bama ya batakufa kusudi batakasiwe na kufanyuwa beupe, mpaka wakati ya mwisho sababu ta ta fika muda yake. 36 Mufalme ata fanye byenye anapenda ata simama na kujitukuza ju ya miungo yote, na atasema byamu baya ju Mungu wa miiungu, ata tulia mpaka hasira itekilezwe sababu byenye bilipangwa bita timilika . 37 Hata heshimi na miungo ya baba zake, na kwa munzimu wa buzuri ya banamuke, hatajali mungu maja, sababu ataji inua mbele ya miungo yote. 38 Lakini ataheshimu mungu wa ma ngome ku musimamio yake, ile miungu yenye haijue baba zake ata itukuza na zahabu leza na ingine majiwe na byombo bya beyi kali. 39 Ni pamoya na mungu wa kigeni njo ata tendea mahali pa nguvu, na ata tukuza benye bata mu kubali ata ba patia utawala ju ya batu mingi , ata bangabulia bulongo sawa matabishi. 40 Kwa wakati ya mwisho, mufalme wa kusini ata mukwako na mufalme wa kasikazini ata yeyuka sa wa upepoju yake. 41 Muinchi, ata kamata mafasi za muzuri sana, na bangi bata kufo; lakini Edomu, Moabu, na bakubwa ba batoto ya Amoni, bata talewa na mukono yake. 42 Atanyerosha mukono yake ku ma inchi mabalimbali, na inchi ya misri haitaponyoka. 43 Ata ji fanya kwa mwenyeji wa bitu ya zahabuna heza, na bitu ya samani, wa libya na ba Etiopia wata mu fauta 44 Habari za mashariki na kasikazini zi ta muogo pesha, na ataenda na hasira kubwa kuharibisha, na ku maliza ile maelfu. 45 Ata shimikahema ma hema za nyumba yake katikati ya mabahari ngambo ya mulima mulima mutu kufu na mutakatifu Kisha ata fika mwisho bila hata mutu ku mu saidia.