1 Ule wakati kutainuka Mikaeli, kiongozi mukubwa , mutetezi wa batoto ya taifa lako, itakua wakali ya shida, ngihaija onekanaka tangia mataifa ziko mpaka ile wakali. Ule muda batu ya taifa lako benye bata kutamiua ba me andikiwa mu kitabu, bata bokelewa. 2 Bafu benge batafufuka bengine ju ya uzima ya milele benginenma mateso na haya ya milelel. 3 Benye balikua na akili bata meremeta sawa mwangaza ya mbingu na benye bata bame fundisha haki kwa maelfu bato angara sawa nyota Naimo milele. 4 Wewe Danieli shikahii maneno kwa siri, na utie kitabu muhuri mpaka mpaka wakati ya murisho.Halafi wengi wataisomana ujuzi itaengezeka. 5 Na mie Danieli miliangalia ni kaona batu bengine bawali balikua na simama mu moja pembeni ya mutoni, mwenzi me mbali kidogo na mutoni . 6 Mumoya wabo akauliza ule mutu mwenye kuvala nguo mweupe , na kusimama ju ya mutoni: mwisho ya hii maajabu ita kua wakatigani. 7 Na ule mutu akainua mikono yake juu mbinguni , akalapa kwa jina ya myennye kuishi milele kama ikakuwa mu wakati ya nyakati na muda kidogo ile bibu ita wakati nguvu ya batu ita ita malizika kabisa 8 Nilisikia lakini sikuelewa, nika uliza Bwana wangu , ile mambo ita tokea wapi? 9 Akajibu Danieli, wende sababu ile ni siri imetiliwa muhuri mpaka wakata ya mwisho. 10 Bengi bata takasiwa bakue beupe na bara , baovu bata fanya mabaya na kati yabo hakuna mwenye ata elewa lakini batu ya akili bataelewa. 11 Tangia wakali zabihu ya milele ita ita komeshwa, na chukizo ya uharibifu ita inuliwa , kutakua siku elfu moja mia mbili makumi kenda. 12 Heri mwenye atangoja nakufika kwa ile masiku. 13 Na weye songa mbele mpaka mwisho uta pumuzika na uta simama kurizi mwisho ya masiku.