Sura 4

1 Kitu ya mwisho ndugu tuna bapa moyo na tuna ba omba katika Mukubwa wetu Yesu mupakaliwa. Situlibafundishaka gisi ya kutembea kusudi mufurahishe Mungu, na njo vile wa kati munaishi mufanye ngufu muandelee. 2 Sababu muna yuwa tuli ba agiza ile katika Yesu Mukubwa wetu. 3 Sababu njo vile Mungu anapenda: Kutakasika kwenu, musisolee bukaramusi ya kimbaraga. 4 kila mutu atafite ku kimbiza mwili wake kwa kuji takasa na kujiheshimia. 5 Musi ji mwange mu kutamani sawa bapagani benye habajue Mungu. 6 Mutu asi danganye mwenzake mu shabaha yaku mufanya mubaga juu mukubwa kwa kisasi yake ju ya bile bitu yote, kwanza na njo gisi tulibaambiaka mbele. 7 Ju Mungu hakutuitaka tuendelee kua bachafu, Lakinitukue beupe. 8 Njo maana mwenye anapiga ile maneno, hatu katale shie lakini ana katala Mungu mwenye anatupatia Roho Mutakatifu. 9 Kwabanye kuelekea mapendo ya ndugu hamuna lazima mutu abandike, ju Mungu ye peke alibafundisha kupenda nyie kwa nyie. 10 Kwa ile gisi munaifanyaka kwa bandugu ba makedonia ni muzuri. Sasa tuna baomba, bandugu, muendelee ku ifanya. 11 Tuna taka mutafute sana kuishi na kimya, muji weke sana muna kazi zenu, mutumike na mukono yenu, vile tuli baambia. 12 Mufanye ile kusudi ya kutembea na heshima mbele ya benye habaya amini, kusudi musikuwa na lazima na kitu. 13 Wandugu, atupenda misiye na muchanganyiko ya maneno sawa na bengine benye banakosa matumaini. 14 Kama tu naiti kufa na kufufuka kwa Yesu, vile vile Mungu atawufufua pamoja na Yesu bale benye balikufaka kisha kumwamin. 15 Tuna bambia hivi katika jina la Mukubua wetu, atuwezi kufufuka mbele ya benye balikufa mbele yetu. 16 Juu Mukubwa wetu yeye mwenye atashuka mbinguni. Wakati tarumbeta italia na sauti ya malaika mekubwa wa Mungu,benye balikufaka ndani ya Kristo watfufuka kwanza. 17 Kisha siye benyetutakutiwa bazima, tutanyanyulia pamoja ndani ya mawingu katkutana na Mukubwa, nivile tutabakiya pamoja naye. 18 Mujipatiye moyo kilz mutu na mwenzake.