Sura 3

1 Juu ya ile, wakati tuli ona haturumhe tena, tuka amua kubakia atene. 2 Tulimutuma Timote mwenye ndugu na mwe njetu mutumishi wa Mungu katika enjili ya Bwana wetu Yesu Kristo, afike kuwapatiya nguvu na ku watia moyo kufuatana na imani yenu. 3 Tulifanya ile kusudi mtu asi changanyikwe ju ya mateso, na muna jua nyiye peke kama ile njo kaji yetu. 4 Kwa kweli wakati tulikua na nyie tulikua na wa ambia mbele kama tuta tesakaka, na ili fika ka vile mun jua. 5 Ju ya ile sababu siku vumiho tena kungoya, nilikwua na tumamutu kusudi ni jue habari ya imani yenu. Saa zingini mwenye anajaribiaka batu alisha ba pima kwa namunayake kusudi kaji yetu ionekane ya bure. 6 Lakini siku Timoteo alifika kwenu aka tu letea habari ya mujuri kusudi imanina mapendo yenu. Alituambia kama muliendelea kukumbuka matendo yetu majuri, na mulikua na hitaji ku tuana awa vile na shie tuko na ile mahitaji ku waona. 7 Ju ya ile ba ndugu, ata kama tulikua mu ma gumu, imani yenu ilitupa moyo. 8 Kwa sababu tuna isha kama nyie muna simama mujuri ndani ya Bwana Yesu Kristo. 9 Hatu jui shukurani gani tuta patia Bwana Mungu ju yenu. 10 Busiku na muchana tuna muomba na juhudi kusudi atu hingulie milango tufike kwenyu na tu wa ongejee mafundisho yenye muli kosaka ndani ya imani yenu. 11 Acha Mungu Baba yetu na Bwana wetu Yesu Kristo aongoje miguu jetu kusudi tufike kwenu. 12 Bwana awa komalishe na ajaze upendo nyie kwa nyie na kwa batu bote, vile na shie tuna ifanya kwenu. 13 Afanye vile kusudi aimarishe roho zenu na hali yenu ya utakatifu isi laumike mbele ya Mungu Baba siku Bwana wetu Yesu ata rudia na watakatifu wake.