1 Sababu munajua nyi peke wandugu haikukua kwa buze njo tulifika. 2 Mumayuwa kama tulitesekaka, mbele, na balitu fanyaka bya haya kule Filipi tuli pata ngufu yakuwa hubiri injili ya Mungu katika mijojo mingi. 3 Sababu, mashauri yetu hai kutokana na udanganyifu, wala na uchafu, hata na bongo. 4 Lakini kufuatana na kupimiwa na Mungu mbele ya kutupatiya kuhubiri enjili, ni hivi tuna ifanya tunasema si kwa kufurasha batu hapana, lakini kwa kufuraisha Mungu, sababu niyeye anachungujo myo yote. 5 Sababu, hatu kusema meseni ya ujanja kama vile muna jua, hatufanya kitu kwa kufinika tamaa, Mungu ni shahidi. 6 Hata hatu kutafuta batu batusifiye kutoka kwenu ao kwa bengine tu ngaliweja kuomba faida kama mitume ya Kristo. 7 Mbali na ile, tulitulia katikati yenu sawa mama mwenye iko na fariji batoto yake. 8 Kua hivi, njo vile tuli wapenda sana. Ika tuletea furaha ya ku gawanya enjili pamoja na nyie, pamoja na maisha yetu, sababu mulikuwa walajima sana kwetu. 9 Juu ya ile munakumbuka wandugu, kaji na mateso yetu. Busiku na muchana tuli tumika na mukono yetu kusudi tusikue mujigo kwenu. Ile wakati, tuli kua na wa hubiri habari njuri ya Mungu. 10 Muko ba shahidi na Mungu na ye ni shanidu gisi gani hitembea na utakalifu, na tulikwa bakamilifu mbele yenu benye muliamini. 11 Tena, munajua gisi gani tuliishi pamoja na nyie kama vile Baba na bato yake tulibashauria na ku wapatiya nayo. 12 Tuli waambia kama muna pashu kutembea sawasawa na watoto wa Mungu mwenye anabaita katika ufalme yake ya utukufu. 13 Juu ya ile tunaendeleha kurudisjhia Mungu shukramjetu yenye mulisikia kwetu, hamuku ipokea sawa niye mutu. Lakaini, muli ikamata vile ina toka kwa Mungu ye peke. Njo ile neno yenye ina tumika kaji ndani yenu nyie benye mumamini. 14 Sbabu, nyie ba ndugu mume iga ma kanisa za Mungu yenye jiko ndani ya Yesu Kristo kule ku bayuda, juu muli pata mateso sawa ile benjenu balipataka ku ba yuda. 15 Bale bayuda njo baliuaka Yesu Kristo, na ba nabii. Ni bayuda njo balitu fukujaka haba mu pendeje Mungu lakini bana chukia kilo mutu. 16 Bana tujuiyaka tusi hubiri maneno ya Mungu kubatu bengine benye habiko ba bayuda, habapendi nabo ba okoke hivi bana ongeja kila siku jambi kujingine. Kisirani ya Mungu ita ba angukia kwa mwisho. 17 Tulikua mbali yenu kwa mwili, lakini kwa moyo tulikua pamoja na tuli ta mani sama ku waona kwa muda mufupi. 18 Ju miye Paulo nili taka sana mikuye kwenu lakini shetani ali nijuiyaka. 19 Sasa matumaini yetu ita kua nini kule mbele, wala furaha yetu, wala taji ya sifa waka ti Bwana wetu Yesu Kristo ata kuya tena? si nyiye pamoya na bengine? 20 Ju muko sifa na furaha yetu.