1 Kwa habari ya wakati na majira, ndugu hamuna na lizima ni waandikie kwa il. 2 Kwa sababu munajua nyie benye we wazi wazi kama siku ya Bwana itakuyaka sawa vile mwizi ana kuyaka busiku. 3 Wakati batu batasema: tuko na amani na salama, njo bata shituko Mungu ana ba haribisha bila kujua. Ita kua sawa maumivu ya mwana muke mwenye anataka kuzala kawata iepuka hata kidogo. 4 Lakini nyie wandugu hamuko tena mugiza njo maana ile siku haita bafikia kama mwizi. 5 Sababu nyie bote muko batoto ya mwangaza. Hatu kobatoto ya giza. 6 Hivi sasa, tusi lale kama vile bengine, lakini tukeshe na tusi tambushe kipimo. 7 Sababu batu bote bana lalaka tu busiku, na balevi bana lewaka busiku. 8 Lakini kwa sababu tuko bototot ya mwangaza tusi pitishe kipomo, towale imani na mapendo kusudi bitu kinge, tu vale kukichwa kofia ya tumaini ya wakovu yenye kuya mbele. 9 Sababu Mungu hakutuumba juya kupata hasira yake takini kusudi tupote wokovu katika Bwana wetu Yesu Kristo. 10 Yenjo alikufaka ju yetu kusudi hata tuki ishi wala tuki kufa, tuishi pamoja na yeye. 11 Njo mana ni muzuri muendelee kutia myoyo nyie kwa nyie na ku furahisana bamoja kwa benzabo vile mulishaka anza fanya. 12 Ba ndugu, tu na baomba mu tambue katikati yenu, benye bana baongoza na kuba fundisha katika Bwana, mubakeshimie. 13 Tuna ba ombatena nyie mu ba heshimie na mubapende ju ya kaziyabo. Muishi na amani kati yenu. 14 Tuna waomba ndugu: mu wapatie angalisho bale binye banatembia katika fujo, mubapatie muoyo benye banachoka, mu vumulie batu bote. 15 Mufanye angalisho, mutu asirudishuye mwenzake mabaya kwa mabaya. Lakini muendelee kufuata byenye biko byamuzuri kati yenu na kwa mafaa ya bote. 16 Mufurahi siku zote. 17 Muombe bila kuacha. 18 Mushukuru kwa kila kitu. Sababu mapenzi ya Mungu ndani ya Yesu Kristo kwa jili yenu. 19 Musi zimishe roho. 20 Musizarau unabii. 21 Lakini muchunguze kila neno. Mukaribie mambo mazari. 22 Muepuke kila mabaya yayote. 23 Mungu wa amani awa safishe kabisa. Mioyo yenu, roho na mwili bichungwe bila buchafu mpaka siku bwa wetu Yesu Kristo ata rudia. 24 Mwenye alibaita ni mwaminifu, na ye njo ata ifanya. 25 Ndugu, mutuombe na shiye. 26 Musalimie bandu bote kwa ku ba kumbatia. 27 Mina ba lapisha mbele ya Bwana kama iyi barua muisome mbele ya ba ndugu bote. 28 Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe pamoja na nyie.