1
bapendwa , mushi itshike roh yoyote ; lakini mutshunguze maroh , dju ya kudjuwa kama ni ya Mungu , kwalakini banabi babongo bamingi bana kuya muduniya.
2
Mudjuwe kwa iyi Roh ya Mungu; roh ile ina sema Yesu Kristu ule arikuya mu mwiri ana toka kwa mungu ;
3
Na roh yote ayi seme dju ya Yesu ayina ya Mungu, ni ya mupinga Kristo , ile murifunda kuya , na sasa eko dani ya dunia .
4
Mweye , batoto , munakuya ba Mungu , na muriba wina , kwamana ule eko dani yenu eko munene kupita ule eko dunia.
5
Bo, ni ba mudunia ; dju kwamana bana sema kufatana na dunia , na dunia ina mishikiya.
6
shiye , tuko bamungu , ule ana mudjuwa Mungu ana tu shikiya ; dju kule tuta djuwa roh ya kweri na roh ya bongo.
7
Bapendwa , tupendane bamoya na begine ; kwamana mapendo na ya Mungu , na ule wote ana zarika na Mungu a na mudjuwa Mungu.
8
Ule ashi pende ashi mudjuwe Mungu , Kwamana Mungu eko mapendo.
9
Mapendo ya Mungu iridjionesha kwetu kwa vile Mungu arituma Mutoto yake moya tu dani ya dunia , kwamana tu ishi kupitiya yeye.
10
na ile mapendo iyina dju , kusema tu rimupenda Mungu, kwalakini kwa vile aritupenda na kututumia Mutoto yake kama sadaka ya kutukombola muzambi.
11
Mupendwa , kama Mungu aritupenda ivi , na shiye tunapasha kupendana bamoya na bengine.
12
Akuna muntu asha kumonaka Mungu; kama tunaripenda bamoya na bengine , Mungu ata ikala dani yetu, na pendo yake ni ukweri dani yetu.
13
tuna djuwa asema tuko dani yake , na yeye eko dani yetu , kwa ile aritupa roh yake.
14
Na shiye , turiona na turiakikisha asema Baba arituma Mutoto ya kama Mukombozi ya dunia.
15
Ule ana sema Yesu ni Mutoto ya Mungu , Mungu eko dani yake , na yeye dani ya Mungu .
16
Na shiye , turiona mapendo ile mungu eko nayo dju yetu , na turihitchikiya . Mungu eko mapendo; na ule eko na ikala dani ya Mungu , na Mungu eko dani yetu.
17
Vile eko , dju vile tuko na shiye dani ya dunia ; dju kwa ile mapendo ya mungu iko ya ukweri dani yetu . dju tu kuye na akika shiku ya mwisho .
18
Boka ina dani ya mapendo , lakini mapendo ya ukweri ina angusha boka ; kwamana boka buna onesha mapiko, na ule ana eko na ongopa ashina kweri dani ya mapendo.
19
Dju yetu , tuna mupenda , kwamana aritupenda wa kwandja .
20
Kama mutu ana sema ; mina mupenda Mungu , na ana mutshukiya nduku yake , ni wa bongo ; kwamana ule ahi mupende nduku yake ulen eko na wona , kwa mana kani atezi kumupenda Mungu ule ashi one?
21
Na tuko na mapasha ina sema ; ule ana penda Mungu ana penda naye nduku yake.