Sula 4

1 bapendwa , mushi itshike roh yoyote ; lakini mutshunguze maroh , dju ya kudjuwa kama ni ya Mungu , kwalakini banabi babongo bamingi bana kuya muduniya. 2 Mudjuwe kwa iyi Roh ya Mungu; roh ile ina sema Yesu Kristu ule arikuya mu mwiri ana toka kwa mungu ; 3 Na roh yote ayi seme dju ya Yesu ayina ya Mungu, ni ya mupinga Kristo , ile murifunda kuya , na sasa eko dani ya dunia . 4 Mweye , batoto , munakuya ba Mungu , na muriba wina , kwamana ule eko dani yenu eko munene kupita ule eko dunia. 5 Bo, ni ba mudunia ; dju kwamana bana sema kufatana na dunia , na dunia ina mishikiya. 6 shiye , tuko bamungu , ule ana mudjuwa Mungu ana tu shikiya ; dju kule tuta djuwa roh ya kweri na roh ya bongo. 7 Bapendwa , tupendane bamoya na begine ; kwamana mapendo na ya Mungu , na ule wote ana zarika na Mungu a na mudjuwa Mungu. 8 Ule ashi pende ashi mudjuwe Mungu , Kwamana Mungu eko mapendo. 9 Mapendo ya Mungu iridjionesha kwetu kwa vile Mungu arituma Mutoto yake moya tu dani ya dunia , kwamana tu ishi kupitiya yeye. 10 na ile mapendo iyina dju , kusema tu rimupenda Mungu, kwalakini kwa vile aritupenda na kututumia Mutoto yake kama sadaka ya kutukombola muzambi. 11 Mupendwa , kama Mungu aritupenda ivi , na shiye tunapasha kupendana bamoya na bengine. 12 Akuna muntu asha kumonaka Mungu; kama tunaripenda bamoya na bengine , Mungu ata ikala dani yetu, na pendo yake ni ukweri dani yetu. 13 tuna djuwa asema tuko dani yake , na yeye eko dani yetu , kwa ile aritupa roh yake. 14 Na shiye , turiona na turiakikisha asema Baba arituma Mutoto ya kama Mukombozi ya dunia. 15 Ule ana sema Yesu ni Mutoto ya Mungu , Mungu eko dani yake , na yeye dani ya Mungu . 16 Na shiye , turiona mapendo ile mungu eko nayo dju yetu , na turihitchikiya . Mungu eko mapendo; na ule eko na ikala dani ya Mungu , na Mungu eko dani yetu. 17 Vile eko , dju vile tuko na shiye dani ya dunia ; dju kwa ile mapendo ya mungu iko ya ukweri dani yetu . dju tu kuye na akika shiku ya mwisho . 18 Boka ina dani ya mapendo , lakini mapendo ya ukweri ina angusha boka ; kwamana boka buna onesha mapiko, na ule ana eko na ongopa ashina kweri dani ya mapendo. 19 Dju yetu , tuna mupenda , kwamana aritupenda wa kwandja . 20 Kama mutu ana sema ; mina mupenda Mungu , na ana mutshukiya nduku yake , ni wa bongo ; kwamana ule ahi mupende nduku yake ulen eko na wona , kwa mana kani atezi kumupenda Mungu ule ashi one? 21 Na tuko na mapasha ina sema ; ule ana penda Mungu ana penda naye nduku yake.