Sula 3

1 Mone mapendo ya Baba ina tu shudiya , dju batu ite batoto ya Mungu! nq tuko bqtoto yqke . kamq dunia ayi tudjuwe , nikusema qshi mudjuze. 2 Bapendwa , tu na kuya sasa batoto ya Mungu , na ile tu takuya ayi ya onekana , tutakukuya sa yeye , kwama tuta mu ona vile eko. 3 ule wote eko na ile imani dani yake aritakase , sa vile eko yemoya eko mutakatifu. 4 v 4 Ule wote anafania zambi ana enda pembeni ya sheria, na zambi iko nenda pembeni ya sheria. 5 kwalakini , munadjuwa , Yesu arikuya kutosha zambi , na akuna zambi dani yake. 6 ule wote anekala dani ya zambi ana wake ; ule wote a natenda zambi ashi kumone , na ashikumudjuwe. 7 Batoto kiloko , muntu ashimilande , ule wote ana tumikia ukeri eko na aki, sa vile ye moya eko aki. 8 ule ana fanya zambi eko wa shetani , kwamana shetani arifanya zambi kwazi kumwanzo . Mutoto ya Mungo ari djionesha dju ya kwalabisha matendo ya sheitani. 9 Ule wote arizarika na Mungu ashi fanyake zambi, kwamana beko ya Mungu iko dani yake ; na ashiwezi kufanya zambi, dju arizarika na Mungu. 10 Djo kule tuna djuwa batoto ba Mungu na batoto ya shetani. Ule wote ashi tumikiye ukweri ana wa Mungu , naule ashi pende nduku yake. u 11 kwamana barimionesha na murishikiya kwaziya mwandjo , kusema inapasha tupendane bamoya na bingine. 12 na mushi mufane Kaina ,, arikuya wa mukalamushi, na ariuwa nduku yake . Et na djoyanini ariuwa ? kwamana matendo yake irikuya mubaya, na na ile ya nduku yake irikuya muzuri. 14 13 mushi shanga , badunku , kama dunia ina mitshukiya. tunadjuwa asema turipita kulufu na kweda ku bujima , kwamana tuna penda badunku , ule ote ashi pende eko dani ya luofu. 15 ule wote eko na tshukiya nduku yake ni muwuwayi, na muna djuwa asema akuna ata muwuwadji eko na maisha ya milele a nekala mwake. 16 Turidjuwa mapendo , kwavile aritowa maisha yake dju yetu; nashiye tu na pasha kuleta maisha yetu dju ya banduku yetu . 17 Kama muntu eko na bintu bia dunia , na ana ona nduku yake ana kintu , na ana mufungiya roh , kwamana kani mapendo ya Mungu ita ikala dani mwake? 18 Batoto kiloko , mushipende kwa misemo bule na lurimi , lakini mu matenda na ukweri. 19 kupitiya iyi tuta djuwa asema tuku kweri , na tuna tumainiya ma roh yetu kubele yake; 20 kama roh yetu ina tu ukumu , Mungu eko munene kupita roh yetu, na ana djuwa kintu kiote. 21 Bapendwa , kama roh ayi tu ukumu , tuko na kitumaini bele ya Mungu . 22 kile kiote tuta lomba, tuta ipata kwake , kwamana tuna tshunga mapasha na tu nafanya kile kina mupendeza. 23 Na apa djo mapasha ; tuna aminiya mu djina la Mwana wake Yesu Kristo , na tuna pendana baya na bengine, ku fatana na mapasha ile ari tupa. 24 Ule eko na mapasha ana ikala dani ya Mungu, na Mungu eko dani yake ; na tuna djuwa asema ana ikala dani yetu kupitiya Roh ile aritupa.