1
Mone mapendo ya Baba ina tu shudiya , dju batu ite batoto ya Mungu! nq tuko bqtoto yqke . kamq dunia ayi tudjuwe , nikusema qshi mudjuze.
2
Bapendwa , tu na kuya sasa batoto ya Mungu , na ile tu takuya ayi ya onekana , tutakukuya sa yeye , kwama tuta mu ona vile eko.
3
ule wote eko na ile imani dani yake aritakase , sa vile eko yemoya eko mutakatifu.
4
v 4 Ule wote anafania zambi ana enda pembeni ya sheria, na zambi iko nenda pembeni ya sheria.
5
kwalakini , munadjuwa , Yesu arikuya kutosha zambi , na akuna zambi dani yake.
6
ule wote anekala dani ya zambi ana wake ; ule wote a natenda zambi ashi kumone , na ashikumudjuwe.
7
Batoto kiloko , muntu ashimilande , ule wote ana tumikia ukeri eko na aki, sa vile ye moya eko aki.
8
ule ana fanya zambi eko wa shetani , kwamana shetani arifanya zambi kwazi kumwanzo . Mutoto ya Mungo ari djionesha dju ya kwalabisha matendo ya sheitani.
9
Ule wote arizarika na Mungu ashi fanyake zambi, kwamana beko ya Mungu iko dani yake ; na ashiwezi kufanya zambi, dju arizarika na Mungu.
10
Djo kule tuna djuwa batoto ba Mungu na batoto ya shetani. Ule wote ashi tumikiye ukweri ana wa Mungu , naule ashi pende nduku yake.
u
11
kwamana barimionesha na murishikiya kwaziya mwandjo , kusema inapasha tupendane bamoya na bingine.
12
na mushi mufane Kaina ,, arikuya wa mukalamushi, na ariuwa nduku yake . Et na djoyanini ariuwa ? kwamana matendo yake irikuya mubaya, na na ile ya nduku yake irikuya muzuri.
1413
mushi shanga , badunku , kama dunia ina mitshukiya.
tunadjuwa asema turipita kulufu na kweda ku bujima , kwamana tuna penda badunku , ule ote ashi pende eko dani ya luofu.
15
ule wote eko na tshukiya nduku yake ni muwuwayi, na muna djuwa asema akuna ata muwuwadji eko na maisha ya milele a nekala mwake.
16
Turidjuwa mapendo , kwavile aritowa maisha yake dju yetu; nashiye tu na pasha kuleta maisha yetu dju ya banduku yetu .
17
Kama muntu eko na bintu bia dunia , na ana ona nduku yake ana kintu , na ana mufungiya roh , kwamana kani mapendo ya Mungu ita ikala dani mwake?
18
Batoto kiloko , mushipende kwa misemo bule na lurimi , lakini mu matenda na ukweri.
19
kupitiya iyi tuta djuwa asema tuku kweri , na tuna tumainiya ma roh yetu kubele yake;
20
kama roh yetu ina tu ukumu , Mungu eko munene kupita roh yetu, na ana djuwa kintu kiote.
21
Bapendwa , kama roh ayi tu ukumu , tuko na kitumaini bele ya Mungu .
22
kile kiote tuta lomba, tuta ipata kwake , kwamana tuna tshunga mapasha na tu nafanya kile kina mupendeza.
23
Na apa djo mapasha ; tuna aminiya mu djina la Mwana wake Yesu Kristo , na tuna pendana baya na bengine, ku fatana na mapasha ile ari tupa.
24
Ule eko na mapasha ana ikala dani ya Mungu, na Mungu eko dani yake ; na tuna djuwa asema ana ikala dani yetu kupitiya Roh ile aritupa.