Sula 2

1 Batoto yangu kiloko , na miandjikiya ibi bintu , dju mushifanye zambi. na kama muntu ana fanya zambi , tuko na wakutusambiya kumbele ya Baba , Yesu Kristo wa aki. 2 Eko yemoya sadaka djo ya ma zambi yetu, apana paka dju yetu , na kwabale beko mu dunia yote. 3 Kama tu natshunga mapasha yake , pale tuta sema tunamudjuwa. 4 Ule ana sema ; niri mudjuwa , na abatshunge mapasha , eko wa bongo , na ukweli ayina dani yake. 5 lakini ule anatchunga neno yake , mapendo ya Mungu iko ya biari dani yake. 6 ule ana sema eko dani yake anapasha kutembeya nayeye savile aritembeya yemoya. 7 Bapendwa , ayina mapsha ya sasa ile na miadikiya , kwalakini ni mapasha ya zamani ile muripata kwaziya mwandjo; ile mapasha ya zamani , ni ile neno murishikiya. 8 Kwalakini, ni mapasha ya sasa ile mirimiandjikiya , kile kiku kia kweri dani yake na kiko dani yenu, kwamana ginza inapoteya na mwangaza yakweri ina onekana sasa. 9 Ule ana sema eko mu mwangaza , na ana mutukiya dunkwake , akingari dani ya ginza . 10 Ule ana penda dunku yake eko mu mwangaza, na dani yake amustakuya bubaya. 11 kwalakini ule ana tchukiya nduku yake eko mu ginza , na ana tembeya dani yayo , na ashi djuwe kule anenda, kwamana ginza inalabisha mantcho yake. 12 na miadjikiya , batoto kiloko , kwamana zambi yenu banairumia dju ya djina yake. 13 Na miandjiikiya , bababa , kwamana murimudjuwa ule eko tangiya zamani. Na miandjikiya , bijana , kwamana muriwina mukalamushi. na mwandjikiya , batoto kiloko , kwamana muridjuwa Baba. 14 na mwandjikiya , bababa , kwamana muriyuwa ule eko kwanziya mwanzo. Na miandjikiya , bidjana , kwamana muko na guvu , na neno ya Mugu inekala dani yenu, na muriwina mukalamushi. 15 Ushi pende dunia , wala bintu bia dunia . Kama muntu anapenda dunia , mapendo ya Baba ayina dani yake. 16 kwamana biote bile biko dani ya dunia , tama ya mwili , abatoke kwa Baba, lakini ni ba mudunia. 17 na dunia inapita , tama yayo nayo inapita ; kwalakini ule eko na fanya mapenzi ya Mungu ana ishi milele. 18 Batoto kiloko , ni wakati ya mwicho , na vile barimifundisha asema mupinga Kristo eko na kuya, ku nakuya sasa bapinga Kristo bamingi; kupitiya ile tuna djuwa asema tuko mu wakati ya mwisho. 19 Baritoka katchikatchi yetu , kwalakini abakukuye ba shiye ; kwamana kama barikuya na shiye , bari pasha ku ikala na shiye, kwalakini anafika dju tujuwe asema bote abana na shiye . 20 dju yenu , muripata upako kupitiya ule eko mutakatifu , na mwebote munadjuwa. 21 Na mwandikiya , ayina djo muyuwe ukweri, kwamana munamudjuwa, kwamana akuna bongo buna toka dani ya ukweri. 22 Nani Ule eko na bongo, kama ayina ule anabisha kama Yesu ni Kristo ? Ule ni mupinga Kristo, ana bisha Baba ns Mutoto. 23 Ule wote ana bisha Mutoto ana ata na Baba ; Ule wote ana mwitchikiya Mutoto ana mwitchikiya na Baba. 24 Ile murishikiya kwanziya mwandjo inekala dani yenu . Kama ile murishikiya kwanziya mwandjo inekala dani yenu , na munekala dani ya Mutoto na dani ya Baba. 25 Na malako ile aritulaka , ni uzimz ya milele. 26 Namiandikiya ibi bintu kupitiya bile bina miangaria. 27 Dju yenu , upako ile muripata kwake ina ikala dani yenu , na amuna na lazima ba mifundishe , laki sa vile upako yake ina mifundisha kintu kiote , na iko ya biakweri na ina bongo , inekala dani yake kupitiya mafundisho ile arimipa. 28 na sasa , batoto , mwikale dani yake , kwamana , pale atakuya , tukuye na imani , na mukatiya ya kuridi tushi kuye bari na yeye . 29 kama munadjuwa asema ni mwenye aki , mudjuwe assement ulewote eko na tumikia aki ana zarika mwake.