1
Batoto yangu kiloko , na miandjikiya ibi bintu , dju mushifanye zambi. na kama muntu ana fanya zambi , tuko na wakutusambiya kumbele ya Baba , Yesu Kristo wa aki.
2
Eko yemoya sadaka djo ya ma zambi yetu, apana paka dju yetu , na kwabale beko mu dunia yote.
3
Kama tu natshunga mapasha yake , pale tuta sema tunamudjuwa.
4
Ule ana sema ; niri mudjuwa , na abatshunge mapasha , eko wa bongo , na ukweli ayina dani yake.
5
lakini ule anatchunga neno yake , mapendo ya Mungu iko ya biari dani yake.
6
ule ana sema eko dani yake anapasha kutembeya nayeye savile aritembeya yemoya.
7
Bapendwa , ayina mapsha ya sasa ile na miadikiya , kwalakini ni mapasha ya zamani ile muripata kwaziya mwandjo; ile mapasha ya zamani , ni ile neno murishikiya.
8
Kwalakini, ni mapasha ya sasa ile mirimiandjikiya , kile kiku kia kweri dani yake na kiko dani yenu, kwamana ginza inapoteya na mwangaza yakweri ina onekana sasa.
9
Ule ana sema eko mu mwangaza , na ana mutukiya dunkwake , akingari dani ya ginza .
10
Ule ana penda dunku yake eko mu mwangaza, na dani yake amustakuya bubaya.
11
kwalakini ule ana tchukiya nduku yake eko mu ginza , na ana tembeya dani yayo , na ashi djuwe kule anenda, kwamana ginza inalabisha mantcho yake.
12
na miadjikiya , batoto kiloko , kwamana zambi yenu banairumia dju ya djina yake.
13
Na miandjiikiya , bababa , kwamana murimudjuwa ule eko tangiya zamani. Na miandjikiya , bijana , kwamana muriwina mukalamushi. na mwandjikiya , batoto kiloko , kwamana muridjuwa Baba.
14
na mwandjikiya , bababa , kwamana muriyuwa ule eko kwanziya mwanzo. Na miandjikiya , bidjana , kwamana muko na guvu , na neno ya Mugu inekala dani yenu, na muriwina mukalamushi.
15
Ushi pende dunia , wala bintu bia dunia . Kama muntu anapenda dunia , mapendo ya Baba ayina dani yake.
16
kwamana biote bile biko dani ya dunia , tama ya mwili , abatoke kwa Baba, lakini ni ba mudunia.
17
na dunia inapita , tama yayo nayo inapita ; kwalakini ule eko na fanya mapenzi ya Mungu ana ishi milele.
18
Batoto kiloko , ni wakati ya mwicho , na vile barimifundisha asema mupinga Kristo eko na kuya, ku nakuya sasa bapinga Kristo bamingi; kupitiya ile tuna djuwa asema tuko mu wakati ya mwisho.
19
Baritoka katchikatchi yetu , kwalakini abakukuye ba shiye ; kwamana kama barikuya na shiye , bari pasha ku ikala na shiye, kwalakini anafika dju tujuwe asema bote abana na shiye .
20
dju yenu , muripata upako kupitiya ule eko mutakatifu , na mwebote munadjuwa.
21
Na mwandikiya , ayina djo muyuwe ukweri, kwamana munamudjuwa, kwamana akuna bongo buna toka dani ya ukweri.
22
Nani Ule eko na bongo, kama ayina ule anabisha kama Yesu ni Kristo ? Ule ni mupinga Kristo, ana bisha Baba ns Mutoto.
23
Ule wote ana bisha Mutoto ana ata na Baba ; Ule wote ana mwitchikiya Mutoto ana mwitchikiya na Baba.
24
Ile murishikiya kwanziya mwandjo inekala dani yenu . Kama ile murishikiya kwanziya mwandjo inekala dani yenu , na munekala dani ya Mutoto na dani ya Baba.
25
Na malako ile aritulaka , ni uzimz ya milele.
26
Namiandikiya ibi bintu kupitiya bile bina miangaria.
27
Dju yenu , upako ile muripata kwake ina ikala dani yenu , na amuna na lazima ba mifundishe , laki sa vile upako yake ina mifundisha kintu kiote , na iko ya biakweri na ina bongo , inekala dani yake kupitiya mafundisho ile arimipa.
28
na sasa , batoto , mwikale dani yake , kwamana , pale atakuya , tukuye na imani , na mukatiya ya kuridi tushi kuye bari na yeye .
29
kama munadjuwa asema ni mwenye aki , mudjuwe assement ulewote eko na tumikia aki ana zarika mwake.