1
Ule wote ana itshikiya Yesu kama Kristo , arisarika na Mungu, na ule ote anapenda ule arimuzala anapenda ule arizarika kwake.
2
Tuna djuwa asema tunapenda batoto ba mungu , kama tuna mupenda Mungu, na tuna tumikiya mapasha yake.
3
kwamana mapendo ya Mungu ina djonesha mukutshunga mapasha yake . na mapasha ayine ya nguvu.
4
kwamana bote bale banazarika na Mungu bana weza dunia ; na ushindi ya kuwina ndunia , ni imani yetu.
5
Nani ule ariwina dunia , kama ayina ule eko na aminiya asema Yesu ni Mutoto wa Mungu?
6
Ule , Yesu Kristo , arikuya na mayi na damu ; apana paka na mayi , lakini na mayi na damu ; na ni Roh dju ina shudiya , kwamana Roh ni ya kweri.
7
kwalakini kunakuya tatu inashudiya ;
8
Roh , mayi na damu , na yote tatu ina itshikiya.
9
Kama tuna pata ushuda ya bantu , ushuda ya Mungu iko munene sana ; kwamana ushuda ya Mugu ina semezeya ushuda dju ya Mutoto yake.
10
Ule anamina Mutoto ya Mungu eko na ushuda dani hake yemoya ; ule ashi amini Mungu ana djifanya wa bongo, kwamana ashi itshikiye ushuda ya Mungu dju ya Mutoto yake.
11
na ona iyi ushuda , kusema Mungu anatupa maisha ya milele , na ile maisha iko dani ya Mutoto.
12
Ule eko na Mutoto eko na maisha ; ule ana naye ana na maisha.
13
na miandjikiya ibi bintu, dju muyuwe asema muko na bujima bwa milele , mwe muna amiia ku djina yaMutoto ya Mungu.
14
tuko karibu naye akika , ya kusema kama tuna lomba kintu kwa mapenzi yake , ata shikiya .
15
na kama tunadjuwa asema anatushikiya , kintu kiote tuta lomba , tuna djuwa asema kintu kile tuna mulomba .
16
Kama muntu ana wona nduku kutenda zambi ile ayifikishake ku lufu , awombe , na Mu ngu ata leta maisha kwa ule nduku, ata bapa bale batatenda ma zambi ayi lete ku lufu, kuku zambi moya ina peleka ku lufu ; ayina djo ya ile zambi ile na sema omba .
17
Bubaya bote ni zambi, na na kuna kuya zambi fulani ina ayi peleke ku lufu.
18
Tuna djuwa asema ule wote arizarika na Mungu ana dji tchunga ye moya , na mukalamushi ashi mu bambe apana .
19
Tuna djuwa asema tuko ba Mungu , na dunia mujima iko tshini ya nguvu ya mukala mushi.
20
Tu na djuwa na shiye asema Mutoto ya Mungu arikuya , na aritupa akiri dju ya kudjuwa wa biakeri, dani ya Mutoto Yesu Kristo. niyeye dju Mungu wa biakweri, na maisha ya bujima ya milele.
21
Batoto kidoko , mudji tshunge bele ya bapumbafu.