1 Mu ile siku, kulikuwa kikundi kabambiya batu, na balikosa biakula. Yesu akaita banafunzi yake na anabambia. 2 «Nasikia uruma ya uji ki kundi ya batu, ju balikala wakati mulefu masiku tatu, habana biakukula. 3 Nikaba ruolisha kwabo bila kukula ba naweza kuanguka ku njia na bengine ndani yabo ba natoka mbali sana.» 4 Banafunzi yake bana muliza: «Mikate enyewe itapatikana wa mu iyi fasi ju ya kubakulisha batu aba? » 5 Anabauliza : «Mikate ngapi muko nayo,?» Baka mujibia «saba». 6 Akoambia kikundi ikale chini ku bulongo nyuma ya kumushakuru Mungu na akavunja mikate na anabapatia banafinzi yake ju ya kutia oyo mbele ye kikundi kya batu na bakaitia mbele yabo. 7 Balekwa nabo na nusu ya ndakala, na nyuma anakamaka mikate na ndakala akamushukuru, na abambia banafunzi bakabule na kikundi. 8 Balikula na bana shiba. Na bakalokota bipande enye ilibakia na banaya vitunga saba kalambi. 9 Batu balikuwa karibu elfu ine. Na Yesu akaba barudisha. 10 Wakati alirudia ku masuwa na banafunzi wake, bakaenda ku jimbo la Dalmamuta. 11 Kiisha bafakisayo balimu fwata ma bakaanza kuongea na ye. Banamuliza abapatie alama moyo kutoka mbinguni ju ya ku mupima. 12 Akawaza sana ndani ya roho yake na anasema, "kwa nini iyi kizazi intafuta alama? Kwa kweli, nabambia, hakuna alama enye batapatia mu iyi kizazi". 13 Kisha ana baacha na anaïngia tena ndani ya mutumbu na akaende ngambo ya pili ya baali. 14 Banafunzi balisabu kukamata mikale. Ilibakia kipande moya tu ya mukate dani ya masuwa. 15 Akabapatia angalisho na kubambia: «Fanyeni angalisho na ujanja» (Bukalamusi, Mafanisiyo) ya bafalisayo na ya Herode. 16 Banafunzi bakaji semeleya bao benyewe: «kwa sababu hatuna mukate.» 17 Yesu akatambua na akabambia «Ju ya nini muna sema sema ndani yenu ju munakosa mikate»? Ha muyayuwa? hamuelewe? Roho yenu inakuwa teke teke? 18 Muko na macho, ha muone? muko na masikiyo ha musikie? ha mukumbuki? 19 Wakati milibakabula mikate tena kwa batu elfu tano, meililokota kitunga ngapi ya bipande ya mikate? Waka mujibia: «kumi na mbili». 20 Na wakati mulikabulana mikate saba kwa batu elfe na ine mulilokokate kitungapi. 21 Bakasema «saba». Akabambia "bado" ha muelewe? 22 Bamafika Bethsaida. Batu ya pale ban muletea mutu moja kipofu na bakamulomba Yesu amuguse. 23 Yesu ana kamata yule kipofu na akamubeba inje ya kijiji. Anatema mate ku macho yake na anamutilia mikono, akamuliza: «una ona ka kitu?» 24 Akalamusha macho na akasema: « naona batu banaonekana sa miti enye inatembea». 25 Kisha akanyolosha mikokono ku macho yake, mulu akafungula macho yake na macho yake ika tengemana (macho inaona), na anaona bito yote wazi. 26 Yesu anamurudisha kwake na akamwambia «usiyingie mugini». 27 Yesu alitoka na banafunzi yake na wanaenda ku jiji vya kaiseria ya filipi. Ku njia, akauliza banafunzi bake : «batu banasema niko nani?» 28 Bakamu jibia: Yoani mubatizayi. Bengine banasema, Eliya na bengine umoja Manabii. 29 Akabouliza lakiani nyinyi munasema niko nani? Petro akamujibu: «uko Kristo». 30 Yesu akabambia basi mwambie at mutu moja ju yake . 31 Na anaanza kufundisha ya kakama inabidi mtoto wa mutu ateseke sana kwa mane no mingi, na baongonzi na bakubwa ya makuhani, na batu benye bana ndikako Mandishi, na atakufa na nyuma ya siku tatu atafufuka. 32 Anasema wazi. Basi Petro akamukamata na anaonza kumutombokea. 33 Lakini Yesu aligeuka na kuangalia banafunzi yake na akamutomokea Petro na ku mwambia, Pita nyuma yangu shetani! Haupende maneno ya Mungu, lakini maneno ya batu. 34 Kisha akakutani sha kikundi ya batu na banafunzi wake fasi moja, na anbambia kama kuko mutu an penda kunifata, ajikatale ye mwenyewe, abebe musalaba yake, na anifuate. 35 Kwa sbabu mutu yote mwenye anapenda kuponesha maisha yake ataipoteza, na ule mwenye atapoteza maisha yake ju yangu na ju ya neno la mungu ataiponesha. 36 Mutu atapata faida gani mukupoteza uzima ya maisha yake ju apate yote ya dunia? 37 Nini mutu anawe kupana ju ya ku badinisha na maisha yake? 38 Mutu yote mwenye atenisilikia haya, mu kizazi iki kibaya tena kia ahambi, mutoto wa mutu atamusikia haya wakati atakuya na uwezo pamoya na bamalaika.