1 Siku moya bafarisayi na bahandikayi balitoka Yerusalema bakakuya kumuhona yesu 2 Bakakuta banafunzi ya Yesu beko na kuta chakula bila kunawa mikono. 3 Na sheriya ya bayahuda na ya ba farisayo ina kataza sana kula bilakunawa mikono. 4 Kisha kutoka kusoko aba wezi kula chakula bila kunawa mikono bana eshinuya sana masheriya yabo kama kusukula makopo kusukula ma byungu ya byuma na ba kiti fete. 5 bafarisayo na ba handikayio ba ka muliza Yesu juu ya nini bana funzi bako aba esheniye sheriya ya bayahuda, kwa sababu beko na kula bila kusukula mikono yabo? 6 Lakini Yesu aka bajibu mutumishi wa Mungu Isaya alitabishi muzuri juu yenu mweye batu ba bongo ali andika, na kusema kama batu aba bana eshimiya Mungu ku kinywa bure, kwala kini ma roho iko mbali na Munga . 7 Ba na ni tukuza kwa bongo na bana fundisha sheriya yabo yaba kambo. 8 Bana acha sheriya ya Mungu na kufuta mashimiya sheriya yabo. 9 Bana asha sheriya ya Mungu na kufuta masheriya yabo 10 Na Musa alisema heshimu baba yako na mama yako na ule ata chambula baba yake wala mama yake kwa kweli ata kufa 11 Lakini mweye muko na sema kama mutu eko na pesa ana penda ku saidiya baba yake ao mama yake ana sema pesa nilipenda ku ba saidiya nayo ni ya kanisa (Nikusema pesa yote natowa kwa Mungu) . 12 Na awezi tena kusaidiya baba yake ao mama yake 13 . Muna haribisha sheriya (Amri) ya Mungu juu ya sheriya( Amri) yenu ya bankambo, na mambo mingi, ya mubaya muko na tenda . 14 Akaita tena batu na akasema muni sikiye ! mweye bote , na muni sikilise mujuri. 15 Akuna ata kitu kimoya kyenye ku ingiya ndani ya kinywa ya mutu na kimu haribishe lakinki kile kyenye kutoka ndani ya kinjwa njoo kita musharibu. 16 Tiya akili kuma andiko iyi mwenye kuwa na masikiyo asikiye. 17 Waka Yesu ali toka kati ya batu funzi yake baka mufwata kisha baka muliza aba fasiri ye mahana ya masemo aliye sema . 18 Yesu aka bajibu kwa nini amuna akeli ? Humujuwe kama kitu kiyote kyenye ku kingiya ndani ya tumbo ya mutu akiwezi kumharibu. 19 Kwa sababu aki taingiya ndani ya roho ya mutu, lakini kita ingiya mutumbo na kisha tafsiri iyi Yesu alifanya chakula yote kuwa muzuri . 20 Aka ba ambiya kile kinatokaka ndani ya tumbo njoo kina haribishaka mutu. 21 Ni kati ya roho ya mutu njoo kuko na mawazo mubaya, kuzini, bwizi, kuhuwa. 22 Busharati, tanaa mubaya , roho mubaya bongo kujisikiya bwivu , kujiona kutomboka bu pumbafu. 23 Mambo yote iyi ina toka ndani ya roho ya mutu , na njoo yenye ku haribu mutu. 24 Aka toka pale na akaendaku jimboya tina naSidoni akaingiya ndani , na hakupenda ata mutu moya ajuwe kama eko ndani ya mugini ule lakini habakuweza kumuficha. 25 Ya kushanga mwana muke moya alikuya na mototo mugojwa sana ya mapepo mbaya, aka sik;iya abari ya Yesu aka kuya na aka pika magoti mbele ya Yesu . 26 Na mwana muke uyu alikuwa muyunani ( Grecque ou helema) wa kabila ya kifoeniki ( phenicienne) aka muomba Yesu afukuwe pepo mubaya ndani ya mwili ya mtoto wake 27 Yesu aka mwambiya mwana muke, acha mbele bato to ba kule mbele kwa sababu ahiko muzuri kukamata chakula ya batoto na kutu piya imbwa . 28 Lakini mwana muke aka mujibu na kusema ndiyo bwana, chakula ya batoto yenye kwanguka ku meza 29 Yesu akamwambiya , kufatana na imani yako kwende na amani, pepo chafu inaisha kutoka ndani ya mutoto yako mwana muke. 30 Mwana muke akarudiya kunyumba yake na aka kuta mtoto wake mwana muke wakulala bila nagonjwa na pepo mubaya ina isha ku mutoto. 31 Yesu aka toka mumu gini tino akapitiya mu muigini ya Sidoni njiya ya kwenda kubahari ya Galilaya ,a akafika ku jimbo ya dikapolisi ( decapole). 32 Na baka muleteya mutu asi semake wala asikiyake (bubu), baka muomba Yesu aweke mikano yake mik;ono yake juu yake. 33 Aka mutosha mutu uyu inje ya mugini mbali na batu akaweka bidole yake ndani ya masikiyo yake kiosha aka tema mate akagusa lulimi lwake. 34 Aka angaliya yulu mbinguni, akasema na ku mwambiye "EFATA" ambayo ina . 35 Mana moja babu aka anza tusema na kusikiya mujuri. 36 Aka ba hambiya ba funge siri wala basiseme na mutu mambo iyi, lakini habakuwaza kufunga siri mpaka vile ali bakataza , joo mpaka vile abari ilei tawala kwa batu bote. 37 Batu bote baka shangaa sana bakasema anafanya mambo yote muzuri basipo sikiya bana sikiya na bubu bana sema .