1 Basi Yesu alionza kulata mafunsa kwa fumbo na analeta fombo ya mulima mashamba moya mwenye alifanyia mashamba yake lupangu, na anatengeneza shimo ya kusindika nvinyo. Na aka tengeneza muzunguluka na aka safiri anaachia ba fanya mashamba. 2 Saa alinudia anatuma mutumishi kwa wafanya mashamba juya kutuala matunda ya vingo. 3 Lakini bafanya mashamba banamupika mutumishina akarudia bila kitu ku mikono. 4 Na akatuma tena mutu mwengeni na banamupika mutumishi na bamumiza ku kichwa na banamutendea bitu bia haya. 5 Anatuma mwengine na baka mupika na kumuwa, na bana fanya vile vile na bamingi mpaka kuwa bengine. 6 Uyu mutu alibaka na mutu moya wa ku mutuma, mutoto wako mupendwa. 7 Lakini walima mashamba wakasema ndani yabo: Angalia uyu njo mtoto wake, tumuwe ju shamba itabakia yetu. 8 Bakamukamukamata na bakamuwa. 9 Saa ivi mwenyi mashamba atfanya nini? Atakuya kuba fukuza na kubapita batumishi bengine. 10 Hamukusuma iyo mandiko? Lijiwa enye bajengayi wanatupa njo inageuka lijuwa ya maana. 11 «"Bitu iyi yote inatoka kwa bwana na ika muzuri ku macho yetu."» 12 Apo balitafuta kumuwa Yesu lakini banaogopa kundi la labatu mingi ju balijuwa kama alisema ile fumbo yu yabo, bakatamaasha na baenda . 13 Kiskia abo kwenda, banamutamiya Yesu nusu nusu ya ba farisaya na ba yerodia jaya kumutega Yesuna mauliza iyi. 14 Wakati banafika, baka sema: «Mwalimu, tunajuwa kama hautikake manen aya batu bengine na hauchuguwe mutu mwenye unapenda ndani ya batu. Kwakweli unafundeisha njia ya Mungu. Sheria inaruusu kulipa codi ya Cesria? Tunaweza kulipata ao bado?» 15 Lakini Yesu alijuwa unafiki yabo na anabajibia: « Juya nini munanipima? Munilete makuta niangaliye.» 16 Bakamupatia Yesu moja: «Yesu anabakauliza iyi sula na mandiko ni ya nani?» bakamujibu : «Ni ya Cezari». 17 Yesu akusema : «bumupatie Cezari bitu biake na bumupe Mungu biake.» Bakashongola mbele yake. 18 Kisha basadukayo benye balihakikusha ya kama hakuna ufuko, banakuya kwa Yesu, banamuliza: 19 Mwalimu muba alituandika "kama ndugu ya mutu anakufa anaacha bibi wake lakini ule bibi hakuzala ata mtoto moja, ule mutu anaweza kuowa bibi wa ndugu yake na kuzala na yee batoto iuya ndugu wake." 20 Bandugu sabva ya banaume; wakwanza anaowa bibi, akakufa bila kuacha naye mutoto. 21 Wa pili, wa tatu, wa ine ma ... 22 Wa saba naye vile anaowa bibi wa marehemu ndugu yaba bila kuzala naye ata mutoto moja. 23 Bakamaliza Yesu swali kama siku ya ufufuko yule atakuwa bib wa nani? «Kwa sababu bandugu banaume ba saba balimukata koma bibi yabo.» 24 Yesu aka sema: «Na njo maana muko ndani ya kosa, ju hamuyuwe mandiko, walanguvu ya Mungu? » 25 Ju batafukuka ndani batu benye balikufa, na habatakuwa batu benye balioma, na benye banaposha kuona, kakini batakuwa bamalika mbingini. 26 Lakini juya batubenye balikufa na ba fufuka, hamukosoma ndaniya kitabu ya Musa, ndni ya kishaka ginsi Mungu alimwambia na akasema: "Niko Mungu wa Abramu, Mungu wa Izaka na Mungu wa Yakobo? 27 Haïko Mungu wa batu banye banakufa, lakini wa batu ba uzima. Mujidanganya sana.» 28 Pamoja ya benye banandikakaalikuya na anasikia maongesi yabo; anawona Yesu alibapatia jibu muzuli. Akamaliza : «Amni gani ya enye iko ya maana sana ya amni yote ?» 29 Yesu anamujibia: Musikiye Isalayeli, ya maana ni bwana Mungu wetu, ni, bwana moja. 30 Inapashwa upende Bwana Mungu wako ndani roho yako, kwa akili yako yote na kwa unezo yako yote. 31 Amni ya pili nu iyi : Ni muzuri upende jinani yako savile unajipende weye peke. 32 Mwenge anandikaka anasema : Mwalimu! unasema kweli kama Mungu moya ti,lakuna mwengine kumushinda yeye. 33 Kumupenda ku Roho muzima, kusikiya yote enye inakoka kwake, na kwa uwezo wake yote, na kupenda jinani kama vile unajipenda weye peke, ile iko na maana kupita matoleo wa sadaka. 34 Wakati Yesu aliona kama anamujibia na elimu, akamwambia :«Hauko mbali na ufalme wamungu.» Kisha pale hakuna ata mutu moyo mwenye alipima kulimuza Yesu moswala mengin. 35 Wakati alikwafundisha ku hekalu;Yesu akajibu na akasema : « Juya nini batu benye kuandika wanasema Kristo ni mwana wa Daudi ?» 36 Daudi yeye peke dani ya Roho Mutakatifu akasema: «Bwana akamwambia bwana wangu, ikale ku mukono yangu ya kiume mpaka nifanye ba adui yako bakawe chini mikula yako». 37 Daudi yeye peke anamwita «Bwana» mamuna gani Masiya anaweza kuwa mwana wa Daudi? Batu mingi balikuwa bana musikya na furaha sana. 38 Ndani ya mafundisho yake, Yesu alisema: «Majichuge na batu benyekuandika benye banapenda kutembeya na makanzu milefu na kusalimiwa ku ma fasi ya wetu mingi. 39 Na kuikala ku makiti ya kwanza ku ma sinagogi na ku ma feti . 40 Na banakula nyumba ya benye balikufisha ba bwana na banaomba mingi ju baunekane kwa batu. Bale batu batapata ukumu kabambi. » 41 Wakati Yesu alikala chini karibu na sanduku ya sadaka ndani ya hekalu; na pale alikuwa anangalia batu wakati balikuwa banatia makuta yabo. Batu mingi batajiri balitia makutu mingi. 42 Mu ile wakati, mwanamuke mjane mpasikini alikuya kutia bipande mbili yote enye ilikuwa wa mali yake. 43 Njo Yesu anaita banafunzi wake na anabambia: «Kwa kweli nabambia, ule mwanamuke mjane masikini anatela makuta mingi kupita bote benye blitote sadaka. 44 kwa sababu bote balileta kufutama na umingi ya makuta enye balikuwa nayo, lakini uyu mwanamuke alitolea kidogo ya makuta yake ya kuishi nayo enye alibakia mayo mikononi.