1 Hivi Yesu alianza kutoka mu ,hekalu, moya kati ya banafunzi akamuzima:«Mwalimu,angalia maibwe muzurihivi, na mujengeyo uyu!» 2 Uko una ona hii majego munene hivi ? Hakutabakia ata jiwe moya yulu ya jiwe ingine pasipo kwangushiwa chini 3 Wakati ali ikala pa kirima ya miti ya mpafu, ekoana angalia kwenye ku nyumba y Mungu ile, Petro, Yakobo, Yohane na Andrea baka muuliza pembeni: 4 «Utwa mbiye, wati kani hii bitu bitafika? Maalama kani pale ibi bitu bitakuya karibu na kufika?.» 5 Na Yesu aka anza kuba ambiya: «Mwanamuke sana mutu asikuye kumipotesha. 6 Ba mingi bakakuya mu jina yangu nakusema : "Miye njo Kristo." Na bapoteza batumingi. 7 Pale mutasikia mavita nakusikiya habari ya vita musihangaike. Ibi bitu mpaka bifike tu, lakini haiyakuya mwisho. 8 Juu kabila moya itasima kukombanisha ingine ufalme kwa ufalme ingine. Kutakuwa kutetemeka kwa bulongo ku mafasi ya mingi, na ma njala itapeswa batu nimwanzo ya maumivu ya kuzala. 9 Mujikalamushe sana. Bata mikabula ku babiongozi na bata mpika ndani ya mikushaniko ya sinagogi. Mutasambishwa mbele baliwali na bafakme juu yangu, hii ikuwe ushuuda kwabo. 10 Lakini inpashiwa habari njema iubiriwe mbele katika makabila yote. 11 Wakati bana mibamba nakumikabula kuba adui, musi hangaike kwa bile mutasema. Juu pa ile saa ile, batemipa bya kusema; ha ina mweye mutasema, Lakini Roho Mutakatifu. 12 Ndugu atapeleka ndugu yaku ku lufu na baba kupeleka ndugu yake kulufu. Batoto batatombokea wazazi na kumwapele kulufu. 13 Batemi chukia kwa batu bote juu yangu, lakini kila mutu akankamana na ku mwisho, ule mutu ata okoka. 14 Wakati mutaona kichafu kyakuleta chuki, kinasimama pale kinakawiza kusimama (akusoma asikilize), 15 bale beko mu Yudea bakimbiliye mibirima, ulenaye eko yulu ya nyumba asishuke ndani ya nymba na nakubeba kitu kiya kwenda nakyo, 16 na ule eko kumashamba asirudie kubeba nguo yabaridi. 17 Ile wakati, banamuke bale bata kuya na mimba na bale batakuya beko bana nyonyesha batoto bata kuya na magumu sana. 18 Mu ombe juu isikuye wakati wabaridi ile yakupita. 19 Juu kutaku mateso yakupita yote, ile haiyakuyakako tangu mwanzo, pale Mungu aliumbaka dunia, paka sasa, hapana, haku takuyaka tena ya vile. 20 Kama Mungu asikufupishako masiku ile, hakuna mutu moya aliweza kuokoka, lakini juu ya bale bali isha kuchakuliwa, benye yeye anaweka pembeni, akashusha ko bwingi ya masiku. 21 Sasa, kama mutu moya anasema: «mwangarie, Kristo ye uyu» ao «mwangarie, ye ule pale!» musiitike. 22 Juu ba kristo babongo na ba nabii babongo betaonekana na bata kanya miuzida, nabyaku shangaisha wapate kulanda, kama iliwezekana kwabo, atabachakuliwa. 23 Mukalamuke sana! Na miambia hii mambo yote mbele ya wakati. 24 Lakini, kisha ile mateso ya kupita yote ya ile masiku juwa ita kuwagiza, mwezi haita leta mwangaza wake. 25 Nyota itatoka mbingu na kwanguka na ma uwezo ile iko mu mbingu itatatemea. 26 Njo pale sasa bata ona Mutoto wa Mutu kutoka mu mawingu na uwezo mukubwa na utukufu. 27 Pale ata tuma ba malaika bake naita changa bachakuliwa bake bote kutoka ngambo ine, baku mwisho ya dunia pâka na mwisho wa mbingu. 28 Mupate mafundisho kutoka ku muzabibu. kama tukonaona matawi yake ina anza kulekea nakutosha mayani ya sasa, munayuwaka aseme wakati wakivukutu unakuwa karibu. 29 vili vile, pale mutaona mambo yote hii kufika, munajuwa kama anakuwa karibu, pa milango. 30 Kweli, mina miambia, hii kizazi hakatipata paka maneno hii itafika. 31 Mbingu na hii dunia bitapita, lakini maneno yangu haiwezi kupita. 32 Lakini, ile mambo ya siku na saa ile, hakuna mutu anejua, ata ba malaika ba mu mbingu, hata Mutoto, lakini Babatu. 33 Mukuwe na kwangalia sana. Mukeshe, ju hamujume kama tukowakatikati twiko. 34 Inafwanana na mutu moya alienda musafiri(aka toka ndani ya nymba yake na akeyaiya batu ya kazi, na kwa kila mutu na kazi yake akaonesha wa ku kesha abaki macho wazi.) 35 Na mwenye sasa, mukeshe. Juu hamu juwe wakati kani mwenye nyumba atarudia, pengine busiku, katikati ya busiku, wakati jogo analia, ao busubu. 36 Kama anarudia pasho kukala, asimi kute benye kulala. 37 Ile miambia, na sema nakila moja wenu: Kesheni!»