1 Makutano walimfuata tena Yesu Baada yake kuondaka na kwenda kwenye kulikuwa wayahudi pembi ya Baari ya Yarodani, vile ili kuwa kazi yake aliwafundisha tena, kama mbele. 2 Jambo kubwa wafalisayo walikuya mbele yake na kumu wuliza, "Ni mubaya bwana a fukuze bibi yake?" 3 Yesu akabalibiya, " Musa alibambiya nini?" 4 Balisema " Kama Musa alitu patiya njiya ya ku fukuza Bibi". 5 "Yesu naye akawa jibiya kusema kama ili kuwa ju ya roho mubaya yenu nje ali baandikiya vile". 6 Lakini kutokeya muanzo wa duniya, Mungu aliwawumba Bwana na bibi. 7 Njo mana mwanawume ata mwasha baba yako na mama yake, 8 na bote mbile bata kuwa mwili moya; ju abi kotena mbili lakini mwili moya. 9 Ju yenye Mungu ana kifanya mwili kimoya na ku ku ibaridi mwana damu awezi kui achanisha. 10 Ku nyumba kuenye balikuwa, bana funzi bake baka muwuliza ju ya ihi. 11 Aka bambiya kama "Aka bambiya bote benye biko na acha ba bibi yabo na ku wowa ba bibi bengeni, ana fanya ucharati naye. 12 Bibi naye aki acha bwana wake na ku olewa na bwana mwengine, ana fanya ucharati". 13 Na bote bali muletaya ba toto yabo ju abatiliye mikono, lakini bana funzi yake balikatala. 14 Kisha Yesu alipo ona vile, haku furahi naye kabisa aka bambiya, "Bahache ba toto badogo ku kuya kwangu, musi ba fukuze, kwa sababu bale baliya kama ba toto ufalme wa Mungu ni yabo. 15 Ya kweli na ba mbiya, kama amupoyi ufalme wa Mungu sa mtoto kidogo kweli amuta ingia katika ufalme wa Mungu. 16 Kisha kusema akaka mata ba toto ku mikono yake na aka ba bariki na kuba wekeya mikono juu yabo. 17 Na alipotoka kwee nda mtu mmuoya akakuya mbi kweke na kupiga magoti mbele yake, akamwuliza, "Mwalimu mwema, ni fanye nini ju nipate uzima wa mille?" 18 Kisha Yesu akasema, " ju ya nini unani ita mwema? Ha kuna aliye mwema, isi pokuwa Mungu wetu peke yake tu. 19 Una puwa sheriya yote ya Mungu "Usi wele, usi fanye usharati, usiibe, usishuchi die bongo, usidanganye, ueshimu baba na mama yako". 20 Mtu wule akasema, " Mwalimu, ma neno yote ii nahifanya tango noko mtoto". 21 Yesu alimwangalia na ku mpenda. Aka mwambiya, " lakini una kosa kitu moya. Una pasha kunza biako biote na ku saidiya ukuye unifuate". 22 Lakini nguvu ilimuishiya kusikiya masemi ya Yesu; alitoka mbele ya Yesu na huzuni, kubwa ju alikuwa na mali mingi". 23 Yesu akaa ngaliya ngambo yote na aka bambisha bana funzi bake, " ni magumu sana kwa mwenye pesa (tayiri) kuingia katika ufalme wa Mungu! 24 Ba na funzi baka shongaa sana kusikiya vile. Lakini Yesu aka bambiya tena, "Batoto, ni na mua gani iko nguvu kuingia katika ufalme wa Mungu! 25 Ni mwepesi kwa ngamia kupita kwenye tundu la shindano, kuliko mtu mali (tajiri) kuingia katika ufalme wa Mungu". 26 Baka shangaa sana tena baka semeshana, " sasa nani ata okoka na kuingiya". 27 Yesu aka baangaliya na aka sema " kwa wana damu haiwezekani, lakini kwa Mungu a pana. Ju kwa Mungu yote ina wezekana". 28 " Petro akaanza sema shana naye, Angalia tu meacha bieti u biote tu nq ku fuata". 29 Yesu akasema, "Nikweli na bambiya niye yote, akuna mwe ana acha nyamba, au kaka, au kwa afili ya injilli . 30 Hata pokea mara mia zaidi kwa wakati wa sasa mudunia, nyumba, kaka, dada, mama, watoto, kwa mateso, na uli mwengu ita kuya ata pata uzima wa milele. 31 Lakini bengi balia ba kwanza bata kuwa ba mwisho na ba ku mwisho bata kuwa ba kwanza. 32 Katika njiani, ya ku kuenda Yerusalema, Yesu alikuwa ame kuisha enda mbele yabo. Bana funzi bali shangaa na bale benye balikuwa na bafuta nyuma tena baliongopa. Na njo Yesu alibatosha pembeni tena bale kumina mbile na akaanza ku ba julisha kienye kiko kina mbele: 33 "Musikiye, tu kotu na panda Yerusalemu, na mtoto wa mtu tu ta mutowa ku mukono ya makohani wa kuuna waandishi. Na bata mhukumu akufe na kumu pa mapatiya Mataifa.. 34 Tena bata mucheka, na ku mutemeya mate, ku mupika fimbo, lena ku mwuwa. Likini ya siku tatu a ta fufuka tena". 35 Yakobo wa Yohani, ba toto wa Zebedée, balikuta kwa kena ba na sema: "Mwalimu, tu na penda utu fanyize ye kama vile tu na kulo mba". 36 Akajibiya: "Mu na penda ni ba fanyiziye nini". 37 Na baka sema, "utu rusu tu pate fasi ndani ya utukufu yako, mmoya katika mkono wako ya kuume na mwengine ku mukono wa ko ya kushota". 38 Lakini Yesu akawa jibiya, "Hamujuu kwenye muko na nilomba. Muta weza ku kunya ile kikombe ambaye mimi nita kunya au kunhitika ubatizo ambae miye nita batizwa?". 39 Nao baka jibiya kama 'tuta weza?" Yesu aka bambiya, "kikombez yenye nita kunywa na niye muta ku nywa. na ubatizo amnbaye nita ba batizwa na niye muta batizwa. 40 Lakini kwaajili ya ku kaa ku mukono wangu wa kuume au mkono wangu wa ku shoto, ayiko mimi njo nita ya pana, lakini ni ju ya bale benye ilitaya rishiwa. 41 Na wakati bana funzi kumi ba lisikiya, maneno aya wa lisikiya Yakobo na Yohani. 42 Lakini Yesu ali bahita naku ba mbiya kama: "muna juwa kama, bale benye bana one kana ni bata wala (ba ongozi) wa pagani bana bapita, tena wakubwa ndani ya bo wana onesha mamlaka juu ya bo". 43 Sikilizeni kweniye i sikkwe iki, ule wote ana penda a kuwe mukunwa ndani yenu lazima akuwe mudogo. 44 Tena kila mwenye ana penda kuwa wakwanza ndani yenu lazima akuwe mtumwa wa bote. 45 Kwa mahana "mtoto wa Mungu aakuya uju ba mutumikiye, lakine ju ya kututumikiya, na kutowa maisha yake kama sadaka kwaha jili ya duniya nzima". 46 Bali fika Yeriko. Na vile alikwa natoka Yeriko na bana fungi yake naku kubwa watu, mwana wa Timayo, Batimayo, mwenye macho ya kukufa, mu ombiya, alikkwa na ikala kubarabara. 47 Watati alisikia kama Yesu wa Mwazereti iko na pita akaanza ku lala mika, "Yesu, Mwana wa Daudi, unirumie!". 48 Bengine baka mukemeya uyu kipofu, na ku mwambiya kama anya maze, ahache makelele. Chaku shangaza sana alilala mikatena nguvu sana na sawuti kubwa tena, "Mwana wa Daudi, unirumie!". 49 Bwana Yesu aka sikiya, tena aka simama na aka sema kama ba muyite. BAka muyita kipofu, na ku mwambiya, "pata nguvu na ukuwe mushujaa! simama ju bwana Yesu anakuita". 50 Pale pale akatupa koti lake na kwanza mbiyo sana, kunda kwenda kwe Yesu. 51 Bwana Yesu akamujibiya na kuse sema, "Mwalimu, na taka nione". 52 Yesu aka mwambiya, wende. Kwa sababu imaniyako ina kuponya.Pale pale macho ika fungilika na oka hona tena na tena aka fuata nwana Yesu njiyani.