Sura 4

1 Yesu awabatiza ata mutu mawazo ya bafalisa ya bule. 2 Banafunzi ya Yesu joo baliba tiza watu. 3 Alikuwa Yudea na anarudiya munzi ya Galileya. 4 Shaba yake kupika Samaliya kukisima ya Yakobo. 5 Anakuta Mwanamke moya ana shota mayi ya kunya. 6 Yesu na lomba mayi muke akatala juu han mayi ya uzima. 7 Mayi ya muke ahimalize kwi ya mayi anakatala. 8 Wakati ile Yesu anahongeya na Mwanamke vanafunzi balienda shuguri. 9 Tuhatshe ukabila juu Yesu alikuw muyahudi Mwanamke ni msamaria. 10 Yesu akamuhambiya mwanamke kama ulini juuwa ukinilomba mayi ya uzima. 11 Mwanamke akashanga juu mayi ya uzima jé uko na mayi ya uzima unalimba aye. 12 Mwanamke anamwambiya kisima hi ya Kakobo ya ko iko wapi. 13 Yesu a sema mayi ya ke ya uzima na ina maliza kio. 14 Kama Yesu a napatiya mayi ya milele akuna kiute na Mwanamke a penda akunye mayi juu a sisikiye kiu tena ya mayi ya isunia 15 Mwanamke apenda akunye mayi juu asisikiye kiu tena ya mayi ya isunia. 16 Na mwanamke akahatsha kyungu ya mayi kukisima alomba Yesu ende kupasa abari. 17 Yesu akamurusu kihita mwanamke uko na ba bwana ine ka ya tano ahiko wako mke anasoma sina tume. 18 Mwanamke na sema unasema kweli sasa na mini. 19 Mwanamke anatafuta ayuwe Yesu kama nabi hau Masiya? 20 Mwanamke na penda ayuwe, fasi ya kuhumba na muma au Yeruseleme au wapi? 21 Yesu akasema wakati iye mukihomba kwa roho ya kweli ahiko kumlima tu. 22 Sisi tuna bundu Mungu tana muyuya mabari yake. 23 Sa imefika tuta mubundu kwa kweli naroho. 24 Baba ni roho, wale bata mumabudu kweli na roho ya kweli. 25 Mwanamke a sema weye masiyo ule a ta kuya? unasema mambo yangu yote! 26 Yesu anahitika mbele ya muke yeye Masiya. 27 Wanafizi waki rudi bana mupitiya mukate anasema yeye mwanamke ya uzima. 28 Nyama mwanamke kusika masemi ya Yesu anaende kupasha abali na kihita batu kumuhona. 29 Mwanamke anahita watu kuya kohona mtu ana niambiya mambo yangu yote. 30 Alihita na watu ya minzi kando kandu bakuye. 31 Yesu anakalakula, chakula ya mitume. 32 Akasema mimi niko na chakula ya uzima. 33 Wanafunji wanatafute bayuwe kama chakula gani? 34 Yesu a nasema anakuya kufanya mapenzi nakazi ya Baba yake. 35 Nanyuma ya masiku mavuno mingi? kushamba ina komala. 36 Kama unapenda malipo tumika kazi ya uzima na furaha. 37 Juu ya nini? makata bengini batumike kazi yangu. 38 Bingine banatumika kwa kweli kazi mingi na furaha. 39 Wasamaria walisikiya masemi ya Yesu bana mini maiku juu ya ule muke. 40 Wana pende abakipel siko mbili naakala pale. 41 Mingi nyuma kusikiya masemi yake wana kubali naye. 42 Wana sukuru mwanamke juu banahona kweli na kusikiya mokonzi ya ulimwungu. 43 Kisha siku mbili narudi Galileya, nakazi ingine kule. 44 Kule Yesu ametangaza nabi ana esima kwabo kubandungu wake. 45 Alifika Galileya walisikiya mambo alifanya Yerusaleme wali mu pokeya na shangwekuu. 46 Kukana mbele ilekuwa alama ya divai ya pili ana poneshe mtoto ya mukubwa ya basordo. 47 Balitafuta kumuwa na mawe Galileye, ku toka yudea. Yesu akamuliza juu ya nini? na penda ishara kuliko kusikiya habari njema? 48 Yesu akahuliza juu ya nini? napenda Ishara kuliko kusikiya habari njema? 49 Yesu a kamu hambiye mukubwa ya Basorda ende yo ko mtoto ana pona. 50 Yesu ana muambiya kwenda mtoto yako atapona ule mutu anamini msemi ya yesu akienda naye. 51 Sakihongozi ya basorda anafika anakuta mtoto a mepona pale. 52 Na nyuma ya saa vilevile Yesu a lisema akapona. 53 Ule Baba ana tambuw Yesu kwa muda. 54 Ile ni alama ya pili Yesu a lifanya kutoka Yudea kwenda Galileya