Sura 5

1 Kulikuwa feté ya wayuda , yesu lienda yerusalemu. 2 Pale yelusalema kulukuwa kisima maji jenyi iliitua betasaida na mbele ya ile kisima kondoo, kivina ile ilikuwa na lehemutano. 3 kikundi kubwa ya watu wagongwa: vipofu vilema walikuwa wanalala karibu na kirima hicho wakigo zaruba ya maji. 4 kwani malaika wa Mungu alikuwa anashuka wakati moja- moja.Wakati malaika anatingija maji kwanza kushuka amaponywa . 5 kulikuwa mtu moja mwenyi aligonjwa mdu murefu karibu miaka mabumi tatu na nane. 6 Yesu akamona, akisema unapenda upone?wakamuulija , 7 Ngonfwa,akamjibu ;Bwana ,sina mtu wakunitupa kumaji. 8 Yesu akasema, simama kamata kilogo c hoko, tembea 9 palepale majonjwa akopona , siku ilekwa ya Mungu 10 Wayunda, waliona munjonjwa kusimama wakamuuliza,leo ni siku ya saboto nani ubebe kilago yako?. 11 Akwajibu: ni mwenye aliniponesha ndjo aliniambia ni bebe kilako yangu na niende. 12 Nani aliikwambiia ubebe kilako na chacho ubende?. 13 Na mutu ule akujuwa ne nani alimuponya sababu ya bwengi ya watu.toka kati ya watu 14 kiisha Yesu akamkuta mgonjua yule kati ya nyumba ya Mungu (kanisa) .Angolia usifanye tena nzambe usije kupata meno mbaya kupita ile 15 .Ntu yule akaenda kuwambia wayuda kamani Yesu nzyo alimponyesha. 16 sababu ya vitendo vile, waynda walipenda kumtesa yesu na kumtafutama muhuwe alitenda miujiza mingi siku ya sabato. 17 Na Yesu akawambia baba yangu angali anatenda, na mimi niko natenda mupaka ivi. 18 Na kua iyo : wakitaka kumuuwa Yesu sababu akuheshimia siku ya sabato, ababu aluta Mungu baba yake. 19 Yesu akawajibu, Akika-akika mtoto kaweji kufanya neno lalote bila neno kutoka kwa baba . 20 sabaku bato anampenda ntoto na wyo atamuomyesha vyote kusudi mpate kusangaa. 21 kama vita Baba awapatia watu ujima ntoto wyo ivyo anafana uzima kwa wenyi kumpenda. 22 Sababu baba ahukumu muntu lakina mtoto wake. 23 Kua ajeli bote bantu bamusheshimu mtoto kupitia baba na ule anaheshimu, amaheshimu baba aliyemtuma. 24 kwili kwili mutu wowote anaye sikia heno langa na susadikia mwemji alinituma hataukumiwa lakini atapata uzima wa milele haata fungwa kamwe . 25 kwili kwili ,wakati umetimia, wafu na mtu wowote atakaje sikia neno la mtoto wa Mungu ataitshi milele 26 Ginsi baba yuko na uzima kati yake vile vite mtoto anayo uzima. 27 Kati yake baba alimpa uwizo ya kusambi sha kwani ni mivana wantu. 28 Musisangae, wakati uliisha timia walio wa kufa,kakusivi. 29 Watasikia neno lake walio fanya matendo mema watafulwa , kwa uzima wa milele na walio tenda zambi watafufulii na watapata malipizo 30 sifaniaki kitu kwa uwizo wangu mwenyewa kama vile nasikia , nasambisha, na kwambusha yangu ni ya ukweli, mimi (Yesu) sitafuta mapenzi yangu lakini mapenzi ya mwenji aliye nituma (Mungu). 31 Kama nikitaka kujitemoigner mimi mwenyewe haitakuwa sawa. 32 Kupo mwengine mwenye ananishudia, na ushuudi wake ni sawa (ukweli) 33 Mulitumaka watu kwa Yoani, akawambia ushuhuda ya ukweli kwasasa ushuhuda ( ushuuda) wangusi wa mtu. 34 Nasema hivi muokolewe. 35 Yohane alikuwa mangaza yenji iliangaa kati yenu, mulitaka kwangazwa mda chache kwa kufwahisha 36 Ushuuda wangu ni kubwa sana kupita ya johane kwani kazi baba alipitia inanishudia(inashuhudia) kama baba alinituma. 37 Baba mwenji aliyenituma anani shuhudia. Hamsiku neno lake kazi yake sababu neno lake haikae kati yenu kwane hamujamsadiki, mwenji aliyetuma. 38 Neno yake aiko ndani yenu, sababu amuamini yeye aliye mtuma. 39 Munaonja(kupima) maandiko ginsi muwawaja ni maandiko ayo ndio ushhuda yangu. 40 Tampedi kuya kwangu kusudi mupate uzima. 41 Sependi sifa yangu kwa watu. 42 Kwani najua humanu upendo wa Mungu kwenu. 43 Nemekuja kwa fina la baba na hamkunipokea musengine angekufa fina mwenywe 44 .Namna gani mtasadiki ninji wanaopenda utukufu za watu lakini hamtafute yayo Mungu mwenywe ? 45 Msiwaze kama mimi nitawachogea kwa baba. Muchongeji wenu ni musa kwani munewaka imani yenu kwake. 46 Kwani mgesadiki , mge misadiki, kwani aliandika juu yangu . 47 Vile hamsadiki, mtawezaje kusadiki ya kwangu.