Sura 3

1 Kulikwa mfarisayo moja jina lake Nikodemo alikuwa piya kionjozi ndani ya baraza ya bayuda. 2 Alimwendea Yezu usiku kwa upeke na kumwambia mukubwa tunajua kama weye ni mwalimo kotoka kwa mungu, sababu hakuna mutu akaye fanya maajabu una afanya, kama Mungu haiko naye 3 Yesu akajibu: kwa kweli kama mutu hakuzaliwa mara ya pili houngia ufulme wa Mungu. 4 Nikodemo akawuliwa mara ya pili na akiwa mzee ? atarudia kutumbo ya mwana yake na kuzaliwa tena ? 5 Yesu akajibu: kwa kweli, kama mutu hazaliwe kwa mayi na kwa roho hawezi kwingia katika ufalme wa Mungu. 6 Aliye zaliwa kimwili, ni wa kimwili, na aliye zaliwa kiroho. 7 Usishangae sababu nakuambia: unapashwa uzaliwe upya. 8 Pepo inaendaka ngambo yote, na unasikiaka sauti yake, lakini haujue imatoka wapi na inaenda wapi. Ni hivi juu ya mutu anayezaliwa kiroho 9 Nikodemo akauliza ile itafanyaka namunagani. 10 Yesu akamujibu: wewe ni mutu mukubwa wa baraza ya Bayuda haujuwe hii maneno? 11 Kwa kweli tunasema bile tunajua, na tunajua, na tushuhudia bile tuliona lakini hamuitike ushuhuda wetu 12 Wakati na wasemea vitu vya dunia hamukubali namuna gani mutaamini kama nikawaambia maneno ya mbinguni? 13 Hakuna aliyepanda mbinguni mpaka tu ule aliyetoka mbinguni mototo wa mutu (Adam) 14 Kama vile Musa aliinwa nyoko ya chuma mujangwa vilevile mutoto wa mutu anastahili kuiliwa , 15 kwa sababu kila atakaye mwamini apate uzima wa milele 16 Kwa maana Mungu alipenda sana dunia akotoa mutoto wake wa pekee, juu kila mutu atakayemwamini apate uzima wa milele 17 Mungu hakumutuna wake juu ahukumu dunia, lakini, kwa sababu dunia iokoke kupitia yeye. 18 Kila mutu anayemwamini hata hukuniwa lakini anayekotala kumwani anaisha hukumiwa, kwa sababu hakuamini jina ya mototo wa peke wa Mungu 19 Na hii njo sababu ya lukumu, wakati mwangaza ulingana watu wachagwa kutembea kugiza kuliko ku mwangaza, sababu matenda yao ilikuwa mubaya 20 kwa maana, kila mutu anayetenda zambi anachukiya mwanga na hata sogeya kumwangaza juu motendo yake ya mubaya isionekane wazi 21 Mara mingi, mutu anayetenda kweli anasogeya kwenye mwangaza, kwa sababu yote aliyotenda juu ya Mungu yaonekane wazi-wazi 22 Nyuma ya ile Yesu na wanafunzi wake wakaende Yudea waliikala nao wakati mufu pale,na akabatiza 23 Yowane naye alikwa nabatiza pale enoni karibu na salimu kwa sababu palikwa mayi mingi watun walikuya kwake juu wabatizwe. 24 Kwa sababu, wakati ule, Yowani alikua hayafungiwa 26 Tena wanafunzi wa yowandi na wayuda wakabishana sana juu ya suku kubwa ya kutakaswa. 25 wakaenda kwa Yowani na wakasema: mkubwa, ule mutu ulikua naye ngambo ya mutoni yolodani, ule ulishuhundia juu yake, angalya, yuko nabatiza na watu wote wanamufuata. 27 Yowani akajibu: mutu ata moya hatapokeya kitu, kamahakupekewa na Mungu kotoka mbinguni. 28 Munakwa washahidi wangu wakati nilisema hivi: miye si Masia; na nikesana tena: Militumwa tu mbele yake. 29 Mwenye anahusika na mwanamuke wa ndaa ni bwana wa ndoa, yeye anamamatu,na kiuchunga , furaha yake inakamilika wakati anasikia sauti ya rafiki yake.na hii munayonisemea hapa, inakamilisha furya yangu. 30 Ni vizuri yeye apande, na miye nishuke. 31 Ule anayetoka yulu anakwa yule ya yote. anayetoka kudunia ni wadunia na anasema vitu vya kidunia. 32 Aliye toka mbinguni yuko yulu ya yote anashuhundia bile aliona na bile alisikia, lakini hakuna anayemwamini. 33 Anayeamini ushuda wake, anahakikisha kama Mungu yuko kweli. 34 Kwa maana aliyetumwa na Mungu anaonangea maneno ya Mungu, kwa sababu Mungu hamupe mutu roho na kipino. 35 Baba anamupenda mutoto wake na anaweka vitu vyote kumikono yake. 36 Anayemwamini mutoto wa Mungu anauzima wa milele, asiye amini hama uzima, lakioni hasira ya Mungu inashuka juu yake.