Sura 2

1 Kulikua feti ya ndoa mu Kana ya Galilaya baada ya siku tatu na mam yake. 2 Yesu alikuamo ndani. Yesu na wanafunzi walitwa nao kwa ile feti ya ndoa. 3 Wakati pombe iliisha, mama wa Yesu alimwambia: «Hawana tena pombe.» 4 Yesu akamujibia : « Mwanamuke ile inanianglia mimi na nini? Wakati wangu bado.» 5 Mama yake aki waambiya watumishi: «Fanyeni yote awaambiapo:» 6 Kulikua matungi sita ya bulongo ulioyo yarishwa kwa desturi ya wayuda kua kunawa kila mutu kwa mara mbili ao tatu. 7 Yesu akawambia:«Mujaze mitungi maji na ndivo wakajaza tele. 8 Kisha Yesu akawambia: «Watumishi, itukamate sasa na mupeleke pombe kua kiongozi wa kazi.» Na wakipeleka. 9 Kiongozi mkuu wakazi akaonja maji ilio geuza pombe, bila kufua wapi ilitokea (lakini watumishi walioshota ayo wamejua fasi ilitoka). Kisha wakati bwana harusi na waka mwambia: 10 Mutu wote anatoshaka mbele pombe mzuri, kiisha analeta pombe mbaya wakati watu wanalevieka. Lakini weye ulichunga pombe mzuri adi sasa.» 11 Mu uzima wa kana ku Galilaya ilonesha mwanzo wamiujiza yenye Yesu alifanya na ikaonesha utukufu wake. 12 Kwisha pale akashika Kapernaum yeye na Mama yake, na ngugu zake na wanafunzi wake na habakuka wiya kule siku mingi. 13 Pasaka ya wayuda ili karibia na Yesu alipenda Yerusalema. 14 Alikuta ndani ya hekalu wauzisaji wa ngombe, kondolo na njiwa. na wabadishaji wa feza wali kuwa ikala ndani ya hekalu. 15 Aliwapiga kwa fimbo na kuwa fukuza inje ya hekalu, pamoja na kondolo na ngombe Akamwanga pesa ya wabadirshaji na kuvuja meza yao. 16 Akiwambiya wachuruzi wa njina mutoche mbali na hapa vitu vyenu hivi muache kufanya nyumba ya Baba yangu fasi ya kuuzisha biashara. 17 Wanafunzi wakewakikumbuka maandiko. wivu wa nyumba hii inaniunguza moyo.» 18 viongozi wa mayuda wakajibu: «Alama gani ita tuonesha mambo yenye ulifanya ?» 19 Yesu akiwajibu: «Mu ivunje ile hyekalu na kisha siku yatu ni taijenga tena.» 20 Viongozi wa wayuda wakisema : «Tulikamata miaka makumi ine na sita kua kuijenga hii hekalu, na weye utailamusha musiku tatu tu?» 21 Kwa lakini alisemea hekalu kama mwili wake. 22 Kisha yeye kufufuka toka wafu wanafunzi wakakumbuka kwaba aliwaelezeaka yale maneno na wakaamini pamoja na neno ile Yesu alikasemaka. 23 Wakati alipokua Yerusalema juu ya pasaka wakati wafeti, wengi wakaanini mu jina yake, kua kuona miujiza alipo ya tenda. 24 Lakini Yesu hakupenda kujipina kuao kwa sababu aliwafaha mu wote, 25 sababu hakukua na lazima za ushuuda za watu sababu alijuwa yenye ilikua ndani yake.