1
Ni dju ya uru djo Kristo ari tukombola . ikala wa kushimama ( fashi moya) , na mu shatche ba mweke tena tshini ya bifungo ya butumwa .
2
Mone , mie Paulo , na miabiya asema , kama mu na dji tahiriwa , Kristo ashi mi saidiye kintu .
3
Mi na sema tena tena kwa mutu wote ule ritahiri, ana pasha kutumikia kutumikia ( ku eshimia) sheria yote mujima .
4
Muko ba kukabulana na Kristo , mwe bote muna tafuta ku okolewa dani ya sheria; amusta pata neema.
5
Dju yetu , ni kwa imani djo tu natshunga , kupitiya Roh , kitumaini ya aki.
6
kwamana , mwa Yesu Kristo , wala kutahiri wala pasho kutahiriwa a bina na mana, lakini imani ile ina tumika kupitiya mapendo.
7
Muna kimbia muzuri : nani ana mishi mamisha, dju ya ku mipushinsha kweshimia ukweri ?
8
Iyi kusukumwa aku toke kwa ule ari mi ita .
9
Tchatcho kiloko ina vimbisha buyi bote .
10
Niko na tumainiya kwe nu , dqni ya Bwana , asema amusta waza bingine . Lakini ule eko na mi vuruka , akuye nani , ata pata maripo yake.
11
Dju yangu , banduku , kama mina ubirite tena ku tahiriwa , dju ya nini tena ba na ni tshukiya ? muvuruko ya ku musalaba ina poteya !
12
Tu ba toshe , bale beko na leta fudjo katchi katchi yenu !
13
Banduku , muri itiwa kuya uru , kwalakini mu shi fanya ile uru ikuye tundu (djiya) ya ku ishi munamuna ya ki mwili; lakini muri lete , kupitiya mapendo , batumwa ya ba moya na bengine.
14
Kwa mana sheria yote ina ikala dani ya neno moya , dani ya iyi : uta penda djirani wako sa we moya
15
Lakini ka muna riluma na kuri kuria ba moya na begine , mudji tchunge dju mushirialabishe ba moya na bengine.
16
Mina sema seke : Mutembeye Munamuna ya Roh , na a musta fanya mapezi ya mwili.
17
Kwamana mwili iko na mapenzi ya kwatchana na Roh , na Roh iko iko na bia kwatchana na mwili ; bilko bia kwatchana , dju mushi fanye bile bile muna penda .
18
Kama Muna ongoziwa na Roh , amuna tshini ya sheria .
19
Kwa lakini , matendo ya mwili ina rionesha , ni : busharati , butchafu , kutchantchanga ,
20
Kwabudu , buloji , kukosa burafiki , mabukonvi , ma tchuki , ma buniama , ma kukota ku sauti, ma kukabulana, makanisa ya buloji .
21
Kutamania , bulevi , Ma kuria kwa kulafi , na bintu bia kufanana . Na miambiya bele , sa vile misha ku sema , bale beko na fanya ibi bintu a ba tariti ufalm ya Mungu .
22
Lakini ma tunda ya Roh , ni : mapendo , furah , salama , kutuliya , buzuri , bunene , bwaminifu ,
23
Utulivu , unyenyekevu ; sheria ayi pinge dju ya ibi bintu.
24
Bale beko ba Yesu Kristo ba sha kuwa mwili na ma tama na mapenzi yake .
25
Kama tu na ishi kupitiya Roh , tu tembeye tena munamuna ya Roh .
26
Mu shi tafute utukufu ya bule , mu kuri tshokoza ba moya na bengine .