1
Kwa lakini , tena kuna kawa muriti eko mtoto , mina sema ashi atsha mutumwakukintu , ata eko mwenye biote;
2
Lakini eko tshini ya ba tshunga na ba ku ongoza paka pale wakati ile Baba ari sema ita fika .
3
Shiye tena ,kwa mufano moya moya , pale turikuya batioto , turikuya tshini ya butumwa mipango ya dunia;
4
Lakini , pale ma wakati iri fika , Mungu ari tuma
Mtoto yake, ana zarika kwa mwana muke, ana zarika tshini ya sheria,
5
dju ya ku okowa bale beko tshi ya sheria, dju tu pate kombolewa ( kutu uza) .
6
Na dju muko batoto , Mungu ari tuma dani ya ma roh yetu Roh ya ya mtoto yake , ku ile iko na lalamika : Abba ! Baba !
7
djo kwamana awuna tena mutumwa, lakini mtoto ; na kama uko mtoto , uko tene muriti kupitiya neema ya Mungu .
8
ile wakati , amu ku muyuwe Mungu , murianza kutumikia ba mwungu abana ba mufano yabo ;
9
Lakini sasa muna yuwa Mungu , wala tena Mungu ari mi djuwa, namuna kani muna rudiya ile bizaifu na mashikini mipango , ku ile muna penda tena kutumikia ?
10
Muna angaria mashiku, ma mwenji , ma wakati na ma miaka !
11
Mina ongopa kwa kutumiga bule dju yenu.
12
Mukuye sa vile miye, kwamana miye niko sa vile mweye. nduku , mina milomba . A mu ku ni fanisheye kibaya ata .
13
Muna djuwa asema iri fanyishika dju ya kilema ya mwili ile miri mipata dju ya mala ya kwanza mihubiri Indjili .
14
na kuwekewa muku pimwa kupitiya mwili , a mu kuseme wala mubaya wala kuniitshukiya ; muri ni, kwa kinyume , murini pokeleya sa vile malaika ya Mungu , sa vile Yesu Kristo .
15
Wapi sasa muna shudiya mashi ya furah yenu ? kwamana mina miambiya asema , kama ile iri weekana , baripasha ku mi tosha mantsho dju ya kunipa yo .
16
mina kuya adwi wenu mu ku mi onesha ukweri ?
17
ile bidi bana kuya nayo dju yenu ayina safi, lakini bana penda ku mi kabula na shiye , dju mu kuye na bidi dju yabo .
18
Ni muzuri kuya na bidi dju ya ile iko muzuri na wakati yote , na ayina paka kama niko katchi katchi yenu .
19
Batoto yangu , bale mina shikiriya maumivu ya kuzala , paka pale Kristo ata ikala dani yenu ,
20
Mina penda sasa kuya pebeni yenu , na ku badirisha misemo , kwamana niko dani ya maunguniko dju yenu .
21
Munyambiye , mweye muripenda kuya tshini ya sheria, amushikie sheria ?
22
Kwamana iri andjikiwa asema Ibraimu ana pata batoto ba wiri, moya wa kwa mwana muke mutumwa , na moya wa kwa mwanamuke wa uru ,
23
Lakini ule wa mutumwa ari mupata kwa mwili , na ule wa uru ari mupata kupitiya malako .
24
Ibi bintu biko bia kutafsiri ; kwamana bale bana muke beko ma agano bili. moya wa mulima ya Sïnaya , anazala dju ya utumwa , ni Agara ,
25
kwamana Agara , ni mulima ya Sinaya mu ki arabia , na ana wonesha Yerusalema ya leo , iko dani ya butumwa na batoto yake .
26
Lakini Yerusalema ya yulu iko uru , ni mama yetu,;
27
kwamana ime andjikwa asema : Furayi weye , tasa , weye awu zale apana ! Pasuka na lalamika na makele ya mingi , weye awu kushikiye maumivu ya kuzala ! kwamana batoto ya ule baratsha ba ta kuya ba mingi kupita batoto ya ule eko wa kolewa .
28
Dju yenu , ba dunku , sa vile Isaaka , muko batoto ya malako ;
29
Na tena ule ari zarikwa kupitiya mwili ana uwa ule ana zarika kupitiya Roh , vile vile eko tena sasa .
30
Lakini mwandjiko ina sema nini ? Andama mutumwa na mtoto yake , kwamana mtoto wa mutumwa ashi riti na mtoto ya mwanamuke ule eko uru .
31
Djo kwamana , banduku , atuna batoto ya mutumwa, lakini ya mwanamuke ya uru .