1
Banduku , kama mumtu ba na mukuta mu bubaya , mweye muku ba kiroh , mu muongoze na roh ya utulivu . Uri tchunge we moya , dju kintu kishi kupime na weye .
2
Mu bebeyane bujito ba moya na bengine . Na muta ta timiza sheria ya Kristo .
3
Kama muntu ana waza kuya ma mana ,ashi kuye kintu , eko na rialabishiya ye moya .
4
mutu wote atshunguze ma tendo yake , na apa dju ya mwingine ;
5
Kwamana muntu wote ata beba bujito bwake .
6
Ule beko na fundisha neno a saidiye mu bintu biake biote kwa ule eko na fundisha .
7
Mu shi rilande : aba mupimake Mungu. kile muntu ata otesha , ata kivuna teni .
8
Ule a na otesha dju ya mwili yake ata vuna dju ya mwili mabaya ; lakini ule eko na otesha dju ya roh ata vuna dju ya roh maisha ya milele .
9
Tu shi atche ku fanya bizuri ; kwamana tuta vuna mu wakati muzuri kama a tu riatchiriye .
10
kwa vile sasa, pale tuko na wakati , tu tende bizuri kwa bantu bote , na sana sana kwa banduku mu imani .
11
Mwangarie na mukanda kani munene miri miandjikiya ku mikono yangu .
12
Bale bote bana penda ku dji fanya bazuri mu mwili ba na mi sukuma mu dji tahiriwe , dju tu ya kwepuka ba teswe dju ya musalaba ya Kristo .
13
Kwamana bale beko bakutahiriwa bo benye we aba eshimiye sheria ; lakini bana penda mu dji tahiriwe , dju ya ku ri tukuza dani ya mwili yenu .
14
Dju ya ile ina nyangaria , bari na miye ma wazo ya kuri tukuza kubintu bingi bia ku musalaba ya Bwana wetu Yesu Kristo, kupiti yeye dunia iri kufa dju yangu , sa vile niko dju ya dunia !
15
Kwamana ayina na mana ukuye wa kutahiriwa wala washo ku tahiriwa ; ile iko ya mana , ni kuya ki umbe kia sasa .
16
Salama na reema kwabale bote beko na fata iyi magizo, na kwa Israeli ya Mungu !
17
Muntu kwanziya leo ashi ni vuruke , Kwamana ni na vala ku maungu yangu alama ya Yesu .
18
Banduku , neema ya Bwana Yesu Kristo ikuye na roh yenu ! Amina !