Sula 6

1 Banduku , kama mumtu ba na mukuta mu bubaya , mweye muku ba kiroh , mu muongoze na roh ya utulivu . Uri tchunge we moya , dju kintu kishi kupime na weye . 2 Mu bebeyane bujito ba moya na bengine . Na muta ta timiza sheria ya Kristo . 3 Kama muntu ana waza kuya ma mana ,ashi kuye kintu , eko na rialabishiya ye moya . 4 mutu wote atshunguze ma tendo yake , na apa dju ya mwingine ; 5 Kwamana muntu wote ata beba bujito bwake . 6 Ule beko na fundisha neno a saidiye mu bintu biake biote kwa ule eko na fundisha . 7 Mu shi rilande : aba mupimake Mungu. kile muntu ata otesha , ata kivuna teni . 8 Ule a na otesha dju ya mwili yake ata vuna dju ya mwili mabaya ; lakini ule eko na otesha dju ya roh ata vuna dju ya roh maisha ya milele . 9 Tu shi atche ku fanya bizuri ; kwamana tuta vuna mu wakati muzuri kama a tu riatchiriye . 10 kwa vile sasa, pale tuko na wakati , tu tende bizuri kwa bantu bote , na sana sana kwa banduku mu imani . 11 Mwangarie na mukanda kani munene miri miandjikiya ku mikono yangu . 12 Bale bote bana penda ku dji fanya bazuri mu mwili ba na mi sukuma mu dji tahiriwe , dju tu ya kwepuka ba teswe dju ya musalaba ya Kristo . 13 Kwamana bale beko bakutahiriwa bo benye we aba eshimiye sheria ; lakini bana penda mu dji tahiriwe , dju ya ku ri tukuza dani ya mwili yenu . 14 Dju ya ile ina nyangaria , bari na miye ma wazo ya kuri tukuza kubintu bingi bia ku musalaba ya Bwana wetu Yesu Kristo, kupiti yeye dunia iri kufa dju yangu , sa vile niko dju ya dunia ! 15 Kwamana ayina na mana ukuye wa kutahiriwa wala washo ku tahiriwa ; ile iko ya mana , ni kuya ki umbe kia sasa . 16 Salama na reema kwabale bote beko na fata iyi magizo, na kwa Israeli ya Mungu ! 17 Muntu kwanziya leo ashi ni vuruke , Kwamana ni na vala ku maungu yangu alama ya Yesu . 18 Banduku , neema ya Bwana Yesu Kristo ikuye na roh yenu ! Amina !