1
Mina na misubutisha seke , miye , mufungwa mwa Bwana , ari tembeya munamuna inapasha kwa ku mitiwa ile iri miangariria ,
2
Mu kurishusha kote na bupole , na utulivu , muku ritshikiya ba moya na bengine na mapendo,
3
muri weka mu kutchunga mukimoya ya roho kupiliya kifungo ya salama.
4
Kuku mwili moya na roho moya , sa vile tena muri itiwa ku kitumaini moya kupitiya mwito yenu ;
5
Kuku Bwana moya , imani moya , ubatizo moya,
6
Mungu moya na Baba moya wa bote, eko yulu ya biote , na kati ya bote , na mwa bote.
7
Lakini kwa kila muntu kati yetu aripata neema kwa kipimo ya kipadji ya Kristo.
8
Ni kwamana ime sema : muku panda yulu , ari beba bafungwa , na ari fanya makipadji ku bantu.
9
kwa lakini , ina sema nini : ari panda , kama siyo ari shuka tena mu ma fashi ya tshini ya bulongo?
10
Yeye djo ari shuka , ni yeye paka ari panda yulu ya ma bingu yote, djo ya kuyaja bintu biote.
11
Na arikabula bamoya sa vile batumes , bengine sa vile banabi, bengine sa baengiliste , bengine sa batshungadji na batuzadji,
12
Dju ya kushima kwa kweri ya batakatifu djo ya kaji ya uduma na kufundisha ya mwili ya Kristu,
13
Paka pale shiye bote tu tafika mukuya mukimoya mu imani na mukudjuwa Mtoto ya Mungu, mu ali ya muntu kufanyiwa , mu kipimo ya mufano ya vile inapasha ya Kristo,
14
Djo tu shi bakiye paka batoto , yulu yulu na kubebewa ku ma pempo yote ya mamafundisho , kupitiya bongo ya bantu , kupitiya bukalamushi mu mufano ya kudanganyiwa
15
Lakini , tumikiya ukweri dani ya mapendo, tuna endeleyagambo yote mwa ule ni mukubwa , Kristo.
16
Ni kwake , na neema ku bifungo biote ya usaidizi , mwili yote , inogonziwa muzuri na ina kuya nguvu muku riunga, ina kokota kwendeleya yake kwa vile nguvu inapasha kwa bipande yake , na ina rifundisha yo yenyewe dani ya mapendo.
17
Ona seke ile mina sema na ile mina semeseya dani ya Bwana, ni kusema amu wezi ku tembe tena sa bapagano, beko na tembeya sa vile mawazo yabo ina ba peleka kubintu bia sho mana.
18
Beko na akili ya kufunika , beko bageni ku maisha ya Mungu, djo ya kukosa kuyuwa ile iko dani yabo, djo ya roh yabo ya nguvu .
19
ba na potesha amu , ba na ripeleka mu bia kutchangatchanga, dju ya kufanya mambo ya butchafu yote ile ina riunga ku taama.
20
Lakini mweye , ayina vile barimifundisha kwa Kristo,
21
Kama bele muri mushikiya , na kama , muri riweka vile inapasha ku ukweri ile iko mwa Yesu, ni mwake djo murifundishiwa,
22
ku ritosha , kumitosha , ku weka penbeni ku maisha yenu ya zamani , kwa muntu wa zamani ari landiwa kupitiya taama ya bongo.
23
Kwa kuya wa kuzarika tena dani ya roho ya akiri yenu,
24
Na kuvala muntu wa sasa , ku umbiwa kwa vile Mungu dani aki na butakatifu ile ina zala ukweri.
25
Ni kwamana , katala bongo , na ile kila muntu katshi yenu aseme kwa ukweri kwa djirani wake ; kwamana tuku wa member ba moya na bengine.
26
Kama muna shikiya makari , ushi fanye zambi; djuwa ishi lale uko paka na kishilani,
27
Na ushi kabule shetani djiya.
28
Ule eko na iba ashi ibe tena; lakini a tumike , mukufanya na mikono yake bile biko bizuri, dju ya kupata nini ya kukabula ule eko nayo lazima na yo .
29
Mukinya yenu mushi toke misemo mubaya, lakini , mutoke, ma misemo muzuri , ile ina saidiya kuyenga na kuleta neema kwa bale bana ishikiya.
30
Mushi sikitishe Roho - Mutakatifu ya Mungu, kupitiya ile muri pikiwa djo ya shiku ya ukombozi.
31
Butshungu boyte , bunyama bote , na makari ya namuna yote , y poteye katshi katshi yenu.
32
Mukuye bazuri ba moya kwa bengine, musaidiyane , mu rumiyane bengi na bengine , sa vile Mungu ari mi rumia mwa Risto.