1
Dju ya ile , miye Paulo, mufungwa ya Kristo djo yenu meye ba pagano...
2
Kama muri yuwa ku bembelesha neema ya Mungu , ile ari nipa dju yenu.
3
Ni kupitiya ufunuwo djo ni riyuwa bia kufutshama ku bile mina miandjikiya mu misemo kiloko .
4
Muku bisoma , mutezi ku onesha akiri ile niko nayo ya bia kufuntshama bia Kristo.
5
A bi kurionesha ku batoto ya bantu mu ma wakati ingine , sa vile iri funguriwa apa sasa kupitiya roho ku ba takatifu mitume na nabie ya Kristo.
6
Iyi siri , ni kusema ba pagano beko nabo ba riti , bana kuya tena mwili moya na bana ingiya tena ku malako mwa Yesu - Kristo kupitiya endjili,
7
Djo miri fanyiwa waziri kwa kipadji ya neema ya Mungu, ile iri ni pewa kupiya nguvu ya uwezo yake.
8
Kwa miye , niko wa mwisho ku batakatifu bote, iyi neema niri pata kusema ku bapagano ma butadjiri ya sho ya Kristo,
9
Na kuweka ku mwangaza ni nini matayarisho ya siri ya kufuntchama ya wakati yote mwa Mungu ari umba bintu biote.
10
Dju ya butawala na waongozi mu ma fashi ya yulu kudjuwa leo kupitiya kanisa ekima ya kwendeleya pashipo mwisho ya Mungu,
11
kwa vile mipango ya milele ile ari weka mu matendo kupitiya Yesu-Kristo Bwana wetu.
12
Mwa ule tuku na , kupitiya imani mwake yeye , uru ya tu tshofe kwa Mungu na kitumaini ,
13
Tena mina milomba mu shipoteshe bidi dju ya mateso yangu djo yenu : ni utuku yenu.
14
Dju ya ile , mina twanga magootshi bele ya Baba ,
15
kwakew ma djama yote ina beba djina mu bingu na pa dunia,
16
dju a mipe , kwa vile utadjiri ya utukufu yake , ikuye na uwezo ya nguvu kupitiya roho yakedani ya muntu.
17
Djo Yesu a ikale dani ya ma roho yenu kupitiya imani , dju mukuya wa kushimama na kwila dani ya mapendo ,
18
Mu shikiye na ba takatifu bote nini bufupi , bulefu , bu nene , na bulefu ,
19
Na kudjuwa mapendo ya Kristo , ina pita kudjuwa kote , dju ya kusema mu kuye benye ku ya jiwa paka mu ku tawala ya Mungu.
20
kwamana , kwa ule atezi kufanya , kupitiya uwezo ina tenda dani yetu , pashipo mwisho yulu ya biote bile ana tu nalomba wala kuwaza,
21
Kwa yeye utuku dani ya kanisa na mwa Yesu-Kristo , mu ma wakati yote , mile na mile ! Amina!