Sula 2

1 Murikuya ba kufa kupitiya ma bubaya yenu na kupitiya ma zambi yenu, 2 Mule murianza kutembelele yamo, vile mandjiya ya dunia , vile kyongozi a madaraka ya mu pempo , pempo mutshafu ile iko na tumika dani ya mtoto ya butomboji. 3 Shiye bote tena , turi kuya ba ile kikundji , na turianza ku ishi vile mapenzi ya mwili yetu , muku fanya mapenzi ya mwili na mawazo yetu, na tu rikuya kupitiya mufano ya batoto ya makari , sa bengine... 4 Lakini Mungu , eko mutadjiri mu reema , dju ya mapendo munene ile ari tu penda , 5 Shiye turi kufa kupitiya bubaya yetu , ana tu rudishiya bujima na Kristo5 (ni kupitiya neema djo tu riokolewa ) ; 6 Ari tu fufula pamoya , na ana tu ikarisha pamoya mu ma fashi ya yulu, mwa Yesu Kristo, 7 dju ya ku onesha mu mashiku ya kumbele utadjiri ya sho kwisha ya neema yake kupitiya buzuri yake kwe tu shiye mwa Yesu Kristo. 8 Kwamana ni kupitiya neema dju muri okolewa , kupiya imani . Na ile ayi toke kwenu , ni kipadji kia Mungu. 9 Ayina kupiti matendo , djo muntu ashi ri tukuze. 10 Kwamana tuko biumbe biake, tu riumbiwa mwa Yesu - Kristo dju ya matendo muzuri, ile Mungu ari tayarisha ku mwandjo, djo tu y weke mu matendo. 11 Ni dju ya ile , mweye murikuya ba pagano dani ya mwili , bari mita ba sho kutahiriwa kwa bale beko ba ku tahiriwa na na beko bakutahiriwa mukimwili kupitiya mikono ya muntu, mu kumbuke 12 Ile murikuya mu ile wakati pashipo Kristo, ku katariwa kustaili ya mukini mu israeli , bageni ku magano ya malako , pashipo kitumaini na pashipo Mungu mu dunia. 13 Lakini sasa , mwa=Yesu Kristo , mweye murikuya banri , muna kuya karibu kupitiya damu ya Kristo. 14 Kwamana eko salama yetu, yeye kwake ya biwiri ana fanya bikuyu mukimoya, na ana angusha kibumbashi kiritukabula, 15 Bu adwi, iri labiki kupitiya mwili yake sheria ya mipango dani ya miandjiko yayo , dju ya ku umba mwake ye moya na yo biri muntu wa sasa moya, mu ku weka salama , 16 Na ku ba roudisha , moya na ule mu mwili moya, na Mungu kupitiya musalaba , mu ku aribisha kupitiya yeye bu adwi. 17 Ari kuya kuleta salama kwa mweye muri kuya bari, na kwa bale bari kuya karibu, 18 kwamana kupitiya yeye tu na kuya ba moya kwa bengine kufika (kwingiya) karibu na Baba, dani ya Roho moyan . 19 Vile seke , amuna tena bageni , wala bantu ba indje ; lakini muko pamoya na batakatifu, bantu ba munyumba ya Mungu. 20 Bari mifudisha yulu ya madjengo ya ba mitume na ya nabi , Yesu-Kristo ye moya eko ribwe ria kushimamisha. 21 Mwake yeye ekulu yote, bina angariwa muzuri, kulamuka djoya kuya ekalu takatifu dani ya Bwana. 22 Mwake tena muna fundichiwa djo ya kuya nyumba ya Mungu mu kiroho.