1
Vile seke , Kristo ari teswa mu mwili , na mweye muritayarishe kuya na mawazo moya , Kwamana yeye ariteswa mu mwili ari kabulana na zambi,
2
Dju ya ku ishi , apana dju ya kupenda kwa bantu , lakini kwa mapenzi ya Mungu, mu mashiku ile ina iri bakiya mu kwishi mu mwili.
3
Kuna isha sasa , mu vile , mu wakati ile isha kupita kufanya mapenzi ya bapagano, mu kutembeya dani ya kukabulana , ma tamaa , bulevi , kuria kwa kupita na kunya , na kwabudu salamu kwa kupita.
4
Tena muna ona kigeni a mu kimbiye na bo mu buchafu bu oya bwa kupita, Na bana mi shimanga .
5
Ba ta kwa ule eko pale djo ya kusambisha bajima na ba kufa.
6
Kwalakini Engili iri ubiriwa na kwa bale bashakufa, djo , kisha ku sambi sa vile bantu mu mwili , ba ishi vile Mungu mu kiroho
7
Mwisho ya bintu biote iko karibu , mukuye seke na ekima na kurifutshika , dju ya kuriweka ku maombi.
8
Bele ya bote, mukuye ba moya na begine mapendo ya nguvu, kwamana mapemdo ina funika ma zambi ya mingi.
9
mukuye ba furah na kupokeleya muzuri ba moya kwa bengine, poshipo kununanuna.
10
Sa vile bale baripata kipadji kizuri ya Ma neema ya kwatsha ya Mungu , Kila muntu katshi yenu a weke mu matendo kwa bengine kipadji kile aripata ,
11
Kama muntu ana sema , y kuye sa vile eko na leta madjibu ya Mungu ; kama muntu ana yaja uduma , ayi yaje kufatana na nguvu ile Mungu ari mupa , djo mu bintu biote Mungu a tukuziwe kupitiya Yesu-Kristo, ule ana pewa utukufu na uwezo , kwa milele na mulele amina.
12
Ba pendwa, mushi shutuke , sa vile mu na one kintu kia sasa ki na mifikiya , kia moto ile iko katshi katshi yenu dju ya ku mi onesha.
13
Mufurayi na sana , kwa kuriunga ku mateso ya Kristo, djo mukuye tena mu furah na mu furah ya nguvu pale utukufu yake ita onekana.
14
Kama ba na miteswa dju ya djina ya Kristo, muku na hery , kwamana Roho ya Utuku na Roho ya Mungu ina ikala yulu yenu.
15
Kushiku katshi yenu , muntu eko na teswa sa muhuwadji, wala mwiji , wala muovu, wa ule eko na ingiya mu mambo ya benyewe.
16
Lakini kama muntu eko na teswa sa vile Mukristo, ashikuye na aya, na kwa ile a tukuze Mungu do ya iyi djina.
17
Kwalaki ni wakati ile kusamba kuta anza mu nyumba ya Mungu. Lakini , kama ni kwetu ita anziya , mwisho ya bale aba ti endjili ya Mungu ita kuya djee ?
18
Na kama ba aki beko na okolewa na mateso, sasa bantu ba baya na ba tenda zambi itakuya djee?
19
Kwa vile , bale beko na teswa mu mapenzi ya Mungu ba rudishe nafsi yabo kwa Mumbadji wema, Mu kufanya ile iko muzuri.