1
Mone masubutisho ile mina ambiya kwa baze bale beko katshi yenu, miye muze sa bo, mushuda wa mateso ya Kristo, na kuriunga ku utukufu ile ina pasha konekana:
2
Mukuye batshungadji na kivuko ya Mungu kile kiko tshini ya butshungadji yenu, apana kupiya kiziwizi, lakini kwa mapenzi , ya Mungu; dju ya matokewo mchafu lakini na ukweli;
3
Apana s vile wa kutawala yulu ya bale bari miangu mu kukabula, lakini mukuya mufano ya kivuko.
4
Na bale Mutshungadji mukubwa ata kuya , mu tapata taji y sho ku ibiya yq utukufu.
5
Munamuna moya , muye murikuya ba kijana , mukuye ba kurishusha kwa bazee . Na mwebote, mu kinkundji, mukuye na kurishusha ; kwamana Mungu ana shimama kwa bakiburi , lakini ana fanyaka neema kwa bakurishusha.
6
Murishushe seke tshini ya mukono ya Mungu, djo a mi pandi mu wakati ile inapasha;
7
na mutule yulu yake ma bujito yenu , kwamana ye moya ata mitshunga.
8
Mukuye bakufutshama , mushi lale, adwi wenu , Shetani , eko na junguluka sa vile simba wa makari , mukutafuta nani wakuria.
9
mumushimamiye na imani ya nguvu, muyuwe asema mateso moya moya ina shimamiya ba nduku yenu mu dunia.
10
Mungu wa ma neeema yote , ana mita mwa Yesu-Kristo kwa utukufu ya milele , kisha kuteswa muwakati kiloko, ata kufanya wa kweli ye moya , mishikamisha , kumipa nguvu, misha bakushima .
11
Kwake yeye uwezo milele na milele ! Amina!
12
Ni kupitiya Silvain , eko ku matsho yangu nduku wakweri, iyi mina miandjikiya eko ni neema ya biakeri ya Mungu .
13
Kanisa ya batshakuliwa bale beko ku Babylona bana milamukiya, na Marko , mtoto yangu .
14
Mulamukiya ba moya na bengine kwa busu ya mapendo.