1
Ba namuke , mukuye ba ku rishusha kwa ba bwana yenu, djo , kama ba moya a ba echimiye neno, ba okolwe pa shipo neno kupitia mwendedo ya ba bibi yabo.
2
mu ku ona namuna yenu ya ku ishi mu ukweli na eshima.
3
Mukuye , apana bu muntu bwa indje ile ina wonesha mu nyele ya kushuka , bia ku mashikiyo na mu shingo bia zaabu , wa ma nguwo ile tu na wazaka,
4
Lakini bu muntu bwa dani na bwa kufutshama dani ya roho, bu muntu bule a bezi ku landa bwa roho mupole na ya kimia, ile iko na beyi bele ya Mungu.
5
Kisha kurionesha ile wakati banamuke batakatifu bale barianza kutumainiya mwa Mungu, ba kurisha kwa ba bwana yabo,
6
Sa vile Sarayi , arianza kweshimiya Ibraimu na ku mwita Bwana wangu. Ni kwake djo munakuya ba namuke, mu ku fanya bile biko bizuri, pashipo kuriatsha ku vurikiwa kwa boka ata bu moya.
7
Ba bwana , mu oneshe na mweye Ekima mu kupatana na ba bibi yenu , sa vile na bundji bwa sho nguvu ; mu beshimie , sa vile mbele tena kuriti na mweye neema . y kuye vile , djo kushikuye kintu ki tezi kwalabisha maombi yenu.
8
Mwisho , mukuye bakutshangamukiwa mweye bote na mawazo moya na , mapendo ya mingi ya bunduku , ya buruma , kurishusha.
9
Mu shi rudishe bubaya kwa bubaya , wala matushi kwa matushi ; mu bariki , kwamana ni kwa ile mu ritiwa , djo ya kuriti baraka.
10
Kama muntu , kwa ile , penda maisha na kona mashiku muzuri , a epushe lurimi yake mukusema bi bayana milo yake ku bongo,
11
Ende bari na bubaya na a fanye bizuri, atafute sala na ku ifata ;
12
Kwamana matcho ya Bwana iko nangaria aki na mashikiyo yake iko na shikiya maombi yabo , lakini uso ya Bwana iko na shimamia bale bana fanya mubaya.
13
Na ba miteswe , kama muku na bidi dju ya bizuri ?
14
kwalakini , pale muku na teswa dju ya aki , muta kuya na furah . Mushi bashikiye ata boka , na mushi vurukiwe;
15
Lakini mutakase mu roho Kristo Bwana , iko pale dju ya ku mi kombaniya , na bupole na eshima , mbele ya ule wote muna lomba sheria ya kitumaini ile iko dani yenu,
16
Na mukuya na mawazo muzuri , dju , paka pale bana mi tshukiya sa vile kama muri kuya mutenda maovu, bale beko na sema mwenendo yenu mwa Kristo ifunikiwe na fudjo,
17
Kwamana ana pasha ata ku teswa , ka ile ni mapenzi ya Mungu , mu kufanya bizuri , kuliko mukufanya bubaya.
18
Kristo na yeye ari teswa mala moya dju ya ma zambi , yeye aki dju ya ba sho aki , djo ya ku tu peleka kwa Mungu , mukuya ba ku wekewa ku lufu mukimwili, lakini mukuya ba kurudiwa bujima mu Kiroho,
19
Mu arienda na ku ubiri ma roho yile iri kuya mu Guereza ,
20
Bale barikuya ba sho imani , pale kuvumilia ya Mungu ina endeleya , mu wakati ya Nowa, pale arianza ku yenga buato , mule bantu kidoko , ni kusema ,bantu ba munane, bari okolewa kupitiya mayi.
21
Ile mayi iri kuya kionesho ya ubatizo , ayina kutakaziwa na butshafu y amwili , lakini mwito ya zamiri muzuri kwa Mungu, na ile sasa ina mikobola , na mweye tena , kupitiya kufufuka ya Yesu-Kristo ,
22
Eko ku ume ya Mungu , paka pale arienda ku bingu, na ba malaika , ba ongozi na ba nguvu , bari mu ti.