Mitendo ya mitume sura 27

1 Watkati balianuwa kufanga safari ya mayi kwenda Italia, baliweka paulo na bafungwa bengine kunikona ya kyongozi ya washkari wa kiitalia wa ogusto, anaitwa juius. 2 wakati tulipanda chombo juu tuende Adaramiti kwa upande wa azia, takaingiya ku bahari, Aristzki mutu wa Makedonia ya Tesalonika alikuwa pamoya na siye. 3 Siku iliyo fata, tukasimamisha chombo pale sidonia, Juliuis alimutendeya Paulo na mapendo, na kumutuma aende kwa bandugu yake atunzwe . 4 Tukatoka pale na kuenda tena kii bahari pembeni ya kisanga ya sipro hapo tulikingwa na upepo, sababu upepo ulivuma sana juu yetu. 5 wakati tulitambuka mayi pembeni ya silisia na Mapafilia, tukufika Mira pale lisia. 6 Huyo kyongozi wa baaskari aliona chmobo kutoko Alexandria inayaoenda Italia, Akatu pandisha. 7 Kuana kama tulienda polepole sikumingi, na tukafika kwa shida pale kinadas, upepo haukuturuhusu tuende, tukatembeya pembeni ya kreta, ngambo ya pili ya Salome. 8 Tukatembeya pembeni kwa shida sana, mpaka tukafika mijini iliyo karibu na muji mukuu wa Laza. 9 Tulikamata wakati murefu sana , na saa ya mafungo ya bayuda, iliisha pita, na ilikuwa hatari sana, Paulo akatu letaya angalisha. 10 Akasema : safari yetu hui itakuwa na hasara ningi sana, haiko tu juu ya vyashara na chomno, lakini juu ya maisha yatu pia . 11 Lakini kyongozi wa bakari, aliheshinia kyongozi wa chombo, na ku zarau manene ya paulo. 12 Kwa sababu kivuko haikuwa muziiri juu tusimane pale wakati wa baridi kali sana , basafiri bengi balipenda tulinda kufika fouikisi juu tu pumuizike pale wakati wa barudi kali sana, sababu Fouikisi ni kivuko cha kreta kimaangaliya kaskazini mashariki na kusini mashariki. 13 Wakati upepo kutoka kusini uhivuna, basafiri bote baliwaza kama yote ya muhimu imefanyi ka, bakaondosha nanga, na kwendeleya safari pembeni ya bahari krta, karibu na ngambo. 14 Nguma ya saa kidogo, upepo mukali kutoka upande wa kaskazini Mashariki, ukavuma sana, kutokeya ku kisanga. 15 Wakati chombo haikuweza tena, kushindana na upepo tukakubali kute mbezewa na upepo. 16 Tulipita pembeni ya kisanga koda kwa magumu sana lakini tulichunga chambo ya kusaidiya batu. 17 kisha tulikokoto chombo na kamba. juu tuliogapa tusiendeye kwanye muchanga, bakasha nanga na kutembeya muchanga, bakashusha nanga na kutembeya pembeni. 18 Tulipikiwa sana na upepo, kesho uake, ku manyi. 19 siku ya tatu basafiri bakaanza kupepa mayi na mikono yabo. 20 kwa sababu jua na nyota habikuanekana siku mingi, na upepo mukubwa ulipiga tulipoteza kitumaini ya kuokoka. 21 Na wakati murefu ulipita bila mutu kula kula Paulo akasimama mbele ya basafiri na kusema: Wandugu, naomba muinisikiliza tusiondoshe nanga, juu ya kuhepuka matatizo ya bahari. 22 Na sasa nabahomba mujipe mayo, kwa sababu hakuna mutu atakaye kufa kati yetu, lakini chombo njo itaharibika. 23 Malaika wa Mungu ambaye ninatuni kiya, alivitokeya busiku. 24 Na akasema: Paulo usiogope, sababe imastaluli usambe mbele ya kaizare tazama Mungu anatiya wasafiri wote kumikoho yako. 25 Ni kwa sababu hii banddungu, mukubali maana niye ninatu mainiya Mungu, itakuwa kama vili alisema. 26 Lakini tutapata shida katika kisanga kimoya. 27 Siku ya ine ilieneya, tulikuwa naongao zwa na upepo huku na huku, kubahari Adratike basafiri balikuwa na tumaini kama banafika ngambo ya jili ya bahari. 28 Wakati balitupa kipimo cha muti kumayi , mara ya kwanza bakapota metre makumi mbili, na kuenda mbali kidogo, kwa ya pili balipata metre kumi natano. 29 Balianza kuogapa juu ya kujikonga, na bakalomba Mungu juu busiku bukuche haraka. 30 Basafini wapi batae geka chomo, na baliiyacha ndani ya bahari baka waza kama batatupiya nanga ku mbele. 31 Paulo alisema na kyongozi na baaskari bake , hivi: kama haba batu habaikale ndani ya chombo, hamuwezi kuokoka. 32 Baaskari bahikata kamba ya nanga na kuacha chombo kii jiendeya. 33 Wakati jua ilipenda kuangaza, Paulo alibalomba bachugue chakula, Akasema: leo wi siku ya kumi na ine ya safari yetu, na hatu kule kitu. 34 Naomba mukule chakula juu ibasaidiye, na hata ungele wa mutu hatapoteya . 35 Wakate alimaliza kusema, akakamata chakula , akashuikuru Mungu mbele ya wote, aka kamata na kula . 36 wote walipata nguvu , bakakamata chakula. 37 Ndani ya chombo tulikua batu nia mbili makuni saba na sita. 38 Sasa balikula na kushiba, chambo ikawa mwepesi, na bakaanza kutupa mihindi ndani ya bahari(naye) . 39 Wakati usiku ulikucha, habakujua tena kivuko, lakini balianza kubishana juu ya kivuko kimoya yenye baliona kwa umbali, na kuulizana kama itakuwa muzuri kuegeka chombo huko. 40 Baliondosha nanga na bakaacha chombo iende ku bahari , na saa ile tu, bakafata upepo juu ya kuelekeya ku muchange. 41 Walifika kwenye mitoni mbili inakutana, hapo, chombo ika shindwa, mayi ilikuwa nguvu sana, na chombo ilianza kupasuka juu ya nguvu ya upepo. 42 Baaskari bzlipanga ku wauwa wafungwa wote, juu hate moya asipoone kwa kuogeleya. 43 Lakini nuikubwa wa baaskari alipenda kumuokoa Paulo, alikataza nipango yabo, na kuleta oda, ule anajua kuogeleya, ashuke ku mayi mbele ya wengine, kusidi waguse bolongo. 44 Na kwa murisho, bengine batafata kupituya. Ilionekana kama ni njiya ya kuokoa batu bote.