SURA 6

1 watoto wa Israeli walifanya tena maovu mbele ya Bwana, Bwana akabatiya kumikono ya Badiani myaka saba? 2 Mukono wa badiani ulikuwa nguvu juu ya batoto ba Israeli, bakafichama mu majiwe ya bilima, nndani ya mashima na chini ya myamba ya nguvu. 3 Wakati Israeli alikua napanda nimeya, wadiani, wa amaleki na watu wa mashariki, batipanda na kuya kubapikanisha. 4 Baliikala ngambo yake, bakaharibisha inchi mpaka Gaza, habakuacha chakiula, wala kondolo, wala ngombe wala ngamia mu Israeli 5 Kwa maana balienda na vikosi yabo, na hema yabo, walikuya wengi kama mapanzi, wao na ngao yabo, walikuya kuharibu inchi. 6 Israeli akateseka sana na Wamadiani, na watoto wa Israeli waka muliliya Bwana. 7 Wakati watotot wa Israeli walimuliliya Bwana juu ya Wamadiani, 8 Bwana akatuma nabii kwa watoto wa Israeli. Akasema : Bwana, Mungu wa Israeli anasema hivi: niliwatosha Misri, na kubaokowa kati ya mateso. 9 Nilibaokowa kumikono ya wa Misri, na ya watu wenye kumitesa; nilibafukusa, na kumipatiya Inchi yaba; 10 Nili misemeya: Mimi ni Bwana, Mungu wenu, musiogope miungu ya Waamola, lakini hamuku nisikiya. 11 Kiisha malaika wa Bwana akaya, akaikala chini ya muti ya ofra, wa Yoadi, wa nyumba ya Abiezeri. Mtoto wake, Gedeo; alikua natengeneza bunga ya ngano, juu afichame Wamadiani. 12 Malaika wa Bwana akamutokeya, na kumwambiya: Bwana eko pamoja na wa ye, sujaa hodari! 13 Gedeo akasema: ah! Bwana Mungu, kamu uho pamoja na siye, sabuba gani hii mambo inatufikiya? Na mujiza yenye ba baba yetu balitusemeya iko wapi? wakati balisema: haiko Bwana njo alitutosha mu Misri? sasa Bwana anyuacha, na kututowa ku mikono ya wa Madiani! 14 Bwana aka mugeukiya, na kusema: utaokawa Israeli ku mikono ya wa Madiani, na ule uwezo uko nawo; uende. Si miye njo nakutuma? 15 Gedeo akamwambiya: Ah ! Bwana wangu, witaokowa Israeli na nini? angaliya, mimi ni mdogosana wa jamaa ya bamasikini, hapa Manasi. 16 Bwana akamwambiya: Nitakuwa pamoja na weye na utapiga wa Madiani sana vile mutu moya. 17 Gedeo akamwambiya i kama wapata neema kwako unipe alama inaonesha kama ni wewe njo unaongeya na miye. 18 Usitoke hapa, mupaka nirudiye , mupaka ni bebe sadaka na kuiweka mbele yako. Bwana akasema: sitatoka hapa, mpaka rudiye. 19 Gedeo akaingiya na kukamata mtoto wa kondolo, na kitunga ya bunga ya mikate asiyo na chachu. Akatiya nyama ndani ya kikapo na supu kati ya chungu, akamuleteya chini ya muti, na kumupa. 20 Malaika ya Mungu aka mwambiya: kamata nyama na mukate usiyo na chachu, weka juu ya hii lijiwe, na umwange supu; Na akafanya hivi. 21 Malaika wa Bwana alisisogeza chongo ya gongo aliyokuwa nayo kumukono, akagusa nyama na mukate usiyo na chachu. Kiisha kukalipuka moto yulu ya lijue, na nyama na mukate usiyo na chachu bikalungula. Na Malaikawa Bwana akapoteya mbele yake. 22 Wakati Gedeo aliona kama ni malaika wa Mungu, akasema: ole wangu, maana minaona malaika wa Bwana uso kwa uso. 23 Bwana akamwambiya: uwe na amani, usiogope, hautakufa. 24 Gedeo, akamujengeya Bwana mazabahu pale, na akapaita Bwana Amani; ingaliko mpaka leo ku ofra ya jamaa ya Abiezeri. 25 Usiku ule, Bwana akasema na Gedeo: vhugua ngombe vijana wa baba yako, na mwengine wa myaka saba uvinje mazabahu ya baala, ya baba yako na uangushe miti yenyekuwa yulu yake. 26 Utajenga tena, na utaiweka yulu ya ile lijiwe, mazabahu ya Bwana Mungu. Utakamata ngombe mwengine, utamutowa kama sadakavunja. ya kutekeza, na miti ya sanamu yenye uli 27 Gedeo akakamata watumishi wake, na akafanya byenye Bwana alimwambiya, lakini alifanya busiku, juu aliogopa baba yake na watu wa mjini wake. 28 Wakati watu walilamuka asubuhi mapema, angaliya, mazabahu ya baala inavinjwa, na sadaka ya kuteketeza ya ngombe, juu ya ile mazabahu iliyojengwa. 29 Wakaulizana: ni nani anafanya hivi? Nyuma kutafuta, wakaambiwa kama ni Gedeo, mtoto wa Yoasi njo alifanya hivi. 30 Watu wa mjini wakasema na Yoasi: umutowe mtoto wako, juu akufe, anavunja mazabahu ya baala na byenye bilikuwa yulu yake. 31 Yoasi akabajibu na kusema: mweye njo mutakamata fasi ya baala? Mweye njo muta musaidiya? Mwenye atakamata nafasi ya baala, atakufa busiku habuyakucha kama baala ni mungu, apigane na kuyua ni nani aliya vunja mazabahu yake. 32 Kwanzia ile siku, bakamupa Gedeo jina ya Yerubaala, njo kusema: Baala asimame na apigane naye sababu alibomola mazabahu yake. 33 watu wa Madiani, wa Amaleki na wa kusini; walikutana, wakavuka Yolodani, na kajenga kambi yabo ndani ya bonde ya Yzrela. 34 Gedeo akajazwa na roho wa Bwana; akapiga baragumu, akamuita Abiezeri juu aende naye. 35 Akatuma wajumbe mu inchi nzima ya Manasi, nawo wakaitwa juu watembeye naye? Akatuma tena wajumbe kwa aseli, Zabuloni na Nafutali, benye balikutana naye. 36 Gedeo akasema na Mungu: kama unapenda kuokowa Israeli kupitiya mikono yangu, vile ulisema, 37 Angaliya: nitaweka ngozi ya kondolo chini, kama lumande lunaluobanisha, na bulongo habulobane, nitajua kama utaokowa Israeli kwa mukono wangu kama ulivyo sema. 38 Siku ingine, akalamuka mapema, akamula ngozi, mayi ya lumande ikayala kibakuli. 39 Gedeo akasema na Mungu/ Hasira yake isiwe juu yangu, natakusema tena neno moya: napenda kupata uhakika ungine na hii ngozi: bulongo bulobane na lumande, na ngozi isiguse lumande. 40 Mungu akafanya vile, bule bule busiku. Bulongo bukalobana, lakini ngozi akabakiya mukavu.