SURA 5

1 Ile siku Debora aliimba wimbo, na Baraka, mtoto wa Abinaom : 2 Vyongozi walijiweka ju ya taifa ya Isreli, na taifa lilijionesha tayari kwa mapambano : mubariki Bwana ! 3 Wafalme, musikiye, watoto wa wafalme mutege sikiyo ! Nitaimba, ndiyo, nitamuuimbiya Bwana Mungu wa Israeli. 4 O Bwana ! wakati ulitoka Szira, wakati ulienda mushamba ya Edom, udongo ulitetemeka, mbingu na mawingu bika yayuka sawa vile mayi; 5 Vilima vikatingizika mbele ya Bwana, Sinaï mbele yako Bwana, Mungu wa Israeli. 6 Wakati wa shamgari, mtoto wa Anata, wakati wa Jaeli, njia iliachia, na wasafiri walipitiya njia ingine. 7 Vyongozi wa Israeli hawakuwa na nguvu tena wakati nisisimama, miye Debora, wakati nilisimama kama vile mamawa Israeli. 8 Alichagua mungu ingine : vita ika ingiya kumilango; hatukuona tena ngao wala mkuki kwa watu elfu makumi ine ya Israeli. 9 Moyo wangu na weka kwa kiongozi wa Israeli, wa taifa yenye ilikuwa tayari kwa mapambano. Bariki Bwana ! 10 Mweye benye kupanda Punda weupe, nyinyi benye kuikala ku mazulia ya bei kali, na mweye benye kutemeya na mikulu, muimbe ! 11 Banapaza sautijangwaui, kwenye bana shoteyaka mayi, bakashangiliwa wema wa Mungu, wema wa kiongozi wake mu Israeli ! sasa taifa ya Bwana inashuka kumilango 12 Ulamuke, ulamuke, Debora! ulamuke ulamuke, nu uimbe wimba ! simama, baraka, na ulete wafungwa wako, mtoto wa Abinaom! 13 Taifa iliyobakiya, balishinda kwa uwezo, Bwana alinipa ushindi ju ya masujaa 14 Waakaji wa Amaleki, watatokeya Efraimu. Benjamini alikuwa katika kundi aliyotembeya nayo. Wakubwa wanatokeya Makiri, na vyongozi wa feshi, Zabulani. 15 Watoto wa wafalme wa Izakari, walikua pamoja na Debora, na Izakari alimufata Baraka, wakatumiwa ku bonde. Mawazo ya moyo ilikuwa kubwa sana, pembeni ya mtoni lubeni. 16 Sababu gani ulibakiya katikati ya bitawa, uki sikiya muliyo wa kondolo ? Mipango ya moyo ilikuwa kubwa sana, ku mutoni lubeni. 17 Galadi hakwacha makoo yake, pembeni ya Yolodani. Sababu gani Dani alisimama juu ya mashua ya maji? Aseri anaikala pembeni ya bahari, na anapumuzika kukivuko yake. 18 Natambua kama Zabuloni anashina na mauti, na Neftali vile-vile kwenye urefu wa shamba. 19 Wafalme wanakuja, wanapambana, wanapambana, kushindana na wafalme wa kanani, pale Tanaki, ku mayi ya Magido, abakupata faida yoyote, wala feza. 20 Wakapigana kutoka mbinguni, na nyoto ilipigana na Sisera. 21 Mutoni wa kisoni uliwachugua, mutoni wa Zamani, mutoni wa kisoni. Nafasi yangu angusha wa sujaa. 22 Na kwato ya punda ikakanyanga-kanyanga wakati walikimbiya-kimbiya, na wapambanaji wao. 23 Mulaani Merozi, akasema malaika, mumulaani mulaani wakaaji wake, maana habakuya kumusaidoya Bwana, katikati ya masujaa. 24 Jaeli, ubarikiwe kati ya banamuke, bibi wa Heberi, mukenia ! Ubarikiwe kati ya bana muke benye kuishi chini ya hema. 25 Alilomba mayi, akamupa maziwa, akamupa maziwa kaika kikombe kya heshima. 26 Alikamata nguzu ya hema na mukono moya, na kumokono wa kuume alishika Hama mufinyazi alimupiga Sisera, kumupasula kichua, kupasula na kusambaza tumbo yake. 27 Kumikulu ya Yaeli aliinama, kuanguka, na kufa kabisa. 28 Mama yake na Sisera alikuwa naangaliya kudirisha, na kulalamika : sababu ganu gari yake ya vita inakawiya hivi? sababu gani inatembeya pole pole hivi? 29 Bana muke benye hekima bakajibu na kujibiana wanye we: 30 Hakupata faida ya vita? Hawakuganyana vitu? Binti moja ao wawili kwa mwana ume moja, nguo ya rangi juu yake, nguo mbili kusingo ya mushindaji. 31 Na adui yako waangamiye, O Bwana. Na Inchi ikapata amani myaka makumi ine.