SURA 17

1 Kura moya iliangukia kabila ya Manasse, maana alikuwa mutoto wa kwanza wa Yusufu. Makir mutoto wa kwanza wa Manase, baba yake na Gileadi, wali pata Gileadi na Bashani, kwani alikuwa shuja ya vita. 2 Kuwa iliangukiya kwa watoto wengine wa Manase, kuiandama jamaa yao, kwa watoto Asrieli, watoto kwa shekemu, kwa watoto wa Heferi, kwa watoto shemida; njo wadume wa Manase, mwana wa Yusufu, kuandama na ma jamaa yao. 3 Lakini selofehadi mutoto wa Heferi, mutoto wa Gileadi, mutoto wa Makiri, mutoto wa Manase, Hakuwa na mwanaume ila binti kwa majina iyi: Mala, Noa, Hiogla, Mika na Tirsa. 4 Waka kabiya Eleazari kuhani, mbele wa wafalme, kusema: Mungu wa milele alileta oda kwa Musa kutupa urithi kati ya wa ndugu yetu kuiandama na ile oda, waka wapa urithi kati ya ndugu yake. 5 Manase akapena sehemu kumi, bila nchi ya Gileade na Bashani ilio ngambo ya Yordani. 6 Alafu wa binti wa Manase walikuwa na urithi katika ya wanaume, na nchi ya Gileadi ilikuwa ya watoto wengine ya Manase. 7 Mpaka wa Manase ilitoka Asheri ku Mikmeta karibu na shekemu, kwendelea upande wa kuume kwenyi wakalia wa Entapua. 8 Nchi ya Tapua ilikuwa ya watoto Manase, lakini Topua ku mpaka wa Manase ilikuwa ya watoto wa Efraimu. 9 Mpaka iliisia ku kijito ya kana kusini ya kijito miji ile ilikuwa ya Efraimu, katikati ya miji wa Manase. Mpaka ya Manase, kusini ya kijito matokeo yake ni bahari kubwa, 10 Mtao wa kusini ilikuwa ya Efraumu na upande ya kaskazini ni ya Manase na bahari njo mpaka yake; ikifikilia Asheri upande wa kaskazinina Isakari upande wa Mashariki. 11 Manase alikuwa na miji katika Isakari na katika asheri: Bethsheani na vijiji vyake, wakaaji wa Endori na vijiji vyake, wakaaji wa Taanaki na vijiji vyake na wakaaji wa meguido na vijiji vyake na maeneo tatu. 12 Watoto wa Manase hawakuwa wa shuya, wakaonea wa kanaani kufanya kazi wala hawa kwafukuza. 13 Wakati watoto wa Israeli wakuwa wa shuja, wakaonea wa kanaani kufanya kazi wala hawa kwafukuza. 14 Watoto wa Yusufu wakasema na Yoshua:kwa ini umetupa kura moja tu na funga moja kuwa urithi yangu, kwani naunga taifa kubwa na Mungu wa milele alitubarikia ata sasa hivi? 15 Yoshua akasema: kama muko taifa kubwa, mupandeni porini muji katie mahali ku cbhi ya waperizina wa refai, sababu kilima ya Efraimu haitoshe. 16 Watoto wa Yusufu wakasema: kilima haita tu enea, na wakanaani wakaaji ya bonde wikana ma gari ya chuma, kwa wale walio ku Bethsheani na miji yake na wale wa bonde wa Yezreeli. 17 Yoshua akasema na nyumba ya Yusufu; Efraimu na Manase: muko taifa kubwa la watu, na ushuja ya nguvu, hautapata kwa moja. 18 Lakini mutapa kilima, maana ni pori enye mutakata wala matokeo ita kuwa yenu na muta fukuza wakanaani ijapo ma gari za chuma na nguvu yao.