Sura 2

1 Katika mwezi wa saba siku maku mbili na moya neno la Bwana lika kuya kwa Hagai, nabii ikasema: 2 Sema kwa Zerubali mtoto wa Saltieli, liwali ya Yuda. Na kwa Yosua, mtoto wa Yusadaki, kuhani muku bwana kwa taifa inaobaki, na Uba ambiye: 3 Nani kati yenu alibakiya aliye ona nyumba hivi katika utukufu wa kwanza? Na kwa sasa muna jee kwa sasa? Ngisi iko hayionekane kama kitu ku mancho yenu? 4 Sasa uwe na nguvu, Zerubali asema Bwana. uwe na nguvu Yosua, mtoto wa Yosadaki, kohani mukubwa! Uwe nguvu, taifa mzima ya inchi! Asema Bwana. Na mutumike! Maana niko nanyiye, asema Bwana wa majeshi! 5 Nabakiya mwaminifu kwa angano tulipatana wakati mulitoka Misri. Musiogope niko nanyiye mu kiroho. 6 Maana Bwana wa majeshi: wakati kidogo tena, na nita tetemekesha mbingu na inchi, na bahari na inchi kavu 7 Nita tetemesha mataifa yote; Akiba ya mataifa ita kuya kwangu, na nyumba nitayiyaze utukufu, asema Bwana wa majeshi 8 Feza ni yangu, na zahabu ni yangu, kasema Bwana wa majeshi. 9 Utukufu wa mwisho ya hivi nyumba utakuwa kubwa kupata ya kwanza, asema Bwana w majeshi: Hapo njo nileta amani, asema Bwana wa majeshi. 10 Mu siku makumi mbili na ine ya mwezi ya kenda kwa mwaka wa pili ya Dario, neno la Bwana lika jionesha kwa nabii Hagai ikasema: 11 Njo ivi Bwana wa majeshi anasema hivi: Uwaambiye kuhusu neno la cheria. 12 Kama mtu akibeba mu chongo ya nguo nyuma ntakatifu, na nguo iguse mukati, chakula, vinyo mafuta ao chakula yote, itakuwa ntakatifu? Makahani waka sema: Apana. 13 Hagai akasema: kama mtu iko mchafu kwa sababu ya maiti aguse bitu yingine ita chafuka? Makohani wakajibu: itachafuka. 14 Na Hagai akajibu akasema: Njo ivi taifa, na njo ivi awa watu biko kwangu, asema Bwana, na ni vile makazi ya mikono yabo, na yote bananitolea ni bichafu. 15 Muwaze ile siku kulipita nini, mbele ya kuweka giwe kwa yiwe katika hekalu. 16 Wakati alipo fika pa vi pimo, kulikuwa kumi tu wakati balikuya kwa chimikizo kwa kutega vyombo makumi tano, bilikuwa makumi mbili tu, 17 Nili wapiga kwa kutu pa kwa kunguka na nili wapa malipizi lakini nuna rudiliya kunipiga, kasema Bwana. 18 Waza kama ili iliyo pita siku ile, tangiya siku makumi mbili na ine ya mwezi wa kenda, toka msiji ya hekalu ya Bwana, waza. 19 Kungali mbengu mu sitowa? Zabibu, makama manga na muzetuni haikuzaa. Lakini siku hiyi mpaka leo nitawa bariki. 20 Nano la Bwana likajionesha mara ya pili kwa Hagai, siku makumi mbili na ine ya mwezi likisema: 21 Sema kwa Zerubali, liwali ya Yuda, na akasema: Nita tetemesha mbingu na inchi: 22 Nita agusha, kiti ya ufalme na nito vunja nguvu ya ufalme wa ma taifa nitageuza puda wapandaji; batakufa wawo wenyewe. 23 Siku ile asema Bwana wa majeshi, nita muchukuwa Zerubali, mtoto wa Saltieli, mtumishi wangu, asema Bwana, na nitamuchunga kama vile muhuri kwa sababu ni mekuchaguwa asema Bwana wa majeshi.