SURA 1

1 Mwaka wa pili wa Dario sikunya kwanza ya mwezi wa sita neno la Bwana likakuya kwa hagai, Nabii Zorobabel mtoto wa Yasadaka kuhani mkuu. 2 Bwana wa majeshi anasema : Iyi taifa inasema; wakati hauya fika bado, wakati ya kuyengo nyumba ya Bwana. 3 Njo maana neno la bwana lilijulishwa na agai nakii nikiseme: 4 Ni wakati kwenu wa kuishi mu nyumba zenye kiyengewa na mbao wakati nyumba yangu ni yenye kuharibika? 5 Bwana wa majeshi anasema mu waze manjiya yenu. 6 Muna panda mingi na muna vuna kidogo munakula, na hamuohibe munakunywa hamuishe kiwu muna vala hamupate moto mwenye kutumika mushahara yake ina anguka mu mufuko ya kutoboka. 7 Anasema Bwana wa majeshi muwaze nji y zenu. 8 Panda ku kilima na mulele niti ya kujenga nyumba na nitapendezewa nayo na nitakuziwa Bwana asema: 9 Munatafuta mingi angaliya: mulipata kidogo; mulindisha, lakini uipepenisha juu sababu ya nani ? Asema Bwana wa majeshi. Sababu ya nyumba yangu mbiyo kila ntu kwa nyumba yake myenyewe. 10 Sababu yenu mbinguinakataza umande na bulongo inakatala na matunda yake. 11 Niliita kipwa imu taifa , mu bilima na juu ya mvinyo na juu ya mafuta, juu ya kila kenye kotoka mu bulongo, juu ya batu, na juu ya ngombe na juu ya kazi yote ya mikono yenu. 12 Zorobabel, mtoto wa Seletieli, Yoshua, mtoto wa Yosadaki, mukubwa wa mahini na nusu ya taifa, ikasikiya sauti ya Bwana mungu wabo neno Hagi nabii kama Bwana mungu wabo alivyotuna watu wakaogopa mbele ya Bwana. 13 Hagou mujumbe wa Bwana akaksema na niko kisha kupata oda kwa Bwana: Niko na mwenye pamoza, anasema Bwana. 14 Bwana akalomusho roho ua Zorobabeli mtoto wa Seletieli wa liwali ya Yuda na roho ya Yoshua mtoto wa Jotsadak Mukubwa wa makohoni na roho ya taifa inabakiya, watukuya kutumika kazi ya nyumba ya Mungu wa majeshi Mungu wao. 15 Mu siku makumi mbili na ine ya mwezi wa sita katika mwaka wa mufalme Dario.