1
Dju yako, sema bitu bienye kwambatana na mafundisho takatifu.
2
Ubambiye bazee na bidi , benye aki , bapole , batakatifu dani ya imara , na dani ya mapendo , dani ya uvumilivu.
3
Ubambiye banamuke bakubwa banapasha kuya na mwenedo ya butakatifu , bashikuye bakusema bongo , ni balevi , banapasha kuleta mafundisho muzuri.
4
Bakuye ba kufidisha babidjana banamuke namuna ya kupenda babwana na batoto yabo.
5
Bakuye na akiri , na usafi , bakutumika makaji ya munyumba , ba eshimiye babwana yabo , dju neno ya Mungu ishitshamburiwe.
6
Na ubasubutishe ba biyana vile vile kuya na mwenedo muzuri.
7
Na udji woneshe we moya kuya mufano na matendo muzuri, na ulete mafudisho safi , yenye kustahiri.
8
Ukuye na neno ina leta bujima , na yenye aki dju adwi apate aya , ashikuye na bubaya bule ata sema dju yetu.
9
Ubasubutishe batumishi bakuye batihifu kubamwarimu yabo , na kubafuraishabmubintu biote , bashikuye ba kubishana nabo.
10
Bashihibe , lakini bakuye paka bantu bakuhonesha bwaminifu bwabo , dju ya kuleta eshima kumafundisho ya Mungu Mukombozi wetu.
11
Kwamana neema ya Mungu , ni Tchemutchemu ya okovu kwa bantu bote , iridjonesha.
12
ina tufundisha kukata tama ya dunia , na ku ishi muwakati ya sasa ku tafutana na ekima , uwaki na usafi,
13
Mukutshunga baraka dani ya kitumaini , na kuonesha utukufu ya Mungu Mukubwa na mukombozi wetu Yesu Kristo,
14
Aridjitawa yemoya dju yetu , dju ya kutukombola kububaya bote , na kutufanya kuya bantu bake , tuna takasiwa kupitiya yeye na tuna bidi dju ya muzuri.
15
Sema ibi bintu , subutisha , na ubafokeye na guvu yote. Muntu ashi kuzarau.