Sula 2

1 Dju yako, sema bitu bienye kwambatana na mafundisho takatifu. 2 Ubambiye bazee na bidi , benye aki , bapole , batakatifu dani ya imara , na dani ya mapendo , dani ya uvumilivu. 3 Ubambiye banamuke bakubwa banapasha kuya na mwenedo ya butakatifu , bashikuye bakusema bongo , ni balevi , banapasha kuleta mafundisho muzuri. 4 Bakuye ba kufidisha babidjana banamuke namuna ya kupenda babwana na batoto yabo. 5 Bakuye na akiri , na usafi , bakutumika makaji ya munyumba , ba eshimiye babwana yabo , dju neno ya Mungu ishitshamburiwe. 6 Na ubasubutishe ba biyana vile vile kuya na mwenedo muzuri. 7 Na udji woneshe we moya kuya mufano na matendo muzuri, na ulete mafudisho safi , yenye kustahiri. 8 Ukuye na neno ina leta bujima , na yenye aki dju adwi apate aya , ashikuye na bubaya bule ata sema dju yetu. 9 Ubasubutishe batumishi bakuye batihifu kubamwarimu yabo , na kubafuraishabmubintu biote , bashikuye ba kubishana nabo. 10 Bashihibe , lakini bakuye paka bantu bakuhonesha bwaminifu bwabo , dju ya kuleta eshima kumafundisho ya Mungu Mukombozi wetu. 11 Kwamana neema ya Mungu , ni Tchemutchemu ya okovu kwa bantu bote , iridjonesha. 12 ina tufundisha kukata tama ya dunia , na ku ishi muwakati ya sasa ku tafutana na ekima , uwaki na usafi, 13 Mukutshunga baraka dani ya kitumaini , na kuonesha utukufu ya Mungu Mukubwa na mukombozi wetu Yesu Kristo, 14 Aridjitawa yemoya dju yetu , dju ya kutukombola kububaya bote , na kutufanya kuya bantu bake , tuna takasiwa kupitiya yeye na tuna bidi dju ya muzuri. 15 Sema ibi bintu , subutisha , na ubafokeye na guvu yote. Muntu ashi kuzarau.