Sula 1

3 1 Paulo , mutumishi , wa Mungu, na mutume wa yesu Kristo dju ya imani ya batshakuliwa ba mungu ba Mungu na kudjua ukweri ya kufundisha na utakatifu. 2 . Fashi ina ikaliya kitu;aini ya uzima ya milele , ile irilakiwa kutoka zamani na mungu ashiladake. Na aridjonesha na neno yake mu wakati yake kupitiya mahubiri ile miripokeya kufatana na sheria ya Mungu mukombozi wetu. 4 Kwa Tito , mutoto yangu wa upeke dani ya Yesu moya ; neema na salama uyipokeye kutoka kwa Mungu Baba na kwa Yesu Kristo Mokozi wetu. 5 Mirikwatsha ku pKrete , dju utegene bile biribakioya , na kufatana na mafudisho yangu , uweke bazee mumidji yote. 6 Kama unakuta muntu mwenye aki, bwana wa bibi moya , akuye na batoto baminifu , bashibakute mubusharati na mubutomboji. 7 Kwa mana inastahili muoshimamizi akuye mwwenye aki sa myenye ekima wa mungu , ashikuye muntu wa kiburi wala kishilani , mulevi wala wa fudjo , ashikuye muntu wa kupata makuta mudjiya ya shipo staili. 8 Lakini akuye muntu wa kupokeya bageni , rafiki wa salama na bantu bote , mwenye aki , mutakatifu. 9 Ambatane na neno ya kweri vile arifundishiwa , dju akuye na uzadji ya subutisha kufatana na mafudisho takatifu na ushibatshiye benye kubishana weye wakati. 10 Kwa sababu , kunakuya abati , bakuya batombozi kwabule , na weko wadanganifu. 11 Na ufunge kinya yako bele yabo bana kokota ma djama yote , bana fundisha dju ya faida yabo bile abiwezi kufudishiwa. 12 Moya katikati yabo , nabi wabo arisema ; Bakrete ni babongo shiku yote , banyama na beko ba vivu. 13 iyi ushuda ni ya biakweri dju kwamana ubafokeye sana , dju bakuye na imani takatifu. 14 bashikiye ma arishi ya bayuda , na makanuni ya bantu na ina batosha ku ukuri. 15 Bintu biote biko isafi kubale beko safi , akuna kia safi kubale banesha kudjitchafuwa na moyo mugumu , akiri yabo na zamiri yaba iko yenye kutshafuka. 16 Banadifanya ku mudjuwa Mungu , lakini ba na ;ukatala kupitiya matendo yabo , ni benye machukizo , batombozi , na aba wezi kutenda matendo .muzuri.