31
Paulo , mutumishi , wa Mungu, na mutume wa yesu Kristo dju ya imani ya batshakuliwa ba mungu ba Mungu na kudjua ukweri ya kufundisha na utakatifu.
2
. Fashi ina ikaliya kitu;aini ya uzima ya milele , ile irilakiwa kutoka zamani na mungu ashiladake. Na aridjonesha na neno yake mu wakati yake kupitiya mahubiri ile miripokeya kufatana na sheria ya Mungu mukombozi wetu.
4
Kwa Tito , mutoto yangu wa upeke dani ya Yesu moya ; neema na salama uyipokeye kutoka kwa Mungu Baba na kwa Yesu Kristo Mokozi wetu.
5
Mirikwatsha ku pKrete , dju utegene bile biribakioya , na kufatana na mafudisho yangu , uweke bazee mumidji yote.
6
Kama unakuta muntu mwenye aki, bwana wa bibi moya , akuye na batoto baminifu , bashibakute mubusharati na mubutomboji.
7
Kwa mana inastahili muoshimamizi akuye mwwenye aki sa myenye ekima wa mungu , ashikuye muntu wa kiburi wala kishilani , mulevi wala wa fudjo , ashikuye muntu wa kupata makuta mudjiya ya shipo staili.
8
Lakini akuye muntu wa kupokeya bageni , rafiki wa salama na bantu bote , mwenye aki , mutakatifu.
9
Ambatane na neno ya kweri vile arifundishiwa , dju akuye na uzadji ya subutisha kufatana na mafudisho takatifu na ushibatshiye benye kubishana weye wakati.
10
Kwa sababu , kunakuya abati , bakuya batombozi kwabule , na weko wadanganifu.
11
Na ufunge kinya yako bele yabo bana kokota ma djama yote , bana fundisha dju ya faida yabo bile abiwezi kufudishiwa.
12
Moya katikati yabo , nabi wabo arisema ; Bakrete ni babongo shiku yote , banyama na beko ba vivu.
13
iyi ushuda ni ya biakweri dju kwamana ubafokeye sana , dju bakuye na imani takatifu.
14
bashikiye ma arishi ya bayuda , na makanuni ya bantu na ina batosha ku ukuri.
15
Bintu biote biko isafi kubale beko safi , akuna kia safi kubale banesha kudjitchafuwa na moyo mugumu , akiri yabo na zamiri yaba iko yenye kutshafuka.
16
Banadifanya ku mudjuwa Mungu , lakini ba na ;ukatala kupitiya matendo yabo , ni benye machukizo , batombozi , na aba wezi kutenda matendo .muzuri.