Sula 1

1 Kile kirikuya tagiya mwanzo , kile turishikiya , turiona na mantcho , turiona na mikono iri bamba , kupitiya neno ya bujima . 2 na bujima buridjionesha , turiona na turishudiya , na turimiubiri bujima bwa milele , iri kuya pembeni ya Baba na irionekana kwetu' 3 bile turiona na kushikiya , turimioneshayo, kwenu na mweye , dju mukuye poya na shiye mukimoya, kwalakini , umodja wetu iko na Baba na mutotoyake Yesu Kristo. 4 Na shiye tuandjike ibi bintu , kwamana furah yetu ikuye ya kweri. 5 Habari ile turipata kwake , na turimiubiri , asema Mungu ni mwangaza, na na akuna ginza dani yake. 6 Kama tunasema tuko pamoya naye , na tuna tembeya mungiza , tunalanda , na atutembeye ukweri. 7 Kama tunatembeya mu mwangaza , sa vile eko yemoya dani ya mwangaza , tuko shibote pamoya, na damu ya Mutoto yake ina tunausha kububaya bote. 8 Kama tunasema atuna na zambi , tunarilanda shibenyewe , na ukweri ayina dani yetu. 9 Kama tunatubu ma zambi yetu , eko mwaminifu na mwenye aki dju yaku turumiya, na kututakasa kububaya bwetu bote . 10 Kama tu na sema atukufyanwe zambi , tu na mufanya wa bongo, na neno yake ayina dani mwetu.