1
Kile kirikuya tagiya mwanzo , kile turishikiya , turiona na mantcho , turiona na mikono iri bamba , kupitiya neno ya bujima .
2
na bujima buridjionesha , turiona na turishudiya , na turimiubiri bujima bwa milele , iri kuya pembeni ya Baba na irionekana kwetu'
3
bile turiona na kushikiya , turimioneshayo, kwenu na mweye , dju mukuye poya na shiye mukimoya, kwalakini , umodja wetu iko na Baba na mutotoyake Yesu Kristo.
4
Na shiye tuandjike ibi bintu , kwamana furah yetu ikuye ya kweri.
5
Habari ile turipata kwake , na turimiubiri , asema Mungu ni mwangaza, na na akuna ginza dani yake.
6
Kama tunasema tuko pamoya naye , na tuna tembeya mungiza , tunalanda , na atutembeye ukweri.
7
Kama tunatembeya mu mwangaza , sa vile eko yemoya dani ya mwangaza , tuko shibote pamoya, na damu ya Mutoto yake ina tunausha kububaya bote.
8
Kama tunasema atuna na zambi , tunarilanda shibenyewe , na ukweri ayina dani yetu.
9
Kama tunatubu ma zambi yetu , eko mwaminifu na mwenye aki dju yaku turumiya, na kututakasa kububaya bwetu bote .
10
Kama tu na sema atukufyanwe zambi , tu na mufanya wa bongo, na neno yake ayina dani mwetu.