1 Ikatenda baada ya mbui izi, mywesaji ywa mfaume wa mfaume wa Misri na mwokaji ywa mfaume wamkosa bwana ywao mfaume ywa Misri. 2 Farao akakimwa ni awa maafisa waidi, mkuu ywa wanywesaji na mkuu wa waokaji. 3 Akawaika mwe lindo mwe nyumba ya kapteni wa walinzi mwe geeza dia Yusufu ekufungwamo. 4 Kapteni wa ulinzi akamwiika Yusufu kua mndima ywao. Wekaa kifungoni kwa mda msiku. 5 Wose wasigwa - mnywesaji na mwokaji ywa mfaume wa Misri wekuwao wafungwa geezani - kia yumwe kaosigwa kio ichoicho, na kia sozi nee ina tafisii yakwe. 6 Yusufu akeza kwao keo na kuwaona. Kauwa nee wana huzuni. 7 Akawauza maafisa wa Farao wekuwao hamwe naye kifungoni mwe nyumba ya bwana ywakwe kwamba, "Kwa mbwai ivyeeo mwaonekana mna huzuni?" 8 Wakamwamba sisi tose tiosigwa na nkakuna ywa kuita fasii." Yusufu akawamba, "Je tafasii nkaiwa kwa Mungu? Niambieni, tafazai." 9 Mkuu ywa wanywesaji akamwambia Yusufu sozi yakwe. Akamwamba, "Mwe sozi yangu kauwa, nee kuna mzabibu mbele yangu. 10 Na nee kwa na matambi matatu mwe mzabibu uo, wekusukaho, ukasanua maua na kuvyaa vikonyo vya zabibu. 11 Kikombe cha Farao nee ki mwemkono wangu. Nikadoa zabibu na kuzikama mwe kikombe cha Farao, na kukiika kikombe mwe mkono wa Farai." 12 Yusufu akamwamba, "Tafsii yakwe ni inu. Yada matambi matatu misi mitatu. 13 Mwe misi mitatu Farao enda awenue mutwi wako na kukuvuza mwe nafasi mwe nafasi yako. Wendaukiike kikombe cha Farao mwe mkono wakwe, kana wekuwaho mnywesaji ywake. 14 Akini unikumbuke ukafanikiwa, na unionyese wema. Unitaje kwa Farao na kuniusa aha geezani. 15 Maana hakika nkitekwa kuawa mwe si ya Waebrania. Na aha nchekugosoa dodose dinipasado niikwe geezani." 16 Mkuu ywa waokaji ekuonaho kwamba tafasii nee ikavutia, akamwamba Yusufu, "Mimi pia nkiosigwa n'sozi, na kauwa, Ntezu ntatu za mikate ziikwa uwanga ya mutwi wangu. 17 Mwe ntezu ya uwanga nee kuna kia mbai ya yombe ya kuokwa kwa Farao, akini wadege wakavida mwe ntezu wanga ya mutwi wangu." 18 Yusufu akalambaisa na kwamba, "Tafasii ni inu. Ntezu ntatu ni misi mitatu. 19 Mwe misi mitatu Farao enda awenue mutwi wako kuawa kwako na enda akutungike uwanga ya muti. Wadege wenda wade mwii wako." 20 Ikatenda msi wa ntatu ambao nee ni msi wakuvyaigwa kwa Farao. Akagosoa nyemi kwa wandima wakwe wose. "Akawenua uwanga" mutwi wa mkuu ywa wanywesaji na mutwi wa mkuu ywa waokoji, kati ywa wandima wakwe. 21 Akamvuza mkuu ywa wanywesaji mwe ndima yakwe na akakiika vituhu kikombe mwe mkono wa Farao. 22 Akini akamtungika mkuu ywa waokaji kana Yusufu ekuavyo katafasii. 23 Hata ivyo mkuu ywa wanywesaji nkee kukumbuka kumwambiza Yusufu. Badii yakwe kamjaa.