1 Kwa iyo Abram akahauka akaawa misri na akaita Negebu, Yeye, mvyee yakwe, na vyose ekuavyo navyo. Lutu pia akaita nae. 2 Ivi sasa Abram nekawa tajii wa mifugo, hea na dhahabu. 3 Kaendelea na ntambo yakwe kuawa Negebu mpaka Betheli, hantu ambaho hema dakwe nediwa tangu bosii, kati ya Betheli na mzi wa Ai. 4 Akaita hantu ambaho madhabahu neizengwa tangu bosii. Aho akahetanga zina da Yahwe. 5 Mwekuwa akatamba na Abram, nekawa na ng'ombe, makundi ya mifugo, mahema. 6 Sii nkayokuwatosha wose kwekaa hamwe hehi kwavia mai zao neziwa nyingi sana, kiasi kwamba nkaokudaha kwekaa hamwe. 7 Pia, nekuwa na nkondo gatigati ya waisi wa wanyama wa Abram na waisi wa wanyama wa Lutu. Wakanaani wakekaa hamwe na Waperizi newakaishi mwesii ida wakati uwo. 8 Kwa iyo Abram neeamwambia Lutu, "Hesekua na nkondo kati yaka na mimi, na kati ya waisi wa wanyama wako na waisi wa wanyama wangu; licha yaayo sie ni mwango. 9 Je sii yose nkaiko mbele yako? Hita na wenege nami. Ikiwa undauite kumoso, mimi ndaniite kuume. Au undauite kuume, mimi ndaniite kumoso." 10 Kwa iyo Lutu akakaua, naneaona kuwa sii yose tambarare ya Yorodani neiwa na mazi kiahantu mpaka Zoari, kama via bustani ya Yahwe, nakama sii ya Misri. Inunee ni kabla Yahwe nkazati kuiangamiza Sodoma na Gomora. 11 Kwa iyo Lutu akesagwia yeye mwenye sii tambarare ya Yordani na akatamba mashariki, na ndugu awa wakatengana wao kwa wao. 12 Abram akekaa mwe sii ya Kanaani, na Lutu akekaa mwe mizi ya tambarare. Akatandaze hema zakwe mpaka Sodoma. 13 Na sasa wantu wa Sodoma newawa wabagibagi na wenye dhambi nyingi dhidi ya Yahwe. 14 Yahwe neamwambwa Abram baada ya Lutu kuhauka kwakwe, "Kauwa kuvoka hantu weiho hadi kaskazini, kusini, mashaliki, na maghaibi. 15 Sii yose inu uionayo, ndanikwenke wewe hamwe na muago wako milele. 16 Ndani wagosoe mwango wako kuwa wengi inga mavumbi ya sii, kiasi kwamba kama kuna mntu adaha kuhesabu mavumbi ya sii, nena uvyazi wako pia ndauhesabike. 17 Enuka, enda mwe urefu na upana wa siiiyo, kwa kuwa ndanikwenke." 18 Kwa iyo Abram akadoa hema dakwe, akeza na kwekaa mwa mwaloni wa Mamre, ambao uuko Hebroni, na hada akazenga madhabahu ya Yahwe.