1 Akini weye nuveweadamu dwa tofai wewe mwenye wa udike ubele yako ukabinala songoa mizi wa yehisaeni uanga yakwe. 2 Ukauka aho laze lwizunyuka ngome uanga yakwe voka kudogamiza ju yakwe na ika ukambi kuizunguka ika shambulio da gasia kuizunguka. 3 Ukawa aho doa kwa aji yako mwenye sufuria ya chuma na utumie enga ukanto wa chuma chako ukike dhidi yakwe kwa aji undauzungukwe na nduikwe ukombozi ju yakwe inu ndaine akame kwa iyumbe ya israeli. 4 Ukawa aho gone uanga uande wako wa kumoso na ika zambi ya nyumba ya israeli uanga yakwe ndauzwemwe zambi zao kwa hisabu za siku ndizo ugone kuhusu uyumbe yaisraeli. 5 Mimi mwenye wakuagia kwako siku mwenga kuwakilisha kia mwake wa azabu kuwakilisha kia uwake wa azabu yao siku 390! unyumba ya israeli. 6 Akati naho ubinde izi siku ukauka aho gona si kwa ma yekuidi kwa mpande wa kumwa kwa kuwa ndawenwe siku alubahuni nakutawa wewe siku mwenge kwa kizi mwaka. 7 Cheni chako kike si kuelekea yerusalemu ambayo si ya ngoma wa kwa mikono wako unga unabi dhidi yakwe. 8 Kaua naika vufiupio juuu yako kwaiyo nkune uuye kuoa kuawa uoande umwen kuita upande utuhu mpaka ndiho ubinde siku za kuzungukwa kwako. 9 Doa ngano kwa ajii yekwo kuigana na hsabu ya siku ndizo ugone kwa upande wako kwa siku 390 ndaugone. 10 Nkande ndiyo ude udaihimwe shekeli ishilini kwa siku na upangiwe kia siku. 11 Ulaawa aho ndaunywe mazi kwa kuyehima sehemu ya sita ya hini na undanyanywe kwa wakati wekupanywao. 12 Undaide enga keki za sheyini akihi nda nioke kwe mavi nakavu ya uwadamu ubele ye meso yao. 13 Kwa ajii mungu kamba ivi ''ina meana kwamba uda mkate ambeo wantu wa israeli ndauwe na unyasi uko kati ya mataifa anbaho nchwo niwaguuse. 14 Iyakini nikamba Eee zumbe mungu nkizati kwa najisi nkizeta kuda chochiose chekufacho au wanyama kuawa waa nyama nkaizatia kwenyie nubve kumwa changu! 15 Ne ekuambavyo ''kama nkikwenka mbolea ye ng'ombe badi ya mavi ya mwanadamu ili uande nkate wako juu ye ayo.'' 16 Ukauka aho akanamba mwana adamu kama! nabonda goyoda nkate wa yeusalem na ndavade ukate wekuhimvao kwa watumatu na kunywa mazi kwa kuyahima nwa wogo. 17 Kwa ajili ndawapuyukiwe ni nkate na mazi kia mntyu andafazaiswe no nduguye nu kunwaza kwea ajii ya udhahimu wao.'